Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Meya Chadema amdunda mgambo wa kike Arusha

NAIBU Meya wa Halmashauri ya Jiji la Arusha, Prosper Msofe, anadaiwa kumpiga mgambo wa kike na kusababisha alazwe katika Hospitali ya Levolosi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Meya, Diwani wachapwa vibao na mgambo Arusha

NAIBU Meya wa Jiji la Arusha, Prosper Msofe na Diwani wa Kata ya Levelosi, Ephata Nanyaro (wote CHADEMA), wamepigwa na kujeruhiwa na askari wa jiji (mgambo). Kutokana na tukio hilo,...

 

11 years ago

Mwananchi

DC apinga Meya kufukuza mgambo

Mkuu wa Wilaya ya Arusha, John Mongela, amepinga agizo la Naibu Meya wa Jiji la Arusha, Prosper Msofe la kutaka kufukuzwa kazi askari wa mgambo ambao baadhi yao walimpiga.

 

9 years ago

Michuzi

ARUSHA WAPATA MEYA MPYA

Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mhe. Fadhil Nkurlu akifungua rasmi Baraza la Madiwani wa Jiji la Arusha. Mwenyekiti wa muda wa Mkutano wa Baraza la Madiwani Jijini Arusha, Ndg. Daniel Machunda ambaye pia ni Katibu Tawala wa Wilaya ya Arusha akikabidhi madaraka hayo kwa Mstahiki Meya mara baada ya kuchaguliwa kwa kura 33 kati ya kura 34 zilizopigwa. Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Ndg. Juma Iddi ambaye pia ni Katibu wa Mkutano wa Baraza akitoa muongozo wa namna Mkutano huu wa kwanza unavyoendeshwa kwa...

 

11 years ago

Habarileo

Mlinzi Chadema amdhalilisha Meya

WA K A T I m v u a i k i s ambaratisha mikutano ya Chadema mkoani hapa, tafrani imezuka jukwaani kwa mmoja wa walinzi wa viongozi walio kwenye msafara wa chama hicho kumkunja shati na kumtoa kwenye kiti cha viongozi wakuu, Meya wa Manispaa ya Kigoma Ujiji, Bakari Beji.

 

9 years ago

Habarileo

Chadema wavutana uchaguzi wa Meya

MVUTANO umezuka ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupinga uongozi wa juu wa chama hicho kuahirisha uchaguzi wa Meya na Naibu Meya wa Jiji la Arusha uliotakiwa kufanyika Ijumaa iliyopita.

 

9 years ago

Mwananchi

Lema awaahidi Arusha kupata meya msikivu

Mgombea wa ubunge wa Jimbo la Arusha (Chadema), Godbless Lema amewaahidi wakazi wa Jiji la Arusha kuwa chama hicho kitawapatia meya msikivu na atakayetatua kero zinazowakabili.

 

9 years ago

Habarileo

Meya wa kwanza kambi ya upinzani Arusha leo

MADIWANI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wamemchagua Diwani wa Kata ya Sokoni 1, Kalisti Lazaro kuwa mgombea wa nafasi ya Meya wa Jiji la Arusha huku akijihakikishia nafasi hiyo kwani vyama vingine vya upinzani vina diwani mmoja tu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mahakama yamfutia kesi Naibu Meya Arusha

MAHAKAMA imeifutilia mbali kesi ya kumshambulia mgambo iliyokuwa ikiwakabili Naibu Meya wa Jiji la Arusha, Prosper Msofe na Diwani wa levelos, Ephata Nanyaro, (CHADEMA). Uamuzi huo uliopokelewa kwa shangwe na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani