Meya Chadema amdunda mgambo wa kike Arusha
![](http://www.habarileo.co.tz/images/images_2012_june_dec/arusha15.jpg)
NAIBU Meya wa Halmashauri ya Jiji la Arusha, Prosper Msofe, anadaiwa kumpiga mgambo wa kike na kusababisha alazwe katika Hospitali ya Levolosi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima17 Apr
Meya, Diwani wachapwa vibao na mgambo Arusha
NAIBU Meya wa Jiji la Arusha, Prosper Msofe na Diwani wa Kata ya Levelosi, Ephata Nanyaro (wote CHADEMA), wamepigwa na kujeruhiwa na askari wa jiji (mgambo). Kutokana na tukio hilo,...
11 years ago
Mwananchi21 Apr
DC apinga Meya kufukuza mgambo
9 years ago
MichuziARUSHA WAPATA MEYA MPYA
11 years ago
Habarileo26 Jan
Mlinzi Chadema amdhalilisha Meya
WA K A T I m v u a i k i s ambaratisha mikutano ya Chadema mkoani hapa, tafrani imezuka jukwaani kwa mmoja wa walinzi wa viongozi walio kwenye msafara wa chama hicho kumkunja shati na kumtoa kwenye kiti cha viongozi wakuu, Meya wa Manispaa ya Kigoma Ujiji, Bakari Beji.
9 years ago
Habarileo07 Dec
Chadema wavutana uchaguzi wa Meya
MVUTANO umezuka ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupinga uongozi wa juu wa chama hicho kuahirisha uchaguzi wa Meya na Naibu Meya wa Jiji la Arusha uliotakiwa kufanyika Ijumaa iliyopita.
9 years ago
Mwananchi13 Nov
Lema awaahidi Arusha kupata meya msikivu
9 years ago
Habarileo10 Dec
Meya wa kwanza kambi ya upinzani Arusha leo
MADIWANI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wamemchagua Diwani wa Kata ya Sokoni 1, Kalisti Lazaro kuwa mgombea wa nafasi ya Meya wa Jiji la Arusha huku akijihakikishia nafasi hiyo kwani vyama vingine vya upinzani vina diwani mmoja tu.
10 years ago
Tanzania Daima17 Oct
Mahakama yamfutia kesi Naibu Meya Arusha
MAHAKAMA imeifutilia mbali kesi ya kumshambulia mgambo iliyokuwa ikiwakabili Naibu Meya wa Jiji la Arusha, Prosper Msofe na Diwani wa levelos, Ephata Nanyaro, (CHADEMA). Uamuzi huo uliopokelewa kwa shangwe na...