Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kuna nini baadhi ya shule zimefaulisha, zimefelisha?

Shule ya Sekondari ya Wasichana ya St. Francis iliyo mkoani Mbeya, ndiyo shule iliyoshika nafasi ya kwanza kitaifa kwa miaka miwili mfululizo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Je kuna nini kilomita 5 chini ya bahari ?

Wanasayansi wa Uingereza wanapanga kuchimba takriban kilomita 5 chini ya bahari Hindi ilikubaini kunani chini ya sakafu

 

11 years ago

GPL

OYAA, MNAJUA KUNA NINI DOM?

Nianze kwa kuwapa ‘hi’ madenti wote Tanzania nzima, anko wenu nipo katika Viwanja vya Bunge mjini Dodoma kama mmoja wa mashahidi wa nini wale wawakilishi wa makundi mbalimbali ambayo Rais Jakaya Kikwete aliwateua kujumuika pamoja kupitia rasimu ya katiba ili waweze kutengeneza katiba mpya ambayo huenda ni watoto wenu nyinyi au wajukuu zangu mimi, watakaa tena miaka 50 ijayo kuirekebisha kulingana na mazingira ya...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

kuna nini Tanzania mwaka huu

Amani na Utilivu imekuwa miongoni mwa sera ya vyama vya siasa hapa Tanzania. Kila mara viongozi wanapopanda majukwaani wanajaribu kwa ghibu kuinadi sera hii. Hadi kwenye ilani za uchaguzi huingizwa suala la Amani na Utulivu bila […]

The post kuna nini Tanzania mwaka huu appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kama kuna waganga wa soka makocha wa nini?

MBEYA City, moja ya timu ngeni zilizoonyesha kiwango cha kuvutia tangu kuanza kwa Ligi Kuu Tanzania Bara Agosti 24, mwaka jana, imekuwa tishio kubwa kwa timu nyingine zikiwemo kongwe za...

 

9 years ago

Mwananchi

Kwa nini baadhi ya wanawake hukoma hedhi kabla ya umri

Tumepokea maswali mengi juu ya suala la kukoma hedhi ghafla, leo tutajibu swali hili.

 

10 years ago

Mwananchi

Kwa nini baadhi ya watu mashuhuri hutumia dawa na kujidhuru ?

Kuna methali ya visiwani Haiti isemayo mtu mdogo hufanya analomudu ilihali mkubwa hufanya atakavyo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Kwa nini kuna shimo lisilo la kawaida katika tabaka la ozoni?

Tukio kama hili ni la kawaida katika eneo la kusini zaidi la dunia la Antarctic wakati wa msimu wa joto, lakini katika eneo la baridi la kaskazini si la kawaida.

 

10 years ago

Vijimambo

KUNA NINI AIRASIA NDEGE NYINGINE IKIWA NA ABIRIA 160 YA POTEA



Ndege ya AirAsia
Shirika la ndege la AirAsia linasema kuwa limeanzisha shughuli ya kuitafuta ndege yake iliyopoteza mawasiliano na kituo cha kuelekeza safari za ndege dakika 45 baada ya kuondoka kwenye mji wa Surabaya nchini Indonesia.Zadi ya watu 160 walikuwa ndani ya ndege hiyo ya Airbus 320 iliyokuwa safarini kwenda nchini Singapore.
Wengi wa abiria waliokuwa ndani ya ndege hiyo wanatoka nchini Indonesia.
Msemaji wa wizara ya usafiri nchini Indonesia amesema mawasiliano yalipotea kati ya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Kwa nini kuna hali ya sintofahamu katika mpaka wa Namanga na Holili?

Mipaka miwili ya Tanzania na Kenya eneo la Namanga na Holili imefungwa tena baada ya kuibuka hali ya sintofahamu kuhusu utekelezaji wa makubaliano yaliyowekwa kati ya nchi hizo mbili

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani