Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je kuna nini kilomita 5 chini ya bahari ?

Wanasayansi wa Uingereza wanapanga kuchimba takriban kilomita 5 chini ya bahari Hindi ilikubaini kunani chini ya sakafu

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Je ushawahi kulala chini ya bahari?

Hoteli ya kwanza chini ya maji barani Afrika imefunguliwa kisiwani Pemba nchini Tanzania.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hoteli iliyo chini ya bahari Pemba

Katika kukabiliana na mapato finyu,serikali ya Zanzibar imekuwa ikitilia umuhimu sekta ya utalii ambapo huko Pemba pamejengwa hoteli chini ya bahari

 

10 years ago

Vijimambo

MAMA KIKWETE AWATAKA WAKAZI WA WILAYA YA LINDI KUTOKUBALI KUUZA MAENEO YA UFUKWE WA BAHARI KWA BEI YA CHINI

Na Anna Nkinda – Maelezo, LindiMjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia wilaya ya Lindi mjini Mama Salma Kikwete amewataka wakazi wa wilaya hiyo kutokubali kuuza maeneo ya ufukwe wa Bahari ya Hindi kwa kiasi kidogo cha fedha kwani thamani ya maeneo hayo ni kubwa.Mama Kikwete ambaye ni Mke wa Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete alitoa rai hiyo jana wakati akiongea kwa nyakati tofauti na viongozi wa Halmashauri kuu ya tawi ya Chama hicho katika matawi ya Raha...

 

11 years ago

GPL

OYAA, MNAJUA KUNA NINI DOM?

Nianze kwa kuwapa ‘hi’ madenti wote Tanzania nzima, anko wenu nipo katika Viwanja vya Bunge mjini Dodoma kama mmoja wa mashahidi wa nini wale wawakilishi wa makundi mbalimbali ambayo Rais Jakaya Kikwete aliwateua kujumuika pamoja kupitia rasimu ya katiba ili waweze kutengeneza katiba mpya ambayo huenda ni watoto wenu nyinyi au wajukuu zangu mimi, watakaa tena miaka 50 ijayo kuirekebisha kulingana na mazingira ya...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

kuna nini Tanzania mwaka huu

Amani na Utilivu imekuwa miongoni mwa sera ya vyama vya siasa hapa Tanzania. Kila mara viongozi wanapopanda majukwaani wanajaribu kwa ghibu kuinadi sera hii. Hadi kwenye ilani za uchaguzi huingizwa suala la Amani na Utulivu bila […]

The post kuna nini Tanzania mwaka huu appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Mwananchi

Kuna nini baadhi ya shule zimefaulisha, zimefelisha?

Shule ya Sekondari ya Wasichana ya St. Francis iliyo mkoani Mbeya, ndiyo shule iliyoshika nafasi ya kwanza kitaifa kwa miaka miwili mfululizo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kama kuna waganga wa soka makocha wa nini?

MBEYA City, moja ya timu ngeni zilizoonyesha kiwango cha kuvutia tangu kuanza kwa Ligi Kuu Tanzania Bara Agosti 24, mwaka jana, imekuwa tishio kubwa kwa timu nyingine zikiwemo kongwe za...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kwa nini Katiba itayarishwe chini ya ulinzi?

KITU chochote kinachotayarishwa kwa manufaa ya jamii huku jamii husika ikiamini kwamba kitu hicho ni kwa manufaa yake, kawaida huwa hakitiliwi shaka, hakuna awezaye kuihofia jamii kuhusu matayarisho hayo, sababu...

 

5 years ago

BBCSwahili

Kwa nini kuna shimo lisilo la kawaida katika tabaka la ozoni?

Tukio kama hili ni la kawaida katika eneo la kusini zaidi la dunia la Antarctic wakati wa msimu wa joto, lakini katika eneo la baridi la kaskazini si la kawaida.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani