kuna nini Tanzania mwaka huu
Amani na Utilivu imekuwa miongoni mwa sera ya vyama vya siasa hapa Tanzania. Kila mara viongozi wanapopanda majukwaani wanajaribu kwa ghibu kuinadi sera hii. Hadi kwenye ilani za uchaguzi huingizwa suala la Amani na Utulivu bila […]
The post kuna nini Tanzania mwaka huu appeared first on Mzalendo.net.
Mzalendo Zanzibar
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies15 Dec
Shamsa Ford:Ungetamani Kuniambia Nini Kabla Mwaka Huu Kuisha
Ikiwa zimebaki siku chache kuumaliza mwaka 2014.Muigizaji wa filamu Shamsa Ford anaetamba mwaka huu kwenye filamu ya CHAUSIKU, amewataka mashabiki wake na wapenzi wa filamu hapa nchini wamshauri chochote kuhusiana na kazi zake na maisha yake ya sanaa kwa ujumla.
Shamsa ambae ni mama wa mtoto mmoja, aliweka picha yake nakuandika;
“Ni kitu gani ungetamani kuniambia kabla ya huu mwaka KUISHA”
Jina la Shamsa Ford, lilijitokeza sana mwaka huu kwenye magazeti ya udaku na mitandaoni baada ya...
5 years ago
CCM Blog
MUFTI MKUU TANZANIA ASEMA HAKUTOKUWA NA HIJJA MWAKA HUU

Abubakar Zubeir bin Ally ameyasema hayo leo Juni 25, 2020 wakati akiongea na waandishi wa habari ambapo ameeleza kuwa janga la Corona ndio limesababisha na haitakuwa kwa Tanzania pekee tu bali kwa Dunia nzima isipokuwa...
10 years ago
Bongo514 Jan
Wizkid kuja Tanzania mwaka huu kwa mara ya kwanza
10 years ago
Vijimambo
MECHI KATI YA TANZANIA NA ALGERIA KUCHEZWA NOVEMBA 14 MWAKA HUU

Taifa Stars inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager itacheza mchezo huo dhidi ya Mbweha wa Jangwani siku ya Jumamosi Novemba 14, na mchezo wa marudiano kuchezwa siku tatu baadae Algeria 17 Novemba, 2015.
Kikosi cha Stars chini ya...
10 years ago
Vijimambo
10 years ago
Vijimambo
UCHAGUZI WA MWAKA HUU TANZANIA HAUNA MDAHALO WA UGOMBEA NAFASI YA RAIS?

Huu mdahalo unahitajika sana ili tuweze kuwajua vizuri hawa wanaotaka kuwa viongozi wetu. Wagombea wote wa vyama vinavyo shiriki wakutanishwe waulizwe maswali ya msingi (live) tuweze kupima majibu na uwezo wao. Midahalo ni...
9 years ago
Bongo Movies07 Nov
Kiwanda Cha Filamu Tanzania Kimerudi Nyuma Mwaka Huu-Johari
Muigizaji wa filamu, Johari Chaula amesema kuwa mwaka 2015 haukuwa mzuri kwa wasanii wa filamu.
Johari ameiambia Bongo5 kuwa wasambazaji wa filamu wamezidiwa na kazi zinazozalishwa na wasanii.
“Mwaka huu si mzuri sana kiukweli kwa sababu wasanii wa filamu wamekuwa wengi na tunazalisha sana filamu mpaka wasambazaji wanazishindwa na wao wanasema soko haliko vizuri,” amesema.
“Kwahiyo msanii kama mimi nashindwa kutoa filamu nyingi kutokana na hali hiyo, ni hivyo hivyo haukuwa mzuri sana....
11 years ago
Michuzi
MARTIN KADINDA KUITANGAZA TANZANIA KATIKA NCHI ZA KENYA NA ZAMBIA MWAKA HUU

Mshindi wa tuzo za mitindo na mbunifu aliyetamba na mavazi ya single button kwa takribani miaka miwili sasa Martin Kadinda anategemea kuanza ziara ya kuonyesha mavazi yake katika nchi kadhaa za kiafrica.
Kadinda amesema kuwa kwa mwaka huu amepanga kufanya maonesho yake nje ya nchi kwa sana kwa kuwa huko ndio kunaitangaza nchi na brand yake kwa ujumla.
Show yake ya kwanza kwa mwaka huu itakuwa Nchini Kenya katika Jiji la Nairobi usiku wa tarehe moja akiwa na wabunifu kutoka tanzania na...