Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UCHAGUZI WA MWAKA HUU TANZANIA HAUNA MDAHALO WA UGOMBEA NAFASI YA RAIS?

Nimekuwa nikifuatilia taarifa mbalimbali kuhusu uchaguzi utakao fanyika tarehe 25 October lakini sijasikia tetesi kama kutakuwa na mdahalo wa ugombea nafasi ya urais. Inawezekana upo lakini mimi sijasikia na kama ni hivyo basi wanaohusika kuuandaa wahabarishe wananchi.

Huu mdahalo unahitajika sana ili tuweze kuwajua vizuri hawa wanaotaka kuwa viongozi wetu. Wagombea wote wa vyama vinavyo shiriki wakutanishwe waulizwe maswali ya msingi (live) tuweze kupima majibu na uwezo wao. Midahalo ni...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

RATIBA KAMILI YA MCHAKATO WA KUWAPATA WAGOMBEA WA CCM WA NAFASI YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA RAIS WA ZANZIBAR KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2020



1.0.     URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

NA

TAREHE

SHUGHULI/MAELEZO

1

15 – 30/06/2020

Kuchukua na kurejesha fomu. Mwisho wakurudisha fomu ni tarehe 30/6/2020 Saa 10:00 jioni.

2

15 – 30/06/2020

Kutafuta wadhamini Mikoani.

VIKAO VYA UCHUJAJI

3

06 – 07/07/2020

Kikao cha Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya Taifa.

4

08/07/2020

Kikao cha Kamati ya Usalama na Maadili Taifa.

5

09/07/2020

Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa: Kufikiria na kutoa Mapendekezo yake kwa Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa...

 

5 years ago

CCM Blog

RATIBA YA MCHAKATO WA KUWAPATA WAGOMBEA WA CHAMA CHA MAPINDUZI WA NAFASI YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA RAIS WA ZANZIBAR KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2020


RATIBA YA MCHAKATO WA KUWAPATA WAGOMBEA WA CHAMA CHA MAPINDUZI WA NAFASI YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA RAIS WA ZANZIBAR KWA AJILI YA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2020


1.0.          URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

NA

TAREHE

SHUGHULI/MAELEZO

1

15 – 30/06/2020

Kuchukua na kurejesha fomu. Mwisho wakurudisha fomu ni tarehe 30/6/2020 Saa 10:00 jioni.

2

15 – 30/06/2020

Kutafuta wadhamini Mikoani.

VIKAO VYA UCHUJAJI

3

06 – 07/07/2020

...

 

9 years ago

Vijimambo

BALOZI SEIF AWAONGOZA WALIOPITISHWA KUGOMBEA NAFASI MBALIMBALI JIMBO LA MAHONDA KATIKA UCHAGUZI WA MWAKA HUU KUWASHUKURU WANA CCM

Mgombea Nafasi ya Ujumbe wa Baraza la Wawakilishi Jimbo la Mahonda kwa tiketi ya CCM Balozi Seif Ali Iddi kwa niaba ya wagombea wenzake wa nafasi mbali mbali akiwashukuru wanachama wa CCM wa Matawi yaliyomo ndani ya Jimbo hilo katika Mikutano tofauti kwa kuwachaguwa katika kura za Maoni zilizopita mwezi Agosti mwaka huu.Wanachama wa CCM wa Tawi la Kitope “B” wakiwa katika Mikutano ya kupongezwa baada ya kuwachagua wagombea wao wa nafasi tofauti kwenye kura za Maoni.
Baadhi ya wanachama wa...

 

9 years ago

Michuzi

KAMATI YA UCHAGUZI DRFA YAELEKEZA UCHAGUZI WA TEFA KUFANYIKA AGOSTI 23 MWAKA HUU

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI         KAMATI ya uchaguzi DRFA inaelekeza kamati ya uchaguzi ya TEFA kufanya uchaguzi wa viongozi,jumapili tarehe 23/08/2015 katika ukumbi wa JKT kama ilivyopangwa kufanyika hapo awali.Kamati pia inapenda  kuutarifu umma kuwa mchakato huu una Baraka zote kutoka TFF,hivyo uingiliaji wowote unakwenda kinyume na ibara ya 6(1)ya kanuni za uchaguzi za TFF 2013 na ibara za 52(6) na 56(6)(a) za katiba ya TFF ambazo zinaelekeza kuwa majukumu ya uchaguzi yapo chini ya...

 

5 years ago

Michuzi

Tanzania: Uchaguzi wa mwaka huu utakuwa huru na wa haki, hatukiuki haki za binaadamu ni propaganda tu



Serikali ya Tanzania kupitia Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi imeihakikishia dunia kwamba uchaguzi mkuu ujao, utakuwa huru na wa haki.

Kabudi ameyasema hayo kwenye hafla ya kukaribisha mwaka mpya ambapo amekariri ahadi ya Rais John Pombe Magufuli wa nchi hiyo aliyoitoa akizihakikishia jumuiya za kimataifa kuhusiana na suala hilo. Akizungumza na mabalozi na wawakilishi wa taasisi za kimataifa jijini Dar es Salaam Kabudi amesema:  “Mwaka huu...

 

9 years ago

GPL

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani