Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWANA FA AONGELEA UCHAGUZI WA MWAKA HUU

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

KAMATI YA UCHAGUZI DRFA YAELEKEZA UCHAGUZI WA TEFA KUFANYIKA AGOSTI 23 MWAKA HUU

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI         KAMATI ya uchaguzi DRFA inaelekeza kamati ya uchaguzi ya TEFA kufanya uchaguzi wa viongozi,jumapili tarehe 23/08/2015 katika ukumbi wa JKT kama ilivyopangwa kufanyika hapo awali.Kamati pia inapenda  kuutarifu umma kuwa mchakato huu una Baraka zote kutoka TFF,hivyo uingiliaji wowote unakwenda kinyume na ibara ya 6(1)ya kanuni za uchaguzi za TFF 2013 na ibara za 52(6) na 56(6)(a) za katiba ya TFF ambazo zinaelekeza kuwa majukumu ya uchaguzi yapo chini ya...

 

10 years ago

Bongo5

Mwana FA kutumbuiza kwa mara ya kwanza kwenye Fiesta mwaka huu mjini Singida

Baada ya kupagawisha wananchi wa Mbeya na shoo kali mwishoni mwa wiki iliyopita, tamasha la Serengeti Fiesta 2014 linaelekea Singida kukata kiu ya mashabiki wake ambao walikuwa wakilisubiri kwa hamu. Shoo hiyo iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu imepangwa kufanyika hapo October 3, katika uwanja wa Namfua. Wasanii watakaotumbuiza ni pamoja na Mwana FA, Nikki II, Makomando, […]

 

10 years ago

Mwananchi

Changamoto mpya za uchaguzi mwaka huu

Kama kuna Uchaguzi Mkuu utakaokuwa na changamoto kwa wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi, basi ni huu utakaofanyika Oktoba.

 

9 years ago

Mwananchi

Kasoro uchaguzi mwaka huu zitafutiwe dawa

Ni dhahiri kwamba Watanzania wameonyesha ukomavu mwingi ambao unazidi kuwaweka kwenye rekodi za kujivunia kwa miaka mingi ijayo.

 

10 years ago

Vijimambo

Sh. bilioni 268 kutumika Uchaguzi Mkuu mwaka huu

Zaidi ya Sh. bilioni 268 zinatarajiwa kutumikia katika Uchaguzi Mkuu wa mwezi Oktoba mwaka huu utakaowapa fursa Watanzania kuchagua madiwani, wabunge na Rais ajae.

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, aliyasema hayo jana wakati akiahirisha Bunge mjini Dodoma na kuongeza kuwa maandalizi ya uchaguzi huo yanaenda vizuri.
Alisema vifaa mbalimbali kwa ajili kuufanikisha uchaguzi huo tayari vimeanza kununuliwa.

Pinda alisema kuwa miongoni mwa maandalizi ya uchaguzi huo ni uandikishaji wa daftari la kudumu la...

 

10 years ago

Michuzi

UCHAGUZI MKUU WA TBA KUFANYIKA JUNI 10 MWAKA HUU.

Na Avila Kakingo, Globu ya Jamii.
Baraza la Michezo la Taifa (BMT) limesogeza mbele siku ya kufanya uchaguzi  wa Chama cha Mchezo wa Vinyoya Tanzania (TBA) ambapo unatarajiwa kufanyika Juni 10
mwaka huu katika ukumbi wa Baraza hilo.
Hayo yamesemwa na  Afisa habari Baraza la Michezo la Taifa (BMT) Najaha Bakari wakati akizungumza na Mwandishi wetu kwa Njia ya simu.
 Pia Najaha amesema kuwa Baraza hilo linaongeza muda wa kuchukua na kurudisha fomu za Uchaguzi wa Viongozi wa Chama cha Mchezo wa...

 

10 years ago

Habarileo

Kinana: Uchaguzi mwaka huu utakuwa wagombea na makapi

KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana amesema Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, utakuwa kati ya wagombea na makapi ya CCM na wananchi watachagua wagombea wa chama hicho tawala.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani