Changamoto mpya za uchaguzi mwaka huu
Kama kuna Uchaguzi Mkuu utakaokuwa na changamoto kwa wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi, basi ni huu utakaofanyika Oktoba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi16 Feb
9 years ago
Michuzi19 Aug
KAMATI YA UCHAGUZI DRFA YAELEKEZA UCHAGUZI WA TEFA KUFANYIKA AGOSTI 23 MWAKA HUU
9 years ago
Bongo526 Nov
Exclusive: Director Nisher afunguka mengi kuhusu ukimya wake na changamoto alizopata mwaka huu
![Nisher7](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Nisher7-300x194.jpg)
Mshindi wa tuzo ya Muongozaji Wa Video Anayependwa katika Tuzo Za Watu 2014, director Nisher amefunguka kwa kirefu mambo mbalimbali kuhusu ukimya wake.
Muongozaji huyo wa video za muziki kutoka Arusha aliyekuja kwa kasi na kuwa gumzo kutokana na video kali alizotoa kuleta ushindani, amepiga story na Bongo5 na kuzungumzia mambo yaliyosababisha ukimya wake pamoja na changamoto alizokutana nazo mwaka huu.
2014 ni mwaka ambao ulifanya vizuri sana ikiwa ni pamoja na kushinda Tuzo Za Watu, na...
9 years ago
GPL20 Aug
9 years ago
Mwananchi27 Oct
Kasoro uchaguzi mwaka huu zitafutiwe dawa
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/eL6AgHmrdiM/default.jpg)
10 years ago
Habarileo05 Aug
Kinana: Uchaguzi mwaka huu utakuwa wagombea na makapi
KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana amesema Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, utakuwa kati ya wagombea na makapi ya CCM na wananchi watachagua wagombea wa chama hicho tawala.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-aQuT2LGMQ6M/VVs2D4rLpiI/AAAAAAAC4tg/8eGisUk0qeo/s72-c/KINYOYA.jpg)
UCHAGUZI MKUU WA TBA KUFANYIKA JUNI 10 MWAKA HUU.
![](http://1.bp.blogspot.com/-aQuT2LGMQ6M/VVs2D4rLpiI/AAAAAAAC4tg/8eGisUk0qeo/s320/KINYOYA.jpg)
Baraza la Michezo la Taifa (BMT) limesogeza mbele siku ya kufanya uchaguzi wa Chama cha Mchezo wa Vinyoya Tanzania (TBA) ambapo unatarajiwa kufanyika Juni 10
mwaka huu katika ukumbi wa Baraza hilo.
Hayo yamesemwa na Afisa habari Baraza la Michezo la Taifa (BMT) Najaha Bakari wakati akizungumza na Mwandishi wetu kwa Njia ya simu.
Pia Najaha amesema kuwa Baraza hilo linaongeza muda wa kuchukua na kurudisha fomu za Uchaguzi wa Viongozi wa Chama cha Mchezo wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-oUvQTl0b_1k/VBHeCrjmC-I/AAAAAAAC7sY/s-uiGY5YLjk/s72-c/10683687_491115444359256_3412387166859006512_o.jpg)
Sh. bilioni 268 kutumika Uchaguzi Mkuu mwaka huu
![](http://3.bp.blogspot.com/-oUvQTl0b_1k/VBHeCrjmC-I/AAAAAAAC7sY/s-uiGY5YLjk/s640/10683687_491115444359256_3412387166859006512_o.jpg)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, aliyasema hayo jana wakati akiahirisha Bunge mjini Dodoma na kuongeza kuwa maandalizi ya uchaguzi huo yanaenda vizuri.
Alisema vifaa mbalimbali kwa ajili kuufanikisha uchaguzi huo tayari vimeanza kununuliwa.
Pinda alisema kuwa miongoni mwa maandalizi ya uchaguzi huo ni uandikishaji wa daftari la kudumu la...