Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Exclusive: Director Nisher afunguka mengi kuhusu ukimya wake na changamoto alizopata mwaka huu

Nisher7

Mshindi wa tuzo ya Muongozaji Wa Video Anayependwa katika Tuzo Za Watu 2014, director Nisher amefunguka kwa kirefu mambo mbalimbali kuhusu ukimya wake.

nisher intro

Muongozaji huyo wa video za muziki kutoka Arusha aliyekuja kwa kasi na kuwa gumzo kutokana na video kali alizotoa kuleta ushindani, amepiga story na Bongo5 na kuzungumzia mambo yaliyosababisha ukimya wake pamoja na changamoto alizokutana nazo mwaka huu.

2014 ni mwaka ambao ulifanya vizuri sana ikiwa ni pamoja na kushinda Tuzo Za Watu, na...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Exclusive: Diamond afunguka kuhusu Wema, Zari, Penny, Chameleone, Yemi Alade, Waje na mengine (Video)

Tumekaa na Diamond Platnumz kuzunguma mambo kibao hususan tetesi zinazoendelea sasa kuwa ameachana na mpenzi wake Wema Sepetu na kuwa ana uhusiano na mfanyabiashara mrembo wa Uganda, Zari the Bosslady pamoja na issue zingine. Itazame hapo chini au soma kwa kifupi baadhi ya kile alichokisema. Kuhusu kwanini anatumia wazungu zaidi kwenye video zake Mimi nafikiri […]

 

10 years ago

Mwananchi

Changamoto mpya za uchaguzi mwaka huu

Kama kuna Uchaguzi Mkuu utakaokuwa na changamoto kwa wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi, basi ni huu utakaofanyika Oktoba.

 

10 years ago

Vijimambo

MENINAH AMWANIKA DIAMOND TENA!! AFUNGUKA MENGI KUHUSU MAHUSIANO YAO,AELEZA JINSI WEMA ALIVYO MPA PRESHA

Kwa mara ya kwanza tangu wadaiwe kuwa na mahusiano ya kimapenzi na Meninah a.k.a Meninah la diva na Nguli wa Bongo Fleva nchini Nasib Abdul 'Diamond' hatimaye ukweli umepatika baaada ya kuzinasa meseji za meninah alizofunguka kususu mahusiano yake na Diamond.Meseji hizo zimenaswa kutoka kwenye simu ya Meninah ambaye alikuwa akichati naye kuhusu mwenendo mzima wa Mahusiano yake na Diamond kupitia "Chating" hizo Meninah amekiri kwamba Diamond alimtaka kimapenzi na alifikia hatua ya...

 

10 years ago

Bongo5

AY kushoot video ya ‘Zigo’ Zanzibar na director Nisher

AY ni miongoni mwa wasanii ambao wamekuwa wakifanya video zao nyingi nje ya Tanzania na madirector wa nje, lakini mwaka huu ameamua kufanya video ya single yake mpya hapa hapa nyumbani na director wa hapa. Ambwene Yessaya a.k.a AY amesema kuwa video ya wimbo wake mpya ‘Zigo’ itafanyika Zanzibar, na itaongozwa na director Nisher. Akizungumza […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani