Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kiwanda Cha Filamu Tanzania Kimerudi Nyuma Mwaka Huu-Johari

Muigizaji wa filamu, Johari Chaula amesema kuwa mwaka 2015 haukuwa mzuri kwa wasanii wa filamu.

Johari ameiambia Bongo5 kuwa wasambazaji wa filamu wamezidiwa na kazi zinazozalishwa na wasanii.

“Mwaka huu si mzuri sana kiukweli kwa sababu wasanii wa filamu wamekuwa wengi na tunazalisha sana filamu mpaka wasambazaji wanazishindwa na wao wanasema soko haliko vizuri,” amesema.

“Kwahiyo msanii kama mimi nashindwa kutoa filamu nyingi kutokana na hali hiyo, ni hivyo hivyo haukuwa mzuri sana....

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Johari adai kiwanda cha filamu Tanzania kimerudi nyuma mwaka huu

Johari Chaula

Muigizaji wa filamu, Johari Chaula amesema kuwa mwaka 2015 haukuwa mzuri kwa wasanii wa filamu.

Johari Chaula

Johari ameiambia Bongo5 kuwa wasambazaji wa filamu wamezidiwa na kazi zinazozalishwa na wasanii.

“Mwaka huu si mzuri sana kiukweli kwa sababu wasanii wa filamu wamekuwa wengi na tunazalisha sana filamu mpaka wasambazaji wanazishindwa na wao wanasema soko haliko vizuri,” amesema.

“Kwahiyo msanii kama mimi nashindwa kutoa filamu nyingi kutokana na hali hiyo, ni hivyo hivyo haukuwa mzuri sana....

 

10 years ago

Bongo Movies

JB:Mwaka Huu Nitacheza Filamu Mbili Tu!!

Mwigizaji na mwongozaji wa filamu hapa bongo, Jacob stephen ‘JB’ ambae pia ni mkurugenzi na mliliki wa kampuni ya maswala ya filamu ya Jerusalem alitupia picha hiyo hapo juu na kuibandikia maelezo haya;

“Mzee huyo mwenye kofia anaitwa Chimbeni herry, hii ni moja kati ya scene utakazo ziona ndani ya mzee wa swaga.Hapo ni zanzibar,kati ya wasanii wazuri ambao hawajatumika vizuri ni pamoja na huyu.

Jamani anaweza,mwaka huu nitacheza filamu mbili (2) tu, lakini nitaanda nyingi ambazo...

 

9 years ago

Bongo Movies

Nyerere Kutoa Filamu Kubwa Mwaka Huu

Steve Nyerere amesema baada ya kukaa kimya kwa miaka minne bila kutoa filamu, mwaka 2016 atawapa raha mashabiki wake.

STEVE NYERERE

 

“Nina miaka minne sijatengeneza wala kutoa sinema na si kwamba siuzi,” aliandika kwenye Instagram.

“Kwa mwaka nitakuwa natoa sinema 1 tu ila itakuwa zaidi ya vile tunavyofikiria, ni ubora wa hali ya juu sio kwa mwezi sinema 5, duu ni kumvuruga mteja. Maisha ni kujipanga na kujitambua unataka nini.”

 Bongo5

 

10 years ago

Bongo Movies

Filamu Mpya ya Lulu Kuzinduliwa Septemba, Mwaka Huu

Filamu mpya ya Staa wa Bongo Movie,Elizabeth Michael ‘Lulu’ inatarajiwa kuzinduliwa mwezi Septemba mwaka huu.

Filamu hiyo iliyotumia gharama kubwa itazinduliwa mara tatu ikipendezeshwa na ‘Red Carpet’ kwenye sinema,kwa waandishi wa habari na kwa mashabiki wa msanii huyo.

Cloudsfm.com

 

9 years ago

Bongo5

Steve Nyerere adai atatoa filamu kubwa mwaka huu

Mwenekiti wa bongomovie Steve Nyerere

Steve Nyerere amesema baada ya kukaa kimya kwa miaka minne bila kutoa filamu, mwaka 2016 atawapa raha mashabiki wake.

Mwenekiti wa bongomovie Steve Nyerere

“Nina miaka minne sijatengeneza wala kutoa sinema na si kwamba siuzi,” aliandika kwenye Instagram.

“Kwa mwaka nitakuwa natoa sinema 1 tu ila itakuwa zaidi ya vile tunavyofikiria, ni ubora wa hali ya juu sio kwa mwezi sinema 5, duu ni kumvuruga mteja. Maisha ni kujipanga na kujitambua unataka nini.”

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter...

 

10 years ago

Bongo Movies

Ray — “Mwaka huu filamu za nje tu, ni mwendo wa Ghana na Nigeria”

Msanii mkongwe wa filamu nchini, Vicent Kigosi a.k.a Ray amejipanga kufanya filamu nyingi za kimataifa mwaka huu, huku akiweka bayana ataanza na Ghana pamoja na Nigeria.

Kwa mujibu wa tovuti Bongo5 , Ray amesema ndani ya mwaka huu ataweka pembeni kazi za ndani na kujikita kimataifa zaidi.

“Nimepanga kufanya mambo mengi mwaka huu, lakini mwaka huu movie zangu zote nitafanya International sitafanya movie yoyote ya hapa hapa kwa sababu kama hapa nishafanya sana, kwahiyo movie zangu zote...

 

9 years ago

Bongo5

Kajala aeleza kwanini ametoa filamu chache mwaka huu

kajala

Kajala amesema mwaka 2015 ametayarisha filamu nyingi lakini ameshindwa kuzitoa kutokana na soko la filamu kusuasua.

Kajala na Quick

Muigizaji ameiambia Bongo5 kuwa mwaka 2016 utakuwa ni mwaka mzuri kwa kuwa tayari ana kazi ndani ambazo hajazitoa.

“Siwezi sema kwangu kuna tatizo ni kujipanga tu licha ya changamoto za wezi wa kazi zetu ambao wanatukatisha tamaa,” alisema.

“Lakini nashukuru kuona serikali tayari imeanza kurudisha matumaini kwa kujaribu kuweka sheria ili tupate haki zetu kwa sababu wasanii...

 

10 years ago

Vijimambo

CHAMA CHA WASAMBAZAJI WA FILAMU TANZANIA WASITISHA KUKUNUNUA STIKA ZA TRA NA KUPELEKA FILAMU ZAO BODI YA FILAMU KWAAJILI YA KUFANYIWA UKAGUZI

 Mwenyekiti wa kikosi kazi kutoka chama cha wasambazaji wa filamu Tanzania,Bw Moses Mwanyilu akionyesha baadhi ya filamu ambazo zinauzwa nchini bila kupata kibali kutoka bodi ya filamu Tanzania na kutokuwa na stika za ushuru za Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wakati wa mkutano na waandishi wa habari wakielezea changamoto zao kuhusiana na filamu za kitanzania kulazimishwa kukaguliwa na bodi ya filamu na kuwekwa stika za TRA ilhali filamu za nje hazifanyiwi hivyo na kupelekea filamu za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani