Steve Nyerere adai atatoa filamu kubwa mwaka huu
Steve Nyerere amesema baada ya kukaa kimya kwa miaka minne bila kutoa filamu, mwaka 2016 atawapa raha mashabiki wake.
“Nina miaka minne sijatengeneza wala kutoa sinema na si kwamba siuzi,” aliandika kwenye Instagram.
“Kwa mwaka nitakuwa natoa sinema 1 tu ila itakuwa zaidi ya vile tunavyofikiria, ni ubora wa hali ya juu sio kwa mwezi sinema 5, duu ni kumvuruga mteja. Maisha ni kujipanga na kujitambua unataka nini.”
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies04 Jan
Nyerere Kutoa Filamu Kubwa Mwaka Huu
Steve Nyerere amesema baada ya kukaa kimya kwa miaka minne bila kutoa filamu, mwaka 2016 atawapa raha mashabiki wake.
“Nina miaka minne sijatengeneza wala kutoa sinema na si kwamba siuzi,” aliandika kwenye Instagram.
“Kwa mwaka nitakuwa natoa sinema 1 tu ila itakuwa zaidi ya vile tunavyofikiria, ni ubora wa hali ya juu sio kwa mwezi sinema 5, duu ni kumvuruga mteja. Maisha ni kujipanga na kujitambua unataka nini.”
Bongo5
9 years ago
Bongo506 Nov
Johari adai kiwanda cha filamu Tanzania kimerudi nyuma mwaka huu
![Johari Chaula](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Johari-Chaula-300x194.png)
Muigizaji wa filamu, Johari Chaula amesema kuwa mwaka 2015 haukuwa mzuri kwa wasanii wa filamu.
Johari ameiambia Bongo5 kuwa wasambazaji wa filamu wamezidiwa na kazi zinazozalishwa na wasanii.
“Mwaka huu si mzuri sana kiukweli kwa sababu wasanii wa filamu wamekuwa wengi na tunazalisha sana filamu mpaka wasambazaji wanazishindwa na wao wanasema soko haliko vizuri,” amesema.
“Kwahiyo msanii kama mimi nashindwa kutoa filamu nyingi kutokana na hali hiyo, ni hivyo hivyo haukuwa mzuri sana....
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UzngKzXVXGA/U77z1Z-eUpI/AAAAAAAA9MM/kyh2f3Nl448/s72-c/IMG_0851.jpg)
STEVE NYERERE AWAANDALIA CHAKULA CHA JIONI WASANII WA FILAMU NA WADAU
![](http://1.bp.blogspot.com/-UzngKzXVXGA/U77z1Z-eUpI/AAAAAAAA9MM/kyh2f3Nl448/s1600/IMG_0851.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gWeqpZitCEw/U77zsvsLWaI/AAAAAAAA9Ls/BQPPi7XcyX8/s1600/IMG_0826.jpg)
Wageni waalikwa wakisikiliza kwa makini maneno yaliyokuwa yakitolewa na Rais wa Bongo Movie, Steve Nyerere.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Vv9MDc9jPFA/U77zk7i7lnI/AAAAAAAA9LU/EhWMKVq2fNg/s1600/IMG_0817.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6kGn-PySNhY/U77zFM2zL6I/AAAAAAAA9LI/uvRhM0t3ZUY/s1600/IMG_0810.jpg)
9 years ago
Bongo519 Nov
Steve Nyerere: Nilimwambia Magufuli kuwasaidia wasanii wa filamu ni kupoteza pesa
![11351837_431015323755764_1594616645_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11351837_431015323755764_1594616645_n-300x194.jpg)
Aliyewahi kuwa mwenyekiti wa Bongo Movie Club, Steve Nyerere amesema aliulizwa kwa zaidi ya mara sita na Rais Dk John Magufuli kuhusu nsaada wanaouhitaji, lakini amedai alishindwa kumjibu kutokana na wasanii wengi kutojitambua.
Akizungumza katika kipindi cha Take One cha Clouds TV, Steve alisema alimwambia Magufuli asipoteze pesa ya serikali kuwasaidia wasanii wa filamu.
“Sikatai,” alisema Steve. “Nilishamwambia mheshimiwa rais, utapoteza pesa zako, nilisha mwambia mstaafu na huyu mpya...
10 years ago
Bongo515 Aug
Steve Nyerere kugombea ubunge jimbo la Kinondoni mwaka 2015
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8ikGPdIHucK2Vy*7doAtzY0rPLPN7rapGk1NQXvKwzFTdAr5SI9N811*tVkOblfe-ujwvLG6MBBmwCa*RCuWeSNTB8BgGTRE/4.jpg?width=650)
STEVE NYERERE AWAANDALIA 'DINNER' MASTAA NA WADAU WA FILAMU
10 years ago
Bongo Movies18 Jan
JB:Mwaka Huu Nitacheza Filamu Mbili Tu!!
Mwigizaji na mwongozaji wa filamu hapa bongo, Jacob stephen ‘JB’ ambae pia ni mkurugenzi na mliliki wa kampuni ya maswala ya filamu ya Jerusalem alitupia picha hiyo hapo juu na kuibandikia maelezo haya;
“Mzee huyo mwenye kofia anaitwa Chimbeni herry, hii ni moja kati ya scene utakazo ziona ndani ya mzee wa swaga.Hapo ni zanzibar,kati ya wasanii wazuri ambao hawajatumika vizuri ni pamoja na huyu.
Jamani anaweza,mwaka huu nitacheza filamu mbili (2) tu, lakini nitaanda nyingi ambazo...
10 years ago
Bongo Movies26 Jun
Filamu Mpya ya Lulu Kuzinduliwa Septemba, Mwaka Huu
Filamu mpya ya Staa wa Bongo Movie,Elizabeth Michael ‘Lulu’ inatarajiwa kuzinduliwa mwezi Septemba mwaka huu.
Filamu hiyo iliyotumia gharama kubwa itazinduliwa mara tatu ikipendezeshwa na ‘Red Carpet’ kwenye sinema,kwa waandishi wa habari na kwa mashabiki wa msanii huyo.
Cloudsfm.com