Tunakubali watu wametuchoka, tuna kazi kubwa ya kujijenga na kurudisha imani — Asema Lundenga
Mkurugenzi wa Lino International Agency ambao ni waandaaji wa Miss Tanzania, Hashimu Lundenga amesema kuwa baada ya Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kulifungulia shindano hilo, sasa wana kazi kubwa ya kurudisha imani kwa mashabiki na wadhamini. “Sisi kama Lino International Agency Ltd tumepokea taarifa za kufunguliwa kwa mashindano ya Miss Tanzania kwa furaha sana, […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Uhuru Newspaper23 Jul
‘Tuna imani na Askofu Massangwa’
NA LILIAN JOEL, ARUSHA
WAUMINI wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Kaskazini Kati, wamesema Askofu Mteule Solomon Massangwa ni chaguo la Mungu na hawana shaka naye.
Massangwa alichaguliwa juzi, kuwa Askofu wa Dayosisi hiyo baada ya kupata kura 261 kati ya kura 263, sawa na asilimia 99.98 na msaidizi wake, Mchungaji Gidion Kivuyo alipata kura 242 kati ya kura 263.
Uchaguzi huo ulifanyika juzi, katika Shule ya Sekondari Peace House iliyoko Kata ya Mtevesi wilayani,...
11 years ago
Tanzania Daima26 Apr
Kilimanjaro: Tuna imani na uwazi TFF
WADHAMINI wa timu ya taifa, Kilimanjaro Premium Lager, wameonyesha kuridhishwa na uwazi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), katika kuendesha masuala ya timu ya Taifa ‘Taifa Stars’. Hayo yamesemwa na...
11 years ago
BBCSwahili10 Feb
Tuna maswali ya kujibu asema Wenger
10 years ago
Tanzania Daima22 Oct
Tuna imani naye Chenge…oyaa, oyaa!
NIKIWA mmoja wa waandishi waliopata bahati ya kuripoti habari za Bunge Maalum la Katiba (BMK), jambo kumbwa nililojifunza kwa wajumbe kwa ujumla wao wakubwa kwa wadogo ni ‘unafiki’. Mnafiki ni...
9 years ago
Bongo528 Dec
Yamoto Band: Tuna kila sifa za kuwa kundi kubwa la muziki Afrika
![Yamoto Band](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Yamoto-Band-300x194.jpg)
Msanii wa kundi la Yamoto Band, Aslay Isihaka amesema show zao za mwisho walizofanya nchini Marekani na Uingereza zimewafanya waone wana nafasi kubwa ya kutoboa kimataifa zaidi.
Aslay ameiambia Bongo5 Jumatatu hii kuwa kutokana na show nne walizofanya Ulaya zimewafanya waone ukubwa wao kwa mashabiki wa nje.
“Mashabiki wetu wa Ulaya walikuwa hawaamini kama ni sisi ndiyo tunafanya kile wanachokiona kutokana na umri wetu,” alisema.
“Lakini tunashukuru Mungu tulifanya show nzuri hali ambayo...
9 years ago
BBCSwahili05 Nov
Museveni asema ana imani atashinda urais
10 years ago
Mwananchi01 Feb
Waziri asema wananchi hawana imani na polisi
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5gSP41WTCm8/VeHdwlm5PiI/AAAAAAAH054/RcGVje6rorQ/s72-c/3.jpg)
MAGUFULI AZIDI KUCHANJA MBUGA,AWATAKA WANANCHI WAWEKE IMANI KUBWA KWAKE NA KUMPA KURA NYINGI ZA USHINDI
![](http://4.bp.blogspot.com/-5gSP41WTCm8/VeHdwlm5PiI/AAAAAAAH054/RcGVje6rorQ/s640/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0QfaQ2dqtVI/VeHdmDumpWI/AAAAAAAH03Y/XfqV2VIDcRM/s640/1.jpg)
Amesema tangu kupewa...
9 years ago
Dewji Blog30 Aug
Magufuli azidi kuchanja mbuga, awataka wananchi waweke imani kubwa kwake na kumpa kura nyingi za ushindi
![](http://2.bp.blogspot.com/-0QfaQ2dqtVI/VeHdmDumpWI/AAAAAAAH03Y/XfqV2VIDcRM/s640/1.jpg)
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi (CCM),Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa Njombe mjini katika mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika jioni ya jana katika uwanja wa saba saba.Magufuli amesema akichaguliwa kuwa rais wa awamu ya tano ataendeleza juhudi zake za kujenga barabara kwa kiwango cha lami,amesema dhamira yake aliokuwa nayo ya Uwaziri wa Ujenzi katika kujenga barabara za lami katika maeneo yote hapa nchini.
Amesema tangu...