Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Museveni asema ana imani atashinda urais

Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesema wagombea urais wanaoshindana naye kwenye uchaguzi mkuu mwaka ujao si tishio kwake.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

JK ahutubia Bunge Kenya, asema mgombea wa CCM atashinda urais

Rais Jakaya Kikwete ameliambia Bunge la Kenya kuwa ana uhakika mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli atashinda na kwamba ataimarisha zaidi ushirikiano baina ya Tanzania na Kenya na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Rais Magufuli asema ana imani ugonjwa wa corona umeondolewa kwa nguvu za Mwenyezi Mungu

Rais Magufuli aliwaomba raia wa taifa hilo kutumia siku tatu kuanzia tarehe 17 hadi 19 Aprili 2020, kumuomba Mwenyezi Mungu ili kuwaepusha na janga la ugonjwa wa corona.

 

10 years ago

Mwananchi

Mama Maria asema Makongoro ana haki kugombea urais

>Mke wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, Mama Maria Nyerere amesema kuwa mtoto wake, Makongoro Nyerere ana haki ya kugombea nafasi ya urais katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.

 

9 years ago

Vijimambo

Sababu 10 kwa nini John Magufuli atashinda uchaguzi Mkuu wa Urais 2015


Uchaguzi Mkuu
1. Tanzania bara na visiwani yako majimbo ya uchaguzi 266, CCM imesimamisha wagombea Ubunge katika majimbo yote 266 huku Chadema na washirika wake wa Ukawa wakiwa wamesimamisha wagombea katika majimbo 211 (138 toka Chadema). Kati ya majimbo hayo 266, CCM tayari imepita bila kupingwa majimbo 7. Ukichukua majimbo 259 yaliyobaki na kutoa 211 ambayo Chadema na washirika wake wamesimamisha wagombea unabaki na majimbo 48 ambayo CCM haina upinzani wa Chadema wala washirika wake wa...

 

10 years ago

Bongo5

Stereo adai ana imani AY na Unity Entertainment watamfikisha mbali

Rapper Stereo amedai anamtegemea zaidi bosi wake na AY kukamilisha ndoto zake za kujitangaza kimataifa na kufanya collabo na wasanii wa kimataifa na kwamba mafanikio aliyofikia sasa ni mchango mkubwa kutoka Unity Entertainment. Stereo amekiambia kipindi cha Bomba Base Show cha Bomba FM ya Mbeya kuwa kupitia AY na kampuni yake ameendelea kupata connection nyingi. […]

 

9 years ago

Bongo5

Faith Evans ana imani kesi ya mauaji ya Notorious B.I.G itafunguliwa tena

faith-evans

Faith Evans amedai anaamini kuwa siku moja kesi ya mauaji ya rapper Notorious B.I.G itafunguliwa tena.

faith-evans

Muimbaji huyo aliyeolewa na emcee huyo mzaliwa wa Brooklyn, ametaka kuwepo na msisitizo zaidi katika masuala ambayo hayakupatiwa majibu.

“Tunachoweza kufanya ni kuwa na imani kuwa hiyo itatokea,” Faith aliuambia mtandao wa The Huffington Post alipoulizwa kuhusu Biggie.

“Lakini tuna furaha tu kuwa tupo hapa kuitunza heshima yake na kuhakikisha kuwa watoto wake wana furaha na wanaishi maisha...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Kwanini rais Trump ana imani na dawa ya Hydrochloroquine 'kutibu' virusi vya corona?

Rais Trump anaamini kwamba dawa hii inaweza kuleta tofauti kubwa duniani katika vita dhidi ya virusi vipya vya ugonjwa wa corona katika mwili wa binadamu.

 

10 years ago

Mwananchi

Waziri asema wananchi hawana imani na polisi

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mohamed Aboud Mohamed amesema wananchi hawana imani tena na Jeshi la Polisi kwa kuwa vitendo vya uhalifu vinafanyika, lakini hakuna wanaotiwa mbaroni.

 

9 years ago

Bongo5

Tunakubali watu wametuchoka, tuna kazi kubwa ya kujijenga na kurudisha imani — Asema Lundenga

Mkurugenzi wa Lino International Agency ambao ni waandaaji wa Miss Tanzania, Hashimu Lundenga amesema kuwa baada ya Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kulifungulia shindano hilo, sasa wana kazi kubwa ya kurudisha imani kwa mashabiki na wadhamini. “Sisi kama Lino International Agency Ltd tumepokea taarifa za kufunguliwa kwa mashindano ya Miss Tanzania kwa furaha sana, […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani