Mama Maria asema Makongoro ana haki kugombea urais
>Mke wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, Mama Maria Nyerere amesema kuwa mtoto wake, Makongoro Nyerere ana haki ya kugombea nafasi ya urais katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6xzDXLZEGutGYkhT2J8BLrLit3nY6CeA*3qF7YymMU*O8EOe*-W4e3C963ttLnjl9bPiFLfDIp1F50iYYr8VXMaP4J1NHrsd/lum.jpeg?width=300)
Vijana wapiganie sasa haki ya kugombea urais, Vijana wasisubiri wazee wawaruhusu kugombea urais
Patrice Lumumba. Julius Nyerere. Na Walusanga Ndaki
IJUMAA moja ya alasiri na kiangazi jijini Dar es Salaam, mwandishi wa makala hii ambaye sasa ana umri wa miaka 60 alikuwa akifanya mzaha wa kupiga danadana mpira wa miguu nje ya ofisi yao kabla ya kwenda kwenye mechi ya soka kati ya timu ya ofisi yake na taasisi moja ya habari. Mwandishi huyo alifanya hivyo kwa umahiri mkubwa kwa kama dakika tano mbele ya wafanyakazi wenzake...
10 years ago
BBCSwahili11 Mar
Mama Maria Nyerere asema yuko hai
''Niko salama na buheri wa afya''Hayo ni maneno ya Mama Maria Nyerere ,mjane wa rais wa kwanza wa taifa la Tanzania Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
10 years ago
Habarileo13 Dec
Sala, maombi kudumisha amani asema Mama Maria Nyerere
MJANE wa Baba wa Taifa, Mama Maria Nyerere, amepokea nishani ya kudumisha na kuhamasisha amani nchini, huku akimtaka kila mwananchi kwa nafasi yake kuombea taifa.
9 years ago
BBCSwahili05 Nov
Museveni asema ana imani atashinda urais
Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesema wagombea urais wanaoshindana naye kwenye uchaguzi mkuu mwaka ujao si tishio kwake.
9 years ago
Bongo501 Oct
Hata Kim Kardashian hakujua kama Kanye West ana mpango wa kugombea urais 2020 mpaka alipotangaza kwenye VMA
Taarifa za rapper Kanye West kutaka kugombea urais wa Marekani ifikapo mwaka 2020, hazikuwashangaza watazamaji tu, bali hata mkewe Kim Kardashian hakuwa anafahamu mpaka aliposikia mumewe Kanye akitangaza kwenye tuzo za VMA. Akizungumza kwenye kipindi cha The Ellen DeGeneres Show, mama kijacho Kim K amesema anaamini kuwa mume wake Kanye yuko serious katika uamuzi huo […]
11 years ago
Michuzi09 Jul
MGOMBEA URAIS WA MSUMBIJI ATUA TANZANIA KUSAKA KURA, AKUTANA NA MAMA MARIA NYERERE KUOMBA BARAKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-haIr6xEyLBc/U72XUezmeOI/AAAAAAAAn5Y/Wnsyr7o3SDM/s1600/1.+Kinana+akimlaki+mgeni.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-qJTvY19ZL28/U72XW3Pw-bI/AAAAAAAAn5k/tIlK0AVuRJQ/s1600/2.+Mgeni+akimsalimia+Nape.jpg)
10 years ago
Bongo506 Oct
AY asema mama yake na Sean Kingston humchukulia kama mwanae,’ hata kwenye Instagram yangu ana comment’
AY amesema kuwa ukaribu alionao na msanii Mjamaica-Mmarekani, Sean Kingston ni zaidi ya urafiki wa kikazi kiasi ambacho wanachkuliana kama kama familia. AY ameiambia Bongo5 kuwa mama yake Sean humchukulia kama mtoto wake na wanawasiliana mara kwa mara. “Yaani huyu jamaa ananipa support asilimia 100 huwezi kuamini ni mtu ambaye si yeye tu hadi mama […]
10 years ago
Vijimambo15 Jun
MWIGULU NCHEMBA ACHOTA BARAKA KWA MAMA MARIA NYERERE KUELEKEA SAFARI YAKE YA URAIS NCHINI TANZANIA
![](https://scontent-vie1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtf1/v/t1.0-9/11406979_386332024902365_4698001188933200188_n.jpg?oh=500a57b877576035f5a57c381c9a3e83&oe=55E8877C)
![](https://fbcdn-sphotos-a-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xat1/v/t1.0-9/11193412_386332064902361_9214561011273346723_n.jpg?oh=0f69913e6e68d7c3332a84405b373619&oe=56341B80&__gda__=1442607199_2747114624345b9a2c0d1d6bf3c89226)
![](https://scontent-vie1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/1533917_386331931569041_4647035940470781229_n.jpg?oh=6284edb270f6958768a48f448403524a&oe=55EBF0E4)
![](https://fbcdn-sphotos-b-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfp1/v/t1.0-9/549334_386331978235703_607676068783465974_n.jpg?oh=9648c7ae7c020d107a722928c8968295&oe=562DC6D5&__gda__=1445357014_f3661b24bab0ae0c311a7fef51926130)
![](https://scontent-vie1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/10418219_386332004902367_3127175902239240001_n.jpg?oh=b0a3a92696e62b865d3b36f22e5d4ef4&oe=55E8D901)
11 years ago
BBCSwahili06 Jul
Di Maria ana shaka kuhusu nusu fainali
Angel Di Maria ana shaka ikiwa atashiriki nusu fainali Jumatano ijayo kati ya Argentina na Uholanzi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania