Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Di Maria ana shaka kuhusu nusu fainali

Angel Di Maria ana shaka ikiwa atashiriki nusu fainali Jumatano ijayo kati ya Argentina na Uholanzi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Baada ya michezo ya robo fainali ya Capital One, hii ndiyo ratiba ya michezo ya nusu fainali

Capital-One-Cup-1

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Michezo ya robo fainali ya kombe la Capital One la nchini Wingereza linaloshirikisha ligi za Daraja la kwanza, pili na timu zinazoshiriki ligi kuu ya Wingereza imekamilika kwa timu nne kufuzu kuingia hatua ya nusu fainali.

Matokeo ya robo fainali ilikuwa hivi;

Everton 2 – 0 Middlesbrough

Manchester City 4 – 1 Hull City

Stoke City 2 – 0 Sheffield Wednesday

Southampton 1 – 6 Liverpool

Baada ya michezo hiyo, ratiba ya michezo ya nusu fainali ni kama...

 

10 years ago

Mwananchi

Mama Maria asema Makongoro ana haki kugombea urais

>Mke wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, Mama Maria Nyerere amesema kuwa mtoto wake, Makongoro Nyerere ana haki ya kugombea nafasi ya urais katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.

 

9 years ago

BBCSwahili

Liverpool nusu fainali Capital one

Timu ya Liverpool imekua timu ya mwisho kutinga katika hatua ya nusu fainali ya michuano ya Capital one

 

10 years ago

BBCSwahili

Liverpool kucheza nusu fainali ya FA

LIverpool imeishinda Blackburn Rovers 1-0 na hivyobasi kutinga nusu fainali na Aston Villa katika uwanja wa Wembley.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ghana yatinga nusu Fainali

Ghana imekua timu ya tatu kutinga nusu fainali ya kombe la mataifa ya Afrika ,baada ya kuibanjua Guinea kwa mabao 3-0.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nusu fainali za michuano ya French Open

Wachezaji watatu maarufu wa tenis duniani wamefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya michauno ya French Open

 

10 years ago

BBCSwahili

Bayern na Barcelona,watinga Nusu Fainali

Klabu za Bayern Myunik ya Ujerumani na Barcelona ya Hispania zimetinga nusu Fainali katika ligi ya Mabingwa barani Ulaya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Timu 4 zatinga nusu fainali,Ulaya

Timu nne zimetinga hatua ya nusu fainali katika ligi ya mabingwa barani Ulaya iliyokamilika hapo jana.

 

9 years ago

Habarileo

Friends Rangers sasa nusu fainali

TIMU ya Friends Rangers imekuwa timu ya tatu kukata tiketi ya kucheza nusu fainali ya mashindano ya Ndondo Cup baada ya kuifunga Boom FC bao 1-0 kwenye Uwanja wa Bandari Temeke.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani