Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waziri asema wananchi hawana imani na polisi

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mohamed Aboud Mohamed amesema wananchi hawana imani tena na Jeshi la Polisi kwa kuwa vitendo vya uhalifu vinafanyika, lakini hakuna wanaotiwa mbaroni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kwa nini Watanzania hawana imani na waganga wa jadi?

Kila baada ya hatua chache katika majiji makubwa kama Mwanza, Arusha, Dar es Salaam, Mbeya na Tanga, si ajabu kukutana na mabango ya biashara ya kutibu nguvu za kiume, kukuza sehemu za uume, kuongeza makalio, akili za darasani, nyota ya maisha na magonjwa ya zinaa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Museveni asema ana imani atashinda urais

Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesema wagombea urais wanaoshindana naye kwenye uchaguzi mkuu mwaka ujao si tishio kwake.

 

10 years ago

Habarileo

Wananchi Bunda hawana chakula

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) katika Wilaya ya Bunda mkoani Mara, kimeitaka serikali kupeleka chakula cha msaada kwa wananchi ambao mazao yao yameshambuliwa na tembo, kutoka katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, kwa sababu wanakabiliwa na njaa kubwa.

 

9 years ago

Bongo5

Tunakubali watu wametuchoka, tuna kazi kubwa ya kujijenga na kurudisha imani — Asema Lundenga

Mkurugenzi wa Lino International Agency ambao ni waandaaji wa Miss Tanzania, Hashimu Lundenga amesema kuwa baada ya Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kulifungulia shindano hilo, sasa wana kazi kubwa ya kurudisha imani kwa mashabiki na wadhamini. “Sisi kama Lino International Agency Ltd tumepokea taarifa za kufunguliwa kwa mashindano ya Miss Tanzania kwa furaha sana, […]

 

10 years ago

Mwananchi

Wananchi wanapopoteza imani na mihimili ya dola — (2)

Jumapili iliyopita niligusia dhana ya wananchi kupoteza imani na mihimili ya dola. Niliigusa mihimili ya Mahakama na Bunge. Nilianza kueleza kuhusu Bunge na niliahidi kuendelea katika makala ya leo.

 

11 years ago

Mwananchi

Polisi wa Brazil hawana shida na mtu

Polisi wa Brazil hawana shida na mtu. Karibu kila kona unayopita kuna polisi. Lakini hawana shida na mtu mpaka ulete tatizo. Binafsi nawaona vivutio sana. Wanakufanya ujisikie uko salama kwa saa 24.

 

10 years ago

Mwananchi

NYANZA: Imani za kishirikina zaendelea kuwatesa wananchi Serengeti

>Sakata la watu kupigwa kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya ushirikina katika Kijiji cha Ikoma Robanda, wilayani Serengeti, Mkoa wa Mara limezidi kushika kasi baada ya watu wengine 14 kupigwa, kati yao wawili wakilazwa hospitalini.

 

11 years ago

Mwananchi

IMANI: Waziri atishia kulifuta Kanisa la Moravian

>Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe ametishia kulifuta Kanisa la Moravian kutokana na migogoro ya mara kwa mara inayolikumba.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Rais Magufuli asema ana imani ugonjwa wa corona umeondolewa kwa nguvu za Mwenyezi Mungu

Rais Magufuli aliwaomba raia wa taifa hilo kutumia siku tatu kuanzia tarehe 17 hadi 19 Aprili 2020, kumuomba Mwenyezi Mungu ili kuwaepusha na janga la ugonjwa wa corona.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani