NYANZA: Imani za kishirikina zaendelea kuwatesa wananchi Serengeti
>Sakata la watu kupigwa kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya ushirikina katika Kijiji cha Ikoma Robanda, wilayani Serengeti, Mkoa wa Mara limezidi kushika kasi baada ya watu wengine 14 kupigwa, kati yao wawili wakilazwa hospitalini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi10 Feb
NYANZA: Saba wanusurika kufa kwa tuhuma za kishirikina
11 years ago
Habarileo03 Jan
Achinjwa kwa imani za kishirikina
MKAZI wa Kijiji cha Kakese-Mkwajuni, wilayani Mpanda, Shoma Salum (78) ameuawa kwa kuchinjwa kwa kile kinachodaiwa ni kutokana na imani za kishirikina.
10 years ago
Mwananchi08 Nov
Imani za kishirikina zinavyochangia unyanyasaji wa kijinsia
10 years ago
Tanzania Daima19 Sep
Wajiondoa vicoba kwa imani za kishirikina
WANANCHI mkoani Iringa, huenda wakakwama kufikia lengo la kuanzisha Benki ya wananchi waishio vijijini (Vicoba) kutokana na baadhi ya wanachama kujiondoa katika vikundi hivyo kutokana na imani za ushirikina. Hatua...
10 years ago
Mwananchi17 Sep
Mwanamke auawa kwa imani za kishirikina
10 years ago
Mwananchi05 Nov
Watano wafa kwa imani za kishirikina
10 years ago
Mwananchi03 Aug
Theresia , mjane aliyetengwa kwa imani za kishirikina
11 years ago
Habarileo12 Jan
Watatu wauawa Mbeya, yumo wa imani za kishirikina
WATU watatu wamekufa katika matukio matatu tofauti likiwamo la mauaji yatokanayo na imani za kishirikina.
9 years ago
Habarileo06 Nov
Auawa, anyofolewa viungo kwa imani za kishirikina
WATU wawili wamekufa katika matukio tofauti yaliyotokea mkoani Katavi akiwemo mkazi wa kijiji cha Mgasa, Tarafa ya Kabungu wilayani Mpanda, Chiza Lamaeck (23) kuuawa kikatili kwa kunyofolewa viungo vyake vya mwili zikiwemo sehemu zake za siri kwa imani za kishirikina.