Tuna maswali ya kujibu asema Wenger
Wenger asisitiza kuwa wana uwezo wa kushinda ligi kuu msimu huu lakini amekiri kipigo walichopata Anfeild kimezua maswali mengi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili25 Nov
Wenger:Tuna matumaini ya kufuzu
Arsene Wenger ana imani kwamba klabu yake itafuzu katika kundi la vilabu 16 katika kombe la vilabu bingwa Ulaya
9 years ago
BBCSwahili22 Oct
Bi Clinton kujibu maswali ya Congress
Mwaniaji wa urais nchini Marekani bi Hillary Clinton anatarajiwa kutoa ushahidi wake mbele ya wabunge wa Congress leo.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ctVGzmtSoN8WGz7UjVkDAT4YJ0EcZq8me6FyRyg*tqSNfKRfdINpR*GnINQogeswJCFqYkZxBEGJzu7xtFltU6qXgT2lt32E/EdwardLowassa1024x1024.jpg?width=650)
Lowassa ashindwa kujibu maswali BBC
Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa. Na Hamida Hassan MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa, (pichani) ameshindwa kujibu maswali aliyoulizwa na Mwandishi wa Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC), Zuhura Yunus, kuhusu ahadi yake ya elimu bure hadi chuo kikuu pamoja na namna atakavyopambana na ufisadi. Katika mahojiano hayo yaliyorushwa hewani Oktoba 21, 2015, Lowassa amesema suala la ufisadi...
11 years ago
Mwananchi05 Jun
Shein awataka mawaziri Z’bar kujibu maswali kwa hoja
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein amewataka mawaziri kujibu maswali yanayoulizwa na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kwa hoja na kwa umakini mkubwa ili kufanikisha utekelezaji wa wajibu wa baraza wa kuisimamia Serikali.
10 years ago
MichuziCMSA YAZINDUA MASHINDANO YA INSHA NA KUJIBU MASWALI KWA WANAVYOU KOTE NCHINI
Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) imezindua mashindano ya ya insha na kujibu maswali yanayolenga kuelimisha wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu kote nchini kuhusu uelewa wa masoko ya mitaji na dhamana. Mashindano hayo yanayolenga kuongeza ari kwa wanafunzi kujifunza kuhusu masoko ya mitaji yanashindanisha wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu nchini bila kujali taaluma wanayosemea. Uzinduzi rasmi umefanyika tarehe 1 June 2015 mjini Dar es Salaam na yanatarajiwa kumalizika tarehe 15...
10 years ago
BBCSwahili27 Mar
Walcot asema hajakosana na Wenger
Theo Walcot anasema kuwa hajakosana na meneja Arsene Wenger na kuongezea kwamba bado hajaanza mazungumzo ya mkataba mpya
9 years ago
Bongo521 Aug
Tunakubali watu wametuchoka, tuna kazi kubwa ya kujijenga na kurudisha imani — Asema Lundenga
Mkurugenzi wa Lino International Agency ambao ni waandaaji wa Miss Tanzania, Hashimu Lundenga amesema kuwa baada ya Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kulifungulia shindano hilo, sasa wana kazi kubwa ya kurudisha imani kwa mashabiki na wadhamini. “Sisi kama Lino International Agency Ltd tumepokea taarifa za kufunguliwa kwa mashindano ya Miss Tanzania kwa furaha sana, […]
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-eSImuHf-FM0/U54ZDPbs24I/AAAAAAAFq7E/OPDW-WrUdPs/s72-c/article-2658454-1EBE4D1000000578-560_634x861.jpg)
Cesc Fabregas afunguka, asema Nimehamia Chelsea sababu Wenger kaniambia sina namba Arsenal
![](http://3.bp.blogspot.com/-eSImuHf-FM0/U54ZDPbs24I/AAAAAAAFq7E/OPDW-WrUdPs/s1600/article-2658454-1EBE4D1000000578-560_634x861.jpg)
11 years ago
BBCSwahili28 Jul
Ukrain kujibu mapigo
Jeshi la Ukrain limeanza kujihami mashariki mwa nchi hiyo dhidi ya mashambulizi ya waasi wa Urusi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania