Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tuna maswali ya kujibu asema Wenger

Wenger asisitiza kuwa wana uwezo wa kushinda ligi kuu msimu huu lakini amekiri kipigo walichopata Anfeild kimezua maswali mengi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Wenger:Tuna matumaini ya kufuzu

Arsene Wenger ana imani kwamba klabu yake itafuzu katika kundi la vilabu 16 katika kombe la vilabu bingwa Ulaya

 

9 years ago

BBCSwahili

Bi Clinton kujibu maswali ya Congress

Mwaniaji wa urais nchini Marekani bi Hillary Clinton anatarajiwa kutoa ushahidi wake mbele ya wabunge wa Congress leo.

 

9 years ago

GPL

Lowassa ashindwa kujibu maswali BBC

Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa. Na Hamida Hassan MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa, (pichani) ameshindwa kujibu maswali aliyoulizwa na Mwandishi wa Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC), Zuhura Yunus, kuhusu ahadi yake ya elimu bure hadi chuo kikuu pamoja na namna atakavyopambana na ufisadi. Katika mahojiano hayo yaliyorushwa hewani Oktoba 21, 2015, Lowassa amesema suala la ufisadi...

 

11 years ago

Mwananchi

Shein awataka mawaziri Z’bar kujibu maswali kwa hoja

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein amewataka mawaziri kujibu maswali yanayoulizwa na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kwa hoja na kwa umakini mkubwa ili kufanikisha utekelezaji wa wajibu wa baraza wa kuisimamia Serikali.

 

10 years ago

Michuzi

CMSA YAZINDUA MASHINDANO YA INSHA NA KUJIBU MASWALI KWA WANAVYOU KOTE NCHINI

Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) imezindua mashindano ya ya insha na kujibu maswali yanayolenga kuelimisha wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu kote nchini kuhusu uelewa wa masoko ya mitaji na dhamana. Mashindano hayo yanayolenga kuongeza ari kwa wanafunzi kujifunza kuhusu masoko ya mitaji yanashindanisha wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu nchini bila kujali taaluma wanayosemea. Uzinduzi rasmi umefanyika tarehe 1 June 2015 mjini Dar es Salaam na yanatarajiwa kumalizika tarehe 15...

 

10 years ago

BBCSwahili

Walcot asema hajakosana na Wenger

Theo Walcot anasema kuwa hajakosana na meneja Arsene Wenger na kuongezea kwamba bado hajaanza mazungumzo ya mkataba mpya

 

9 years ago

Bongo5

Tunakubali watu wametuchoka, tuna kazi kubwa ya kujijenga na kurudisha imani — Asema Lundenga

Mkurugenzi wa Lino International Agency ambao ni waandaaji wa Miss Tanzania, Hashimu Lundenga amesema kuwa baada ya Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kulifungulia shindano hilo, sasa wana kazi kubwa ya kurudisha imani kwa mashabiki na wadhamini. “Sisi kama Lino International Agency Ltd tumepokea taarifa za kufunguliwa kwa mashindano ya Miss Tanzania kwa furaha sana, […]

 

11 years ago

Michuzi

Cesc Fabregas afunguka, asema Nimehamia Chelsea sababu Wenger kaniambia sina namba Arsenal

 Kiungo wa Spain  Cesc Fabregas (pichani) amefunguka leo kwa kusema alifanya mazungumzo na kocha wa Arsenal Arsene Wenge kabla ya kuhamia Chelsea, na kuambiwa kwamba nafasi yake tayari imeshacukuliwa na Mesut Ozil.  Fabregas alikuwa chagua la kwanza la Arsenal baada ya mchezaji huyo alipoamua kuondoka Barcelona mwishoni mwa msimu uliopita, lakini akamua kwenda Chelsea kwa dau la pauni milioni 30.  “Niliongea na Mzee Wenger naye akanambia atapata wakati mgumu kumpa nafasi ya kucheza kwani...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ukrain kujibu mapigo

Jeshi la Ukrain limeanza kujihami mashariki mwa nchi hiyo dhidi ya mashambulizi ya waasi wa Urusi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani