CMSA YAZINDUA MASHINDANO YA INSHA NA KUJIBU MASWALI KWA WANAVYOU KOTE NCHINI
Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) imezindua mashindano ya ya insha na kujibu maswali yanayolenga kuelimisha wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu kote nchini kuhusu uelewa wa masoko ya mitaji na dhamana. Mashindano hayo yanayolenga kuongeza ari kwa wanafunzi kujifunza kuhusu masoko ya mitaji yanashindanisha wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu nchini bila kujali taaluma wanayosemea. Uzinduzi rasmi umefanyika tarehe 1 June 2015 mjini Dar es Salaam na yanatarajiwa kumalizika tarehe 15...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi05 Jun
Shein awataka mawaziri Z’bar kujibu maswali kwa hoja
10 years ago
Dewji Blog18 Aug
Msichana wa Kitanzania ashinda mashindano ya Insha ya SADC
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza mwanafunzi wa kidato cha nne Neema Steven Mtwanga(16) anayesoma katika shule ya sekondari Naboti Makambako, Njombe baada ya kuibuka mshindi wa kwanza katika utunzi wa insha katika shindano lililoandaliwa na Jumuiya ya uchumi ya maendeleo kusini mwa Afrika(SADC).Rais Kikwete alimpongeza mwanafunzi huyo wakati wa hafla ya ufunguzi wa mkutano wa 34 wa wakuu wa nchi za SADC unaofanyika katika mji wa kitalii wa Victoria Falls, nchini Zimbabwe ambapo...
9 years ago
BBCSwahili22 Oct
Bi Clinton kujibu maswali ya Congress
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ctVGzmtSoN8WGz7UjVkDAT4YJ0EcZq8me6FyRyg*tqSNfKRfdINpR*GnINQogeswJCFqYkZxBEGJzu7xtFltU6qXgT2lt32E/EdwardLowassa1024x1024.jpg?width=650)
Lowassa ashindwa kujibu maswali BBC
11 years ago
BBCSwahili10 Feb
Tuna maswali ya kujibu asema Wenger
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Uf5Jdma8M30uxCsq9iebCQv-gRy-4wz4j5Ob4lQ4Exg8JNYeg*-8gTGCBYF13*1tr9nPMHhLfrm1GaaN64VmFRtVJXwS5xYE/11.jpg?width=650)
TUNATAKA KAMPENI ZA AMANI NCHINI KOTE
9 years ago
Raia Mwema20 Nov
Wasomi tusijipendekeze kote kote, tutaanguka
Mhadhara huu utajikita kwenye mjadala juu ya mambo ambayo yanafaa kuzungumziwa na kubishaniwa kat
Issa Shivji