Msichana wa Kitanzania ashinda mashindano ya Insha ya SADC
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza mwanafunzi wa kidato cha nne Neema Steven Mtwanga(16) anayesoma katika shule ya sekondari Naboti Makambako, Njombe baada ya kuibuka mshindi wa kwanza katika utunzi wa insha katika shindano lililoandaliwa na Jumuiya ya uchumi ya maendeleo kusini mwa Afrika(SADC).Rais Kikwete alimpongeza mwanafunzi huyo wakati wa hafla ya ufunguzi wa mkutano wa 34 wa wakuu wa nchi za SADC unaofanyika katika mji wa kitalii wa Victoria Falls, nchini Zimbabwe ambapo...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo18 Aug
Mtoto wa Kitanzania ashinda insha SADC
WATOTO wa Kitanzania kutoka shule za kawaida na zile za kata, wameendelea kuipa nchi heshima kimataifa, kwa kuongoza katika mashindano ya kitaaluma.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dbDz8bz8Q7mkse8tbbUQi-Lt8omAj15g0GA8T9IhR7*2voN0Q-50kYc4tmW3ZZfxVnfv3j*RY2AhxgilQERoNyCrfMN2tP4l/jk2.jpg?width=650)
MWANAFUNZI WA TANZANIA ATWAA TUZO YA INSHA NCHI ZA SADC
10 years ago
MichuziCMSA YAZINDUA MASHINDANO YA INSHA NA KUJIBU MASWALI KWA WANAVYOU KOTE NCHINI
10 years ago
BBCSwahili27 Jul
Froome ashinda mashindano baiskeli
9 years ago
Bongo526 Oct
Hamilton ashinda taji la tatu la mashindano ya United States Grand Prix
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_-wTNNcyhEI/VH_cJj9LsPI/AAAAAAAG1FM/gKf5-D6cpV8/s72-c/319804_2170215351771_2109605734_n.jpg)
wazo la kutafsiri kitabu cha CHANGAMOTO: Insha za Jamii.
![](http://3.bp.blogspot.com/-_-wTNNcyhEI/VH_cJj9LsPI/AAAAAAAG1FM/gKf5-D6cpV8/s1600/319804_2170215351771_2109605734_n.jpg)
Nawazia kuzirekebisha insha zilizomo, na kuchapisha kitabu cha ki-Ingereza. Kufanya hivyo kutakipa kitabu hadhira kubwa zaidi kuliko ile ya wajuao ki-Swahili. Nina hakika, kwa mfano, kuwa wa-Marekani watakitafuta na kukisoma. Kwa ujumla wasomaji wa vitabu vyangu ni wa-Marekani.
Ninaposhiriki matamasha hapa Marekani,...
9 years ago
Dewji Blog11 Sep
Shule Direct Tanzania yatoa zawadi kwa washindi wa Insha “A-Level-Category”
Wanafunzi wakipata Selfie ya pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa Shule Direct, Bi. Faraja Nyalandu.
Shule Direct ni taasisi binafsi inayojishughulisha na kutoa elimu kwa njia ya mtandao na teknolojia ya kidijiti. Kila mwaka Shule Direct huendesha mashindano ya uandishi wa insha kwa wanafunzi wa “O-Level” na “A-Level”; Mashindano hayo yapo wazi kwa shule zote za sekondari Tanzania kushiriki.
Tarehe 9/09/2015 Shule Direct kwa kushirikiana na taasisi ya Flaviana Matata Foundation, Samsung Tanzania,...
11 years ago
BBCSwahili12 Jun
Msichana mwingine ajinyonga India
10 years ago
BBCSwahili21 Nov
Msichana kutoka Syria ashitakiwa