Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bi Clinton kujibu maswali ya Congress

Mwaniaji wa urais nchini Marekani bi Hillary Clinton anatarajiwa kutoa ushahidi wake mbele ya wabunge wa Congress leo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

Lowassa ashindwa kujibu maswali BBC

Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa. Na Hamida Hassan MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa, (pichani) ameshindwa kujibu maswali aliyoulizwa na Mwandishi wa Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC), Zuhura Yunus, kuhusu ahadi yake ya elimu bure hadi chuo kikuu pamoja na namna atakavyopambana na ufisadi. Katika mahojiano hayo yaliyorushwa hewani Oktoba 21, 2015, Lowassa amesema suala la ufisadi...

 

11 years ago

BBCSwahili

Tuna maswali ya kujibu asema Wenger

Wenger asisitiza kuwa wana uwezo wa kushinda ligi kuu msimu huu lakini amekiri kipigo walichopata Anfeild kimezua maswali mengi

 

11 years ago

Mwananchi

Shein awataka mawaziri Z’bar kujibu maswali kwa hoja

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein amewataka mawaziri kujibu maswali yanayoulizwa na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kwa hoja na kwa umakini mkubwa ili kufanikisha utekelezaji wa wajibu wa baraza wa kuisimamia Serikali.

 

10 years ago

Michuzi

CMSA YAZINDUA MASHINDANO YA INSHA NA KUJIBU MASWALI KWA WANAVYOU KOTE NCHINI

Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) imezindua mashindano ya ya insha na kujibu maswali yanayolenga kuelimisha wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu kote nchini kuhusu uelewa wa masoko ya mitaji na dhamana. Mashindano hayo yanayolenga kuongeza ari kwa wanafunzi kujifunza kuhusu masoko ya mitaji yanashindanisha wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu nchini bila kujali taaluma wanayosemea. Uzinduzi rasmi umefanyika tarehe 1 June 2015 mjini Dar es Salaam na yanatarajiwa kumalizika tarehe 15...

 

11 years ago

BBC

Libya's Congress confirms new PM

Libya's Congress confirms the appointment of Ahmed Maitig as the new interim prime minister following controversy over his election.

 

10 years ago

BBCSwahili

Netanyahu kuhutubia Congress leo

Waziri wa mambo ya nje wa Israel Banjamin Netanyahu atalihutubia Bunge la Congress leo kuhusu mpango wa Nyuklia wa Iran

 

10 years ago

BBCSwahili

Spika wa Congress Brazil kushtakiwa

Waendesha mashtaka wa Brazil wamefungua mashtaka ya rushwa na usafishaji wa fedha chafu dhidi ya Spika wa Congress, Eduardo Cunha

 

10 years ago

TheCitizen

US Congress approves MCC funding

The US Congress has approved an allocation of $9.78 million (Sh16.14 billion) to help Tanzania lay the groundwork for the much anticipated Millennium Challenge Corporation (MCC) funding.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani