Bi Clinton kujibu maswali ya Congress
Mwaniaji wa urais nchini Marekani bi Hillary Clinton anatarajiwa kutoa ushahidi wake mbele ya wabunge wa Congress leo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
Lowassa ashindwa kujibu maswali BBC
Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa. Na Hamida Hassan MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa, (pichani) ameshindwa kujibu maswali aliyoulizwa na Mwandishi wa Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC), Zuhura Yunus, kuhusu ahadi yake ya elimu bure hadi chuo kikuu pamoja na namna atakavyopambana na ufisadi. Katika mahojiano hayo yaliyorushwa hewani Oktoba 21, 2015, Lowassa amesema suala la ufisadi...
11 years ago
BBCSwahili10 Feb
Tuna maswali ya kujibu asema Wenger
Wenger asisitiza kuwa wana uwezo wa kushinda ligi kuu msimu huu lakini amekiri kipigo walichopata Anfeild kimezua maswali mengi
11 years ago
Mwananchi05 Jun
Shein awataka mawaziri Z’bar kujibu maswali kwa hoja
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein amewataka mawaziri kujibu maswali yanayoulizwa na Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kwa hoja na kwa umakini mkubwa ili kufanikisha utekelezaji wa wajibu wa baraza wa kuisimamia Serikali.
10 years ago
MichuziCMSA YAZINDUA MASHINDANO YA INSHA NA KUJIBU MASWALI KWA WANAVYOU KOTE NCHINI
Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) imezindua mashindano ya ya insha na kujibu maswali yanayolenga kuelimisha wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu kote nchini kuhusu uelewa wa masoko ya mitaji na dhamana. Mashindano hayo yanayolenga kuongeza ari kwa wanafunzi kujifunza kuhusu masoko ya mitaji yanashindanisha wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu nchini bila kujali taaluma wanayosemea. Uzinduzi rasmi umefanyika tarehe 1 June 2015 mjini Dar es Salaam na yanatarajiwa kumalizika tarehe 15...
11 years ago
BBC
Libya's Congress confirms new PM
Libya's Congress confirms the appointment of Ahmed Maitig as the new interim prime minister following controversy over his election.
10 years ago
BBCSwahili03 Mar
Netanyahu kuhutubia Congress leo
Waziri wa mambo ya nje wa Israel Banjamin Netanyahu atalihutubia Bunge la Congress leo kuhusu mpango wa Nyuklia wa Iran
10 years ago
BBCSwahili21 Aug
Spika wa Congress Brazil kushtakiwa
Waendesha mashtaka wa Brazil wamefungua mashtaka ya rushwa na usafishaji wa fedha chafu dhidi ya Spika wa Congress, Eduardo Cunha
10 years ago
TheCitizen01 Dec
US Congress approves MCC funding
The US Congress has approved an allocation of $9.78 million (Sh16.14 billion) to help Tanzania lay the groundwork for the much anticipated Millennium Challenge Corporation (MCC) funding.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania