CHENGE, CHENGE, CHENGE TENA?
Makala: Ojuku Abraham KAMA Mwalimu Julius Kambarage Nyerere angekuwa bado anatawala nchi hii, ni watu wachache sana wangeweza kulijua jina la Andrew Chenge, yule mwanasheria mkuu wa zamani wa serikali, aliyekaa katika ofisi hiyo kubwa na yenye heshima, kuanzia mwaka 1993 hadi 2005. Lakini katika nchi ambayo inaendeshwa kwa hila na dili, jina hili linajipatia umaarufu na kuenziwa, bila kujali ni kwa kiasi gani, Watanzania zaidi...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima18 Feb
Chenge
WAKATI Bunge la Katiba linatarajia kufanya uchaguzi wa mwenyekiti wake, Mbunge wa Bariadi Mashariki, Andrew Chenge, ametajwa kuwa kada anayefaa kuwa mwenyekiti wa Bunge hilo Maalumu la Katiba, Tanzania Daima...
10 years ago
Mwananchi26 Feb
Mazito ya Chenge yaibuka
11 years ago
TheCitizen15 Mar
Chenge’s pledge to CA members
10 years ago
TheCitizen05 Oct
It’s now Chenge versus Warioba
10 years ago
Mtanzania24 Apr
Chenge azua mtafaruku
Na Samwel Mwanga, Simiyu
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimemshutumu Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge (CCM) kuwa alitumia bastola yake kupiga risasi juu kuwatawanya wafuasi wa chama hicho waliokuwa katika ofisi za chama mkoani Simiyu na kuzua taharuki kubwa.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Bariadi jana, aliyekuwa Mwenyekiti wa Taifa wa Baraza la Vijana (BAVICHA), John Heche alisema tukio hilo lilitokea juzi saa 1:30 eneo la Salunda.
Hata hivyo, madai ya...
11 years ago
Tanzania Daima28 Jun
Chenge apasua serikali
HATIMAYE Kamati ya Bajeti inayoongozwa na Andrew Chenge, imeutosa kwa muda muswada wa kufuta baadhi ya misamaha ya kodi na ule wa kodi kwa madai haijapata muda wa kuipitia kwa...
10 years ago
Mwananchi19 Feb
Msaada wa Chenge ‘watafunwa’
10 years ago
Tanzania Daima06 Nov
CHADEMA wambomoa Chenge
CHAMA Chama cha Demokrasia na Maendeleo, (CHADEMA), kimemshukia Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge, (CCM), ambako kimevuna wanachama zaidi ya 50 wakiwemo viongozi wake wa vijiji watatu. Aidha, wananchi wa...
10 years ago
Habarileo27 Feb
Chenge akwama, akata rufaa
MBUNGE wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge ameendelea kupambana ili Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma, lisiendelee kusikiliza shauri lake, licha ya pingamizi lake kutupiliwa mbali jana.