CHADEMA wambomoa Chenge
CHAMA Chama cha Demokrasia na Maendeleo, (CHADEMA), kimemshukia Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge, (CCM), ambako kimevuna wanachama zaidi ya 50 wakiwemo viongozi wake wa vijiji watatu. Aidha, wananchi wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nBD8FQWarq*BNr2u7Fnt1NOcNRE6Oavxw6B1M-oixCauTNBJ2VAtSGittICsIYJBt4Y4BKLVQtwJhl3VQgSuZ9Pu5HUpFXOx/FrontMizengwecopy.jpg?width=650)
CHADEMA NUSURA WAMUUE CHENGE
10 years ago
Habarileo24 Apr
Chenge anusurika kipigo Chadema
MBUNGE wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge juzi aliokolewa kwa risasi katika vurugu za kundi la wananchi, waliomvamia karibu na ofisi za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Simiyu na kusababisha taharuki katika ofisi za chama hicho.
10 years ago
Mwananchi24 Apr
Risasi zarindima misafara ya Chenge, Chadema
10 years ago
GPLCHENGE, CHENGE, CHENGE TENA?
11 years ago
Tanzania Daima18 Feb
Chenge
WAKATI Bunge la Katiba linatarajia kufanya uchaguzi wa mwenyekiti wake, Mbunge wa Bariadi Mashariki, Andrew Chenge, ametajwa kuwa kada anayefaa kuwa mwenyekiti wa Bunge hilo Maalumu la Katiba, Tanzania Daima...
10 years ago
Mwananchi19 Feb
Msaada wa Chenge ‘watafunwa’
10 years ago
TheCitizen05 Oct
It’s now Chenge versus Warioba
10 years ago
Mtanzania24 Apr
Chenge azua mtafaruku
Na Samwel Mwanga, Simiyu
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimemshutumu Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge (CCM) kuwa alitumia bastola yake kupiga risasi juu kuwatawanya wafuasi wa chama hicho waliokuwa katika ofisi za chama mkoani Simiyu na kuzua taharuki kubwa.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Bariadi jana, aliyekuwa Mwenyekiti wa Taifa wa Baraza la Vijana (BAVICHA), John Heche alisema tukio hilo lilitokea juzi saa 1:30 eneo la Salunda.
Hata hivyo, madai ya...
10 years ago
Mwananchi26 Feb
Mazito ya Chenge yaibuka