CHADEMA NUSURA WAMUUE CHENGE
![](http://api.ning.com:80/files/nBD8FQWarq*BNr2u7Fnt1NOcNRE6Oavxw6B1M-oixCauTNBJ2VAtSGittICsIYJBt4Y4BKLVQtwJhl3VQgSuZ9Pu5HUpFXOx/FrontMizengwecopy.jpg?width=650)
Na Mwandishi Wetu Kimenuka! Wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mjini Bariadi, Simiyu, juzi almanusra wayakatishe maisha ya mbunge wa jimbo hilo, Mheshimiwa Andrew Chenge (pichani) baada ya kuvamia msafara wake, hali iliyolazimu risasi zitumike kumuokoa. Mh. Andrew Chenge Kwa mujibu wa habari zilizotua kwenye dawati la Uwazi Mizengwe, tukio hilo la aina yake, lilitokea mishale ya saa moja kasoro za jioni,...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima06 Nov
CHADEMA wambomoa Chenge
CHAMA Chama cha Demokrasia na Maendeleo, (CHADEMA), kimemshukia Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge, (CCM), ambako kimevuna wanachama zaidi ya 50 wakiwemo viongozi wake wa vijiji watatu. Aidha, wananchi wa...
10 years ago
Habarileo24 Apr
Chenge anusurika kipigo Chadema
MBUNGE wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge juzi aliokolewa kwa risasi katika vurugu za kundi la wananchi, waliomvamia karibu na ofisi za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Simiyu na kusababisha taharuki katika ofisi za chama hicho.
11 years ago
MichuziWAFUASI WA CCM,CHADEMA NUSURA WAZITWANGE MKUTANO WA NAIBU WAZIRI WA MAJI
10 years ago
Mwananchi24 Apr
Risasi zarindima misafara ya Chenge, Chadema
11 years ago
Dewji Blog16 Jul
Wafuasi wa CCM,CHADEMA nusura wazitwange mkutano wa Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla
Mbunge wa Jimbo la Kinondoni, Idd Azzan wa CCM (KULIA), akiamulia ugomvi wa Diwani wa Kimara, Pascal Manota wa Chadema (kushoto) na Mwenyekiti wa CCM, Wilaya ya Kinondoni, Salum Madenge waliotaka kuzichapa ulipotokea mzozo katika mkutano wa hadhara wa Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla katika Uwanja wa Shule ya Mavurunza, Kata ya Salanga, Jimbo la Ubungo, Dar es Salaam jana.
Na Mwandishi wetu
Jitihada za Mbunge wa Ubungo John Mnyika kuwazuia wananchi wasiendelee kumzomea Naibu waziri wa...
10 years ago
GPLCHENGE, CHENGE, CHENGE TENA?
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-TI4uM2ffQhZz03yUMJmMG83kYq2UxAbhMn4NI6*jrKkDb5L*tzinvAbL9I4d8*HKUS*Gft7KAYEqHEqi3ZO4xr6eafjjW8T/mrembo.jpg?width=650)
MREMBO NUSURA ABAKWE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oj4MhhoM4fRmHK4RfZkmN4BxCouCYkpaO-OV4leUSbREhKJboJW7t5GIqUeUJP8v-UY9I22BISlSIQHpzRBo00XVjrx5ZlFL/hausegirl.jpg)
HAUSIGELI NUSURA AUAWE
11 years ago
Mwananchi31 Jan
Mbunge, Mkurugenzi nusura wazichape