Chenge azua mtafaruku
Na Samwel Mwanga, Simiyu
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimemshutumu Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge (CCM) kuwa alitumia bastola yake kupiga risasi juu kuwatawanya wafuasi wa chama hicho waliokuwa katika ofisi za chama mkoani Simiyu na kuzua taharuki kubwa.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Bariadi jana, aliyekuwa Mwenyekiti wa Taifa wa Baraza la Vijana (BAVICHA), John Heche alisema tukio hilo lilitokea juzi saa 1:30 eneo la Salunda.
Hata hivyo, madai ya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLCHENGE, CHENGE, CHENGE TENA?
11 years ago
Habarileo02 Aug
Mtafaruku wazuka Baraza la Madiwani
UTARATIBU wa kuchagua kamati mbalimbali za baraza la madiwani wa Halmashauri ya Mji wa Kibaha mkoani Pwani, limekumbwa na mtafaruku.
10 years ago
BBCSwahili06 Jan
Mila zazua mtafaruku makaburini
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BY6VWIVrp21mRlhxnolY71pZCeCdQFH-n*4KTt17Lhg1MyGAbwHhlYqFnL0s1DyhX8OseWpC6HToFox5KLjU8yRv42CaHBYc/ukawa.jpg?width=650)
UKAWA YALETA MTAFARUKU MITAANI
10 years ago
Mwananchi24 May
Mgawanyo wa majimbo Kinondoni wazua mtafaruku
10 years ago
Mtanzania29 Jan
Kipigo cha Lipumba chazua mtafaruku
Na Waandishi Wetu, Dar na Dodoma
WAKATI Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba akipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam jana, Bunge lilivunja kikao chake baada ya kuibuka mjadala mkali kutoka kwa wabunge wa kambi ya upinzani.
Spika wa Bunge, Anne Makinda, alilazimika kuahirisha Bunge baada ya wabunge hao wa upinzani kutaka shughuli za Bunge ziahirishwe ili wajadili kitendo cha Jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam kumpiga Profesa...
11 years ago
Mwananchi15 Mar
Chopa yazua mtafaruku uchaguzi Kalenga
10 years ago
GPLMGOMO WA DALADALA DAR WASABABISHA MTAFARUKU WA USAFIRI
9 years ago
Mtanzania15 Oct
JK azua taharuki
NA MWANDISHI WETU, DODOMA
RAIS Jakaya Kikwete, amezua taharuki baada ya kutaja idadi kubwa ya wapiga kura waliojiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kuliko waliotajwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
Akizungumza mjini Dodoma jana wakati wa kilele cha sherehe za mbio za Mwenge wa Uhuru na maadhimisho ya Kumbukumbu ya Kifo cha Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere, Rais Kikwete alisema Watanzania wanaotarajia kupiga kura kwa upande wa Tanzania Bara ni milioni 28 na...