Chopa yazua mtafaruku uchaguzi Kalenga
>Polisi katika Mkoa wa Iringa, imepiga marufuku matumuzi ya helkopta siku ya uchaguzi mdogo wa Kalenga, kwa madai kuwa kufanya hivyo ni sawa na kupiga kampeni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo20 Jan
Chopa ya Mwigulu yazua maneno

Hatua hiyo ya Mwigulu, ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM Tanzania Bara, ilitangazwa na Mwenyekiti wa Chama hicho Mkoa wa Geita, Joseph Msukuma jana.
Msukuma alisema ameamua kumpa Mwigulu helikopta...
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Chopa balaa Kalenga
IKIWA imebaki siku moja kabla ya uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kalenga kufanyika, mvutano mkali kati ya Jeshi la Polisi mkoani Iringa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kuhusu ...
11 years ago
Mwananchi10 Mar
Helikopta yazua gumzo Kalenga
Wakazi wa Kijiji cha Ndiwili, Kata ya Magulilwa jimboni Kalenga, juzi walifunga shughuli zote katika kijiji hicho na kujitokeza kwa wingi kushuhudia mkutano wa Chadema ambao viongozi wake walitua katika kijiji hicho kwa kutumia helikopta.
11 years ago
Michuzi
TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YATOA UFAFANUZI KUHUSU DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA UCHAGUZI WA UBUNGE JIMBO LA KALENGA

11 years ago
Michuzi
JESHI LA POLISI LAWAHAKIKISHIA ULINZI NA USALAMA WANAKALENGA SIKU YA UCHAGUZI ,YAPIGA MARUFUKU MATUMIZI YA CHOPA .!

Ndugu waandishi wa habari , kwa niaba ya askari Polisi wa Mkoa wa Iringa, nitumie fursa hii...
10 years ago
GPLUCHAGUZI MKUU 2015: MAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA (TCAA) YAKATAZA KURUSHA CHOPA BILA KIBALI
UTANGULIZI
Tangazo hili linatolewa kwa lengo la kutoa mwongozo kwa watoa huduma za helikopta, marubani wake na umma kwa ujumla kuhusiana na hatua za kiusalama zinazopaswa kuzingatiwa inapolazimika kutoa huduma ya usafiri wa helikopta hapa nchini, hususan, maeneo ya mbali (vijijini) ambapo huduma za uongozaji ndege hazipo au sio maeneo maalum yaliyotengwa kwa ajili ya helikopta kutua (mahsusi kwa helikopta au viwanja vya ndege...
10 years ago
Vijimambo
MAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA (TCAA) YAKATAZA KURUSHA CHOPA BILA KIBALI KWA WAGOMBEA KATIKA UCHAGUZI MKUU 2015

11 years ago
Mwananchi05 Mar
Uchaguzi Kalenga na roho iliyo mkononi
Demokrasia ni mfumo wa siasa unaotoa fursa ya watu kuwa na haki ya kuchagua, kuchaguliwa na kuiwakilisha jamii katika ngazi za katika uamuzi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania