Helikopta yazua gumzo Kalenga
Wakazi wa Kijiji cha Ndiwili, Kata ya Magulilwa jimboni Kalenga, juzi walifunga shughuli zote katika kijiji hicho na kujitokeza kwa wingi kushuhudia mkutano wa Chadema ambao viongozi wake walitua katika kijiji hicho kwa kutumia helikopta.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi12 May
Helikopta ya Ndesamburo yazua sokomoko
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/--IRmLWQaSN0/VUSNRU_sz9I/AAAAAAAHUi8/6Z0ae17U3ZU/s72-c/DSCF9996.jpg)
LUKU YAZUA GUMZO NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/--IRmLWQaSN0/VUSNRU_sz9I/AAAAAAAHUi8/6Z0ae17U3ZU/s1600/DSCF9996.jpg)
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO) TAARIFA YA KUKOSEKANA KWA HUDUMA YA LUKU KWA BAADHI YA MAWAKALA
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linatoa ufafanuzi juu ya...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v4ZZJy3ZUOedGEN0I9wWrTMieimK1*Gna-XNzkHCejgZ7FibbAotaO5XsjfKgK6O7jmTwcpfFIe3l3UYitMUjK3rEQ58rHJ0/lowasa3.jpg?width=650)
STAILI YA KAMPENI YA LOWASSA YAZUA GUMZO
11 years ago
Mwananchi15 Mar
Chopa yazua mtafaruku uchaguzi Kalenga
10 years ago
CloudsFM26 Feb
Picha ya Zari akioga bafuni yazua gumzo mtandaoni
Picha ya mpenzi wa Staa wa Bongo Fleva,Diamond Platinum,Zari aliyoipost kwenye Account yake ya Instagram akiwa kwenye bafu akioga imezua gumzo kwenye mitandao huku wengine wakisema kuwa hakupaswa kuweka picha ile na kwamba amejianika na haina maadili.
Haya ni baadhi ya maoni ya mashabiki wakizungumzia picha hiyo: faridahfakhi Noo kinachotia kinyaa ni kwamba haikupaswa ajianike apo ili iweje istoshe kamera zinawastili watu
santamolly1234 ajui kulea bhana amewaacha watoto ug anakuja kula bhata...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-phn5cg9cZ2w/UyM_WOGpi4I/AAAAAAACcdk/UaiQcfMn7gk/s72-c/6.jpg)
KINANA ATUA KALENGA LEO,AMNADI MGOMBEA UBUNGE WA CCM JIMBO LA KALENGA KWA KISHINDO
![](http://1.bp.blogspot.com/-phn5cg9cZ2w/UyM_WOGpi4I/AAAAAAACcdk/UaiQcfMn7gk/s1600/6.jpg)
Kinana amewataka wakazi wa Kalenga kumpigia kura za kutosha na hatimae kuibuka mshindi kwa maendeleo ya jimbo hilo,hapo siku ya jumapili ambapo...
11 years ago
Michuzi10 Mar
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NxUT9ikLOjM/Uxt7w_6nioI/AAAAAAACb6Y/XepRUnKfDzM/s72-c/IMG_7757.jpg)
Meya wa Ilala Jerry Silaa,Mwakalebela waishambulia vilivyo Kalenga,wampigia debe la nguvu mgombea ubunge jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa
![](http://4.bp.blogspot.com/-NxUT9ikLOjM/Uxt7w_6nioI/AAAAAAACb6Y/XepRUnKfDzM/s1600/IMG_7757.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ShlZgfeEtBU/Uxt7x5TTc1I/AAAAAAACb6o/R1PCrEQ8wv4/s1600/IMG_7760.jpg)
11 years ago
Michuzi08 Feb
NYOTA YA JACKSON KISWAGA YANG'ARA KALENGA ,WANA KALENGA WAWAOMBA WAJUMBE WA HALMASHAURI KUU KUTOWACHAGULIA WINGINE ZAIDI YA KISWAGA
![](https://2.bp.blogspot.com/-DoCbFIk2njY/UvXax8PgNtI/AAAAAAABiGs/PbsJGBwjsnQ/s1600/004iringa+.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-GXLPCTA9BxM/UvXbBPpNNHI/AAAAAAABiG0/wy2BbXoQ4ew/s1600/images.jpg)
Bw Kiswaga akiwashukuru wana kalenga kwa maombi na imani yao kwake.
Na Francis Godwin, Iringa Wakati leo wajumbe wa Halmashauri kuu ya CCM jimbo la Kalenga wanakutaka katika ukumbi wa Siasa ni Kilimo mjini Iringa kumteua ...