LUKU YAZUA GUMZO NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/--IRmLWQaSN0/VUSNRU_sz9I/AAAAAAAHUi8/6Z0ae17U3ZU/s72-c/DSCF9996.jpg)
Pichani ni baadhi ya wakazi wa maeneo mbali mbali ya jiji la Dar, wakiwa kwenye foleni ya kununua umeme wa luku kwenye kituo cha Sayansi, Kijitonyama baada ya kupatwa na kwikwi kwa siku kadhaa zilizopita kwenye vituo vingine pamoja na kwenye mitandao ya simu.ila sasa Tanesco wametoa taarifa na kusema mambo yako mswano kwa sasa.
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO) TAARIFA YA KUKOSEKANA KWA HUDUMA YA LUKU KWA BAADHI YA MAWAKALA
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linatoa ufafanuzi juu ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi04 Mar
Luku yazua tafrani Mbeya
11 years ago
Mwananchi10 Mar
Helikopta yazua gumzo Kalenga
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v4ZZJy3ZUOedGEN0I9wWrTMieimK1*Gna-XNzkHCejgZ7FibbAotaO5XsjfKgK6O7jmTwcpfFIe3l3UYitMUjK3rEQ58rHJ0/lowasa3.jpg?width=650)
STAILI YA KAMPENI YA LOWASSA YAZUA GUMZO
10 years ago
CloudsFM26 Feb
Picha ya Zari akioga bafuni yazua gumzo mtandaoni
Picha ya mpenzi wa Staa wa Bongo Fleva,Diamond Platinum,Zari aliyoipost kwenye Account yake ya Instagram akiwa kwenye bafu akioga imezua gumzo kwenye mitandao huku wengine wakisema kuwa hakupaswa kuweka picha ile na kwamba amejianika na haina maadili.
Haya ni baadhi ya maoni ya mashabiki wakizungumzia picha hiyo: faridahfakhi Noo kinachotia kinyaa ni kwamba haikupaswa ajianike apo ili iweje istoshe kamera zinawastili watu
santamolly1234 ajui kulea bhana amewaacha watoto ug anakuja kula bhata...
10 years ago
BBCSwahili14 Apr
Mapigano nchini Ukrain yazua wasiwasi
10 years ago
Mtanzania14 Feb
Wasira azua gumzo nchini
NA MWANDISHI WETU
KITENDO cha Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Steven Wasira, kukosea kufunga vishikizo vya koti lake kimegeuka gumzo katika mitandao ya kijamii nchini.
Wasira alikumbwa na kadhia hiyo mwishoni mwa wiki iliyopita wakati wa sherehe za Utume zilizoandaliwa na Kanisa la Waadventista Wasabato(SDA) huku Makamu wa Rais, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akiwa mgeni rasmi.
Katika tukio hilo lililohudhuriwa na kiongozi wa waumini wa dhehebu la Waadventista Wasabato Duniani, Askofu Ted...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-heRTGBxvEtQ/VgGR6SqlQZI/AAAAAAAA6MU/B6XBHyc-bKg/s72-c/0P0A9624.jpg)
PUSH UP ZA DK MAGUFULI ZAWA GUMZO NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-heRTGBxvEtQ/VgGR6SqlQZI/AAAAAAAA6MU/B6XBHyc-bKg/s1600/0P0A9624.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-1UB3HM059b4/VgGR65-SADI/AAAAAAAA6MY/0IBb4ZjK9tU/s1600/0P0A9625.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-zzZeVVRJfIc/VgGR6DUECTI/AAAAAAAA6MQ/n6wBUuXno5I/s1600/0P0A9630.jpg)
5 years ago
BBCSwahili09 Jun
Matukio ya 'wasiojulikana' yaliyoibua gumzo nchini Tanzania