Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mapigano nchini Ukrain yazua wasiwasi

Mawaziri wa mashauri ya kigeni wa Ujerumani , Ufaransa , Urusi na Ukrain wameelezea wasi wasi wa mapigano mashariki mwa Ukrain

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mabadiliko ya Gmail yazua wasiwasi

Wateja wa Gmail wataweza kutuma ujumbe moja kwa moja katika akaunti nyinginezo za Gmail licha ya watumiaji kutofahamiana.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wasiwasi kuhusu hali nchini Somalia

Maafisa wa Marekani na EU wanafanya mkutano wa dharura na Rais wa Somalia, Hassan Mohamoud, kujadili hali ya usalama inayoendelea kuzorota nchini humi.

 

10 years ago

Michuzi

LUKU YAZUA GUMZO NCHINI

Pichani ni baadhi ya wakazi wa maeneo mbali mbali ya jiji la Dar, wakiwa kwenye foleni ya kununua umeme wa luku kwenye kituo cha Sayansi, Kijitonyama baada ya kupatwa na kwikwi kwa siku kadhaa zilizopita kwenye vituo vingine pamoja na kwenye mitandao ya simu.ila sasa Tanesco wametoa taarifa na kusema mambo yako mswano kwa sasa.
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)  TAARIFA YA KUKOSEKANA KWA HUDUMA YA LUKU KWA BAADHI YA MAWAKALA
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linatoa ufafanuzi juu ya...

 

9 years ago

Michuzi

MAGUFULI AAHIDI KUKOMESHA MAPIGANO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI NCHINI

  Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia umati wa watu kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma leo, akiendelea na kampeni zake za kuisaka Ikulu nchini Kote huku akiwaomba Watanzania kumpigia kura za ndiyo ifikapo Oktoba 25 mwaka huu katika uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani ili aweze kuwatumikia kwa uaminifu mkubwa.
Akitoa hotuba yake katika moja ya mikutano  yake alioufanya katika mji...

 

9 years ago

Dewji Blog

MAGUFULI AAHIDI: Ni suala la kukomesha mapigano ya wakulima na wafugaji nchini!

Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia umati wa watu kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma, akiendelea na kampeni zake za kuisaka Ikulu nchini Kote huku akiwaomba Watanzania kumpigia kura za ndiyo ifikapo Oktoba 25 mwaka huu katika uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani  ili aweze kuwatumikia kwa uaminifu mkubwa. PICHA NA MICHUZI JR-DODOMA Dkt Magufuli ameahidi kuwa mara baada ya kuchaguliwa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Wananchi wengi wanaamini kuwa gesi imeleta neema nchini Tanzania, lakini wengi wana wasiwasi kuwa Serikali na matajiri watafaidika zaidi

mabomba ya gesi

Mabomba ya kusafirisha gesi kutoka Mtwara kwenda Dar es Salaam.

Wananchi wanne kati ya watano wanaamini kuwa mafuta na gesi yatawanufaisha wao, watoto wao na nchi yao kwa ujumla. Wakati huo huo, wananchi wanne kati ya kumi (37%) wanaamini kuwa viongozi wa Serikali na matajiri ndio wataofaidika zaidi. Pia, zaidi ya nusu (55%)  wangependa baadhi ya mapato ya mafuta na gesi wapewe wananchi moja kwa moja kama fedha taslimu.

Matokeo haya yametolewa na Twaweza katika muhtasari wa utafiti wenye...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mashambulizi yaendelea Ukrain

Ukrain inasema kuwa mmoja wa wanajeshi wake ameuawa na wengine 14 kujeruhiwa kwenye mashambulizi mapya yanayoendeshwa na waasi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ukrain kujibu mapigo

Jeshi la Ukrain limeanza kujihami mashariki mwa nchi hiyo dhidi ya mashambulizi ya waasi wa Urusi

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yaunga mkataba wa Ukrain

Ikulu ya whitehouse nchini Marekani yafurahishwa na makubaliano kati ya serikali na upinzani nchini Ukrain ili kumaliza mzozo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani