Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mabadiliko ya Gmail yazua wasiwasi

Wateja wa Gmail wataweza kutuma ujumbe moja kwa moja katika akaunti nyinginezo za Gmail licha ya watumiaji kutofahamiana.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mapigano nchini Ukrain yazua wasiwasi

Mawaziri wa mashauri ya kigeni wa Ujerumani , Ufaransa , Urusi na Ukrain wameelezea wasi wasi wa mapigano mashariki mwa Ukrain

 

11 years ago

BBCSwahili

Akaunti yako ya Gmail iko salama

Mtandao wa Google umetangaza kusitisha mpango wake wa kuchunguza akaunti za Gmail

 

5 years ago

The Guardian

Google outage hits Gmail, Snapchat and Nest

Google outage hits Gmail, Snapchat and Nest  The GuardianGoogle says it has fixed an issue that caused Gmail to go down for more than 2,000 users - Business Insider  Business InsiderGmail Down (not working), you are not alone many other are having issues with Gmail  DigiStatementGmail BACK online after Google email app suffered mystery global outage  The SunGmail down for thousands in mysterious global outage  New York Post View Full coverage on Google...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mabadiliko boraa ndiyo wanainchi wanayohitaji na sio bora mabadiliko-Dkt Magufuli

 Baadhi ya Wakazi wa mji wa Musoma waliojitokeza kwa wingi wakimsikiliza Mgombea wa Urais kupitia CCM Dkt. John Pombe Magufuli alipokuwa  akiwahutubia jioni ya leo kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika kwenye uwanja wa Mkendo,Dkt Magufuli aliwaambia wananchi hao ifikapo oktoba 25 wajitokeze kwa wingi wakampigie kura kwani anataka kuwatumikia Watanzania kwa kuwaletea maendeleo.   Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi wa Musoma mjini kwenye mkutano...

 

9 years ago

Michuzi

DKT MAGUFULI ALIVYOITEKA MUSOMA, ASEMA MABADILIKO BORA NDIYO WANAINCHI WANAYOHITAJI NA SIO BORA MABADILIKO

 Baadhi ya Wakazi wa mji wa Musoma waliojitokeza kwa wingi wakimsikiliza Mgombea wa Urais kupitia CCM Dkt. John Pombe Magufuli alipokuwa  akiwahutubia jioni ya leo kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika kwenye uwanja wa Mkendo,Dkt Magufuli aliwaambia wananchi hao ifikapo oktoba 25 wajitokeze kwa wingi wakampigie kura kwani anataka kuwatumikia Watanzania kwa kuwaletea maendeleo.  Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi wa Musoma mjini kwenye mkutano wa...

 

9 years ago

Michuzi

MABADILIKO BORA NDIYO WANAINCHI WANAYOHITAJI NA SIO BORA MABADILIKO-DKT MAGUFULI

 Baadhi ya Wakazi wa mji wa Musoma waliojitokeza kwa wingi wakimsikiliza Mgombea wa Urais kupitia CCM Dkt. John Pombe Magufuli alipokuwa  akiwahutubia jioni ya leo kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika kwenye uwanja wa Mkendo,Dkt Magufuli aliwaambia wananchi hao ifikapo oktoba 25 wajitokeze kwa wingi wakampigie kura kwani anataka kuwatumikia Watanzania kwa kuwaletea maendeleo.   Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi wa Musoma mjini kwenye mkutano wa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Wasiwasi watanda Zanzibar

Vyombo vya usalama vimewekwa katika hali ya tahadhari kubwa kutokana na machafuko yaliyochochewa na mgombea wa kiti cha urais kujitangaza kuwa mshindi

 

10 years ago

BBCSwahili

Wasiwasi wa wanablogu Tanzania

Baadhi ya wamiliki wa blogu nchini Tanzania wameonyesha wasiwasi baada ya wito kutolewa wa kuwataka wafanye kazi chini ya jumuia inayotambulika.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wasiwasi wa UN kuhusu CAR

Naibu mkuu wa UN ameelezea wasiwasi kuhusu hali katika Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo, akitaka kikosi maalum cha amani kupelekwa nchini humo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani