Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasiwasi wa wanablogu Tanzania

Baadhi ya wamiliki wa blogu nchini Tanzania wameonyesha wasiwasi baada ya wito kutolewa wa kuwataka wafanye kazi chini ya jumuia inayotambulika.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vy corona: Tanzania yasema hakuna haja ya kuwa na wasiwasi

Serikali ya Tanzania imekana madai kwamba taifa hilo linajikokota katika vita dhidi ya virusi vya corona

 

11 years ago

BBCSwahili

Kesi ya wanablogu yaahirishwa Ethiopia

Kesi ya wanablogu kumi waliokuwa wanakabiliwa na mashitaka ya ugaidi imeahairishwa hadi Agosti 20.

 

11 years ago

BBCSwahili

Hasira kwa kukamatwa wanablogu Ethiopia

Hatua ya serikali ya Ethiopia kuwakamata wanablogu 9 imezua hasira kwenye mitandao ya kijamii nchini humo

 

11 years ago

GPL

WANANCHI WANAAMINI GESI IMELETA NEEMA TANZANIA JAPO WANA WASIWASI KUWA SERIKALI, MATAJIRI WATAFAIDIKA ZAIDI

Juni 3, 2014, Dar es Salaam: Wananchi wanne kati ya watano wanaamini kuwa mafuta na gesi yatawanufaisha wao, watoto wao na nchi yao kwa ujumla. Wakati huo huo, wananchi wanne kati ya kumi (37%) wanaamini kuwa viongozi wa Serikali na matajiri ndio wataofaidika zaidi. Pia, zaidi ya nusu (55%)  wangependa baadhi ya mapato ya mafuta na gesi wapewe wananchi moja kwa moja kama fedha taslimu. Matokeo haya yametolewa na Twaweza katika...

 

10 years ago

Michuzi

Habari njema kwa WanaBlogu waTanzaniania juu Uandikishaji Wanachama TBN

Chama cha Wamiliki/Waendeshaji wa Mitandao ya Jamii nchini 'Tanzania Bloggers Network' - TBN kinapenda kuwajulisha wanaotaka kujiunga na chama hicho kuwa fomu za kujiunga zinatolewa. Wahusika ni wamiliki na waendeshaji wote wa mitandao ya kijamii (blogs na forums) Tanzania na Watanzania wanaofanya kazi kama hiyo nje ya nchi.
Sifa kuu kwa mwanachama ni kuwa na blog ambayo ina umri wa miezi sita tangu ianze kuendeshwa mfululizo. Kwa wa kazi wa Dar es Salaam wenye sifa ambao wanataka kujiunga...

 

11 years ago

Dewji Blog

Wananchi wengi wanaamini kuwa gesi imeleta neema nchini Tanzania, lakini wengi wana wasiwasi kuwa Serikali na matajiri watafaidika zaidi

mabomba ya gesi

Mabomba ya kusafirisha gesi kutoka Mtwara kwenda Dar es Salaam.

Wananchi wanne kati ya watano wanaamini kuwa mafuta na gesi yatawanufaisha wao, watoto wao na nchi yao kwa ujumla. Wakati huo huo, wananchi wanne kati ya kumi (37%) wanaamini kuwa viongozi wa Serikali na matajiri ndio wataofaidika zaidi. Pia, zaidi ya nusu (55%)  wangependa baadhi ya mapato ya mafuta na gesi wapewe wananchi moja kwa moja kama fedha taslimu.

Matokeo haya yametolewa na Twaweza katika muhtasari wa utafiti wenye...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wasiwasi wa UN kuhusu CAR

Naibu mkuu wa UN ameelezea wasiwasi kuhusu hali katika Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo, akitaka kikosi maalum cha amani kupelekwa nchini humo

 

10 years ago

BBCSwahili

Wasiwasi watanda Zanzibar

Vyombo vya usalama vimewekwa katika hali ya tahadhari kubwa kutokana na machafuko yaliyochochewa na mgombea wa kiti cha urais kujitangaza kuwa mshindi

 

11 years ago

Mwananchi

Tido Mhando:Mazungumzo ya wasiwasi

Niliingia kwenye mgahawa huo kwa tahadhari kubwa sana nikimfuata nyuma aliyekuwa mwenyeji wangu pale, Hatty MacGhee, ambaye ndiye aliyenipigia kelele za kuniita wakati nikipita nje ya mgahawa huu uliopo eneo la maduka mengi yanayomilikiwa na wafanyabiashara wa Kihindi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani