Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasiwasi watanda Zanzibar

Vyombo vya usalama vimewekwa katika hali ya tahadhari kubwa kutokana na machafuko yaliyochochewa na mgombea wa kiti cha urais kujitangaza kuwa mshindi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Wasiwasi watanda Zanzibar kuhusu matokeo

Nchini Tanzania, maafisa wanaohusika na uchaguzi kwa siku ya pili wamekuwa wakihesabu kura.

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi watanda Muhimbili kuwazuia ‘JKT’

>Polisi wenye silaha na mabomu ya machozi pamoja na maofisa usalama, jana walitanda katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) kuzuia vijana waliopata mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) wasimwone mwenyekiti wao, George Mgoba, aliyelazwa baada ya kutekwa na kuteswa na watu wasiojulikana.

 

9 years ago

Mwananchi

Utata watanda vifo vya watu watano

Tukio la kuuawa kwa watu watano wa familia moja waliokatwa mapanga na kisha kupoteza maisha kwenye Kitongoji cha Kisesa wilayani Maswa, limegubikwa na utata juu ya watuhumiwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Ulinzi watanda katika kila kona bungeni

Ulinzi katika majengo na viunga vya Bunge umeimarishwa. Tangu jana idadi ya askari polisi imeongezeka.

 

10 years ago

Vijimambo

UKUNGU WATANDA NI BAADA YA WEMA SEPETU KUKABIDHIWA MAGARI 2 KWENYE B DAY YAKE..BMW LAZUA MIGUNO

Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ akiwa ndani ya Gari aina ya BMW 545i alilozawadiwa na meneja wake.Achana na lile gari aina ya Nissan Murano alilozawadiwa na mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, gari lingine aina ya BMW 545i aliloletewa Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ kwenye pati ya ‘bethidei’ yake ni utata mtupu na maswali kibao.
Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ akiwa ndani ya Gari aina ya BMW 545i alilozawadiwa na meneja wake.NYUMBANI KWA MADAMPati hiyo ambayo...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wasiwasi wa UN kuhusu CAR

Naibu mkuu wa UN ameelezea wasiwasi kuhusu hali katika Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo, akitaka kikosi maalum cha amani kupelekwa nchini humo

 

10 years ago

BBCSwahili

Wasiwasi wa wanablogu Tanzania

Baadhi ya wamiliki wa blogu nchini Tanzania wameonyesha wasiwasi baada ya wito kutolewa wa kuwataka wafanye kazi chini ya jumuia inayotambulika.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mabadiliko ya Gmail yazua wasiwasi

Wateja wa Gmail wataweza kutuma ujumbe moja kwa moja katika akaunti nyinginezo za Gmail licha ya watumiaji kutofahamiana.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wasiwasi wa vijana kuhusu katiba TZ

Baadhi ya vijana wameonyesha wasiwasi wao juu ya kuvunjika kwa muungano wa Tanzania bara na Zanzibar.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani