Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utata watanda vifo vya watu watano

Tukio la kuuawa kwa watu watano wa familia moja waliokatwa mapanga na kisha kupoteza maisha kwenye Kitongoji cha Kisesa wilayani Maswa, limegubikwa na utata juu ya watuhumiwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Polisi wachunguza vifo vya utata vya watu 4 Bukoba

JESHI la Polisi mkoani Kagera linachunguza tukio la vifo vya watu wanne waliouawa katika mazingira ya kutatanisha, kilometa 10 kutoka Bukoba Mjini.

 

9 years ago

StarTV

 BAKWATA yathibitisha vifo vya watanzania watano

Baraza la waislam Tanzania linaendelea kufuatilia kwa karibu na kufanya utambuzi wa watanzania waliofariki kufuatia tukio lililotokea hivi karibuni na kusababisha mamia ya Mahujaji kupoteza maisha na wengine kujeruhiwa katika mji wa Minnah nchini Saudi Arabia.

Mpaka sasa Mufti wa Tanzania sheikh Abu Bakari Zuberi amethibitisha mahujaji watano wa kitanzania akiwemo raia mmoja wa Kenya wamepoteza maisha katika tukio hilo.

Ni miaka 25 iliyopita tangu kuripotiwa kutokea kwa matukio mbalimbali ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wawili wafa vifo vya utata Dar

WATU wawili wamefariki Dar es Salaam katika matukio tofauti likiwemo la John Andrea (71) mkazi wa Maweni Temeke. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke  Englibert Kiondo alisema tukio hilo lilitokea...

 

5 years ago

CCM Blog

AJALI YA TRENI YA UOKOAJI NA KIBERENGE YASABABISHA VIFO VYA WATUMISHI WATANO WA TRC

Na Mwandishi Maalum, TRC
Watumishi watano wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) wamefariki dunia kufuatia  ajali ya Treni ya Uokoaji kugongana na Kiberenge No.HDT-3 katika maeneo yaliyopo kati ya stesheni za Mwakinyumbi na Gendagenda, eneo liliilopo katika Reli inayotoka Ruvu Junction  mpaka Mruanzi Junction, jana, Machi 22, 2020.

Taarifa ya TRC imewataja waliokufa kuwa ni Ramadhani Gumbo wa DTM Tanga, Injinia Fabiola Moshi wa DME Dar es Salaam, Joseph Komba wa ATM Dar es Salaam, Philip Kajuna...

 

9 years ago

BBCSwahili

Vita vya jogoo vyasababisha vifo vya watu 10

Takriban watu 10 wamepigwa risasi na kuuawa baada ya makundi mawili kutofautiana kuhusu jogoo yupi aliyeibuka mshindi katika vita katika jimbo la Guerrero Mexico.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Fahamu nadharia juu ya vifo vya vijana na watu wengine wenye afya njema

Hakuna majibu ya moja kwa moja bali nadharia zinazojaribu kutegua kitendawili cha vifo vya vijana wenye afya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kuwait yaomboleza vifo vya watu 27

Maombolezi yanaendelea nchini Kuwait kuwakumbuka watu 27 waliouawa kwenye shambulizi la kujitoa mhanga ndani ya msikiti wa kishia

 

10 years ago

Vijimambo

JK atuma rambirambi kufuatia vifo vya watu 12

Rais Jakaya Kikwete ametuma salamu za rambirambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Dk. Joel Bendera, kufuatia vifo vya watu 12 na majeruhi 44 katika ajali iliyotokea mkoani hapa.

“Nimepokea kwa mshtuko na masikitiko taarifa za vifo vya watu 12 waliopoteza maisha papo hapo na kusababisha simanzi kubwa kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki zao, huku taifa likipoteza nguvu kazi muhimu kwa maendeleo yake kutokana na ajali za barabarani,” alisema.

Aliwaomba wote waliopoteza ndugu zao katika ajali hiyo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kimbunga chasababisha vifo vya watu 9 China

Utawala China umethibitisha vifo vya watu 9 kutokana na athari za kimbunga kinachoendelea kuponda pwani yake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani