AJALI YA TRENI YA UOKOAJI NA KIBERENGE YASABABISHA VIFO VYA WATUMISHI WATANO WA TRC
![](https://1.bp.blogspot.com/-oYMDY6nEWGE/XniFul7QgOI/AAAAAAACJJ4/7uThD6wtDVQtbUU66Hdw0YN_C1I-GcJGACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200323_115501_517.jpg)
Na Mwandishi Maalum, TRC
Watumishi watano wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) wamefariki dunia kufuatia ajali ya Treni ya Uokoaji kugongana na Kiberenge No.HDT-3 katika maeneo yaliyopo kati ya stesheni za Mwakinyumbi na Gendagenda, eneo liliilopo katika Reli inayotoka Ruvu Junction mpaka Mruanzi Junction, jana, Machi 22, 2020.
Taarifa ya TRC imewataja waliokufa kuwa ni Ramadhani Gumbo wa DTM Tanga, Injinia Fabiola Moshi wa DME Dar es Salaam, Joseph Komba wa ATM Dar es Salaam, Philip Kajuna...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/ZrjSvHV56Uo/default.jpg)
10 years ago
BBCSwahili16 Apr
Meli ya uokoaji yasababisha vifo
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-WlQMEQIeI7o/XnplsHlkwgI/AAAAAAALk90/DN68jotJHBw_a8uQ9SRwNisJaHgKXPGGwCLcBGAsYHQ/s72-c/cea23d75-7b39-4b17-868c-28758e7a152a.jpg)
WATUMISHI WA TRC WALIOFARIKI KATIKA AJALI MKOANI TANGA WAAGWA RASMI
Miili ya wafanyakazi watano wa Shirika la Reli Tanzania – TRC waliofariki kutokana na ajali ya treni ya uokoaji kugongana na Kiberenge katika eneo lililopo kati ya stesheni ya Mwakinyumbi na Gendagenda mkoani Tanga imeagwa rasmi katika hospitali ya Lugalo jijini Dar es Salaam leo Machi 24. 2020.
Zoezi hilo la kuaga miili ya mashujaa hao limesimamiwa na uongozi na wafanyakazi wa TRC na kuhudhuriwa na ndugu wa marehemu, Katibu wa Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Humphrey Polepole,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FQZcl15_6qo/XmO2M_KR7zI/AAAAAAALhu0/YVqcU7pEUKIEkB1kV4dBaZb71w4TR-cgQCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-01-1-768x432.jpg)
MVUA YASABABISHA VIFO VYA WATU WAWILI MOROGORO
![](https://1.bp.blogspot.com/-FQZcl15_6qo/XmO2M_KR7zI/AAAAAAALhu0/YVqcU7pEUKIEkB1kV4dBaZb71w4TR-cgQCLcBGAsYHQ/s640/PIX-01-1-768x432.jpg)
NA FARIDA SAIDY MOROGORO
Mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo Mbalimbali Mkoani Morogoro zimesababisha Vifo vya watu wawili jana March 6 majira ya saa moja usiku katika Mtaa wa Kihimbwa Kata ya Boma Manispaa ya Morogoro.
Afisa Mtendaji wa Kata hiyo Bw Antopas Ally amezungumza hayo na waandishi wa habari mara baada ya kufika Eneo husika na kusema kuwa waliokumbwa na maafa hayo ni mwanaume na mwanamke ambao walikuwa wanapata vinywaji katika duka moja lililopo karibu na daraja mtaani...
9 years ago
StarTV26 Sep
 BAKWATA yathibitisha vifo vya watanzania watano
Baraza la waislam Tanzania linaendelea kufuatilia kwa karibu na kufanya utambuzi wa watanzania waliofariki kufuatia tukio lililotokea hivi karibuni na kusababisha mamia ya Mahujaji kupoteza maisha na wengine kujeruhiwa katika mji wa Minnah nchini Saudi Arabia.
Mpaka sasa Mufti wa Tanzania sheikh Abu Bakari Zuberi amethibitisha mahujaji watano wa kitanzania akiwemo raia mmoja wa Kenya wamepoteza maisha katika tukio hilo.
Ni miaka 25 iliyopita tangu kuripotiwa kutokea kwa matukio mbalimbali ya...
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Utata watanda vifo vya watu watano
11 years ago
Mwananchi23 Apr
Polisi, Bugando watofautiana vifo vya ajali
10 years ago
GPLSEMINA YA MPANGO WA KUPUNGUZA VIFO VYA AJALI YAFANYIKA JIJINI DAR
10 years ago
VijimamboSEMINA YA MPANGO WA KUPUNGUZA VIFO VYA AJALI YAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10