Meli ya uokoaji yasababisha vifo
Furaha ya kuokolewa na hatimaye kufika Ulaya yasababisha mamia ya wahamiaji kufa kutokana na kuzama kwa boti yao
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-oYMDY6nEWGE/XniFul7QgOI/AAAAAAACJJ4/7uThD6wtDVQtbUU66Hdw0YN_C1I-GcJGACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200323_115501_517.jpg)
AJALI YA TRENI YA UOKOAJI NA KIBERENGE YASABABISHA VIFO VYA WATUMISHI WATANO WA TRC
![](https://1.bp.blogspot.com/-oYMDY6nEWGE/XniFul7QgOI/AAAAAAACJJ4/7uThD6wtDVQtbUU66Hdw0YN_C1I-GcJGACLcBGAsYHQ/s200/IMG_20200323_115501_517.jpg)
Watumishi watano wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) wamefariki dunia kufuatia ajali ya Treni ya Uokoaji kugongana na Kiberenge No.HDT-3 katika maeneo yaliyopo kati ya stesheni za Mwakinyumbi na Gendagenda, eneo liliilopo katika Reli inayotoka Ruvu Junction mpaka Mruanzi Junction, jana, Machi 22, 2020.
Taarifa ya TRC imewataja waliokufa kuwa ni Ramadhani Gumbo wa DTM Tanga, Injinia Fabiola Moshi wa DME Dar es Salaam, Joseph Komba wa ATM Dar es Salaam, Philip Kajuna...
10 years ago
BBCSwahili29 Dec
Upepo wakwamisha Uokoaji Meli iliyozama
Waokoaji wamekuwa wakipambana na upepo mkali pamoja na mawimbi ya bahari gizani kuwakoa karibu abiria 300.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FQZcl15_6qo/XmO2M_KR7zI/AAAAAAALhu0/YVqcU7pEUKIEkB1kV4dBaZb71w4TR-cgQCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-01-1-768x432.jpg)
MVUA YASABABISHA VIFO VYA WATU WAWILI MOROGORO
![](https://1.bp.blogspot.com/-FQZcl15_6qo/XmO2M_KR7zI/AAAAAAALhu0/YVqcU7pEUKIEkB1kV4dBaZb71w4TR-cgQCLcBGAsYHQ/s640/PIX-01-1-768x432.jpg)
NA FARIDA SAIDY MOROGORO
Mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo Mbalimbali Mkoani Morogoro zimesababisha Vifo vya watu wawili jana March 6 majira ya saa moja usiku katika Mtaa wa Kihimbwa Kata ya Boma Manispaa ya Morogoro.
Afisa Mtendaji wa Kata hiyo Bw Antopas Ally amezungumza hayo na waandishi wa habari mara baada ya kufika Eneo husika na kusema kuwa waliokumbwa na maafa hayo ni mwanaume na mwanamke ambao walikuwa wanapata vinywaji katika duka moja lililopo karibu na daraja mtaani...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-A16bJ5lD2Xs/VPb_ZOXtqDI/AAAAAAAAQ0Q/r8_uVPDKRO4/s72-c/IMG_20150304_105648.jpg)
MVUA KUBWA ILIYOAMBATANA NA UPEPO MKALI YASABABISHA VIFO SHINYANGA
WATU 39 wamekufa, baada ya kuangukiwa na nyumba zao, kufuatia mvua kubwa ya mawe iliyoambatana na upepo mkali kunyesha wilayani Kahama mkoa wa Shinyanga, Jumanne usiku wa kuamkia leo Machi 4, 2015.
Akithibitisha taarifa hizo, kamanda wa polisi mkoa wa Shinyanga, Justus Kamugisha, alisema, maafa hayo yametokea katika kijiji cha Mwakata, kata ya Isaka, wilayani Kahama na kwamba watu wengine 60 wamejeruhiwa vibaya huku mifugo kadhaa, ikiwemo Ng'ombe, Mbuzi na kuku, navyo vimekumbwa na maafa....
Akithibitisha taarifa hizo, kamanda wa polisi mkoa wa Shinyanga, Justus Kamugisha, alisema, maafa hayo yametokea katika kijiji cha Mwakata, kata ya Isaka, wilayani Kahama na kwamba watu wengine 60 wamejeruhiwa vibaya huku mifugo kadhaa, ikiwemo Ng'ombe, Mbuzi na kuku, navyo vimekumbwa na maafa....
5 years ago
BBCSwahili07 May
Vifo vya corona: Kwanini Uingereza imerekodi vifo vingi vya corona Ulaya?
Hadi kufikia sasa Uingereza inaongoza kwa idadi ya walioambukizwa virusi vya corona Ulaya na kote duniani kulingana na takwimu rasmi. Kipi kilichokoseka?
10 years ago
BBCSwahili03 Jun
Shughuli za uokoaji zaendelea China
Wafanyakazi wa vikosi vya uokoaji wanaendelea na kazi ya kuwatafuta watu waliozama katika meli moja nchini humo.
11 years ago
BBCSwahili17 Apr
Shughuli ya uokoaji yaendelea Korea
Waokoaji waendelea kutafuta takriban abiria 289 waliokuwa ndani ya ferry iliyozama Korea Kusini
11 years ago
Mwananchi15 May
Jukumu la uokoaji kukabidhiwa JWTZ
Serikali imeliambia Bunge kuwa, iko katika mchakato wa kuifanyia marekebisho Sheria ya Maafa ili kuliondoa suala la uokoaji kutoka Jeshi la Zimamoto kwenda Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ).
11 years ago
BBCSwahili17 Feb
Zoezi la uokoaji lasitishwa A.kusini
Operesheni ya kuokoa wachimba madini waliokwama kwenye shimo la mgodi yasitishwa
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania