Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Upepo wakwamisha Uokoaji Meli iliyozama

Waokoaji wamekuwa wakipambana na upepo mkali pamoja na mawimbi ya bahari gizani kuwakoa karibu abiria 300.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Upepo wakwamisha Uokoaji Air Asia

Waokoaji wamekuwa wakipambana na upepo mkali pamoja na mawimbi ya bahari gizani kuwakoa karibu abiria 300 ambao wamekwama ndani ya ferry moja ya Italia iliyokuwa imeshika moto kwenye bahari ya Adriatic. Maofisa nchini Italia wanasema kuwa oparesheni ya uokoaji itandelea. Hadi sasa watu 190 wamekolewa kutoka kwa ferry hiyo.

Shughuli ya kutafuta ndege ya AirAsia ambayo ilipotea jana Jumapili imerejelewa tena baada ya kusitishwa usiku.

Ndege za kijeshi kutoka indonesia na singapore...

 

11 years ago

Mwananchi

Meli FB Matara iliyozama Ziwa Victoria yaibuliwa

Meli ya FB Matara iliyozama Aprili 17 mwaka huu kwenye Ziwa Victoria imeibuliwa na imehifadhiwa Kisiwa cha Karumo, wilayani Sengerema mkoani hapa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Meli ya uokoaji yasababisha vifo

Furaha ya kuokolewa na hatimaye kufika Ulaya yasababisha mamia ya wahamiaji kufa kutokana na kuzama kwa boti yao

 

11 years ago

Mwananchi

Komla Dumor, nyota ya Afrika iliyozama

“Nakifananisha kifo cha Komla Dumor, kuwa sawa na anguko la mbuyu uliomea katika ardhi yenye rutuba. Sikutarajia kama unaweza kuondoka mapema hivyo, ewe nyota angavu: Komla Dumor (41) alikuwa sura na sauti ya Afrika, kijana mchapakazi, mwenye weledi, aliyejaaliwa uthubutu.”

 

11 years ago

BBCSwahili

Zoezi la uokoaji lasitishwa A.kusini

Operesheni ya kuokoa wachimba madini waliokwama kwenye shimo la mgodi yasitishwa

 

11 years ago

BBCSwahili

Shughuli ya uokoaji yaendelea Korea

Waokoaji waendelea kutafuta takriban abiria 289 waliokuwa ndani ya ferry iliyozama Korea Kusini

 

10 years ago

BBCSwahili

Shughuli za uokoaji zaendelea China

Wafanyakazi wa vikosi vya uokoaji wanaendelea na kazi ya kuwatafuta watu waliozama katika meli moja nchini humo.

 

11 years ago

Mwananchi

Jukumu la uokoaji kukabidhiwa JWTZ

Serikali imeliambia Bunge kuwa, iko katika mchakato wa kuifanyia marekebisho Sheria ya Maafa ili kuliondoa suala la uokoaji kutoka Jeshi la Zimamoto kwenda Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ).

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watendaji afya wakwamisha juhudi za DC

JUHUDI za Mkuu wa Wilaya (DC) ya Igunga, Elibariki Kingu, kuhakikisha wananchi wa wilaya hiyo wanapata huduma bora za afya kupitia Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF), huenda zikakwama baada...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani