Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shughuli za uokoaji zaendelea China

Wafanyakazi wa vikosi vya uokoaji wanaendelea na kazi ya kuwatafuta watu waliozama katika meli moja nchini humo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Shughuli ya uokoaji yaendelea Korea

Waokoaji waendelea kutafuta takriban abiria 289 waliokuwa ndani ya ferry iliyozama Korea Kusini

 

11 years ago

BBCSwahili

Malaysia:Shughuli zaendelea kuisaka ndege

Ndege na meli kutoka nchi mbali mbali zinaendelea kutafuta mabaki ambayo huenda yanatokana na ndege ya Malaysia iliyopotea nchini Australia

 

10 years ago

Vijimambo

Shughuli ya uokoaji zimeanza tena Ufaransa

Ndege za uokoaji zimerejelea shughuliHali ya anga imeathiri uokoajiHali ya hewa katika Milima ya Alps nchini UfaransaJamaa na marafiki ya walioathirika wakitoa rambirambi zaoNdege za uokoajiUtafutaji miili ukiendelea
Polisi nchini Ufaransa wameeleza kuwa hali mbaya ya hewa itakwamisha zoezi la utafutaji miili ya watu wapatao mia moja na hamsini katika eneo la ajali ya ndege na hivyo kuchukuwa siku kadhaa.
Siku ya jana ndege ya Ujerumani ilianguka katika eneo la milima ya Alps huko Ufaransa na...

 

9 years ago

Michuzi

KAMPENI JIMBO LA CHALINZE ZAENDELEA

Na John Gagarini, Mandela MGOMBEA Ubunge Jimbo la Chalinze kupitia Chama Cha Mapinduzi Ridhiwani Kikwete amesema kuwa endapo atafanikiwa kuchaguliwa kwenye nafasi hiyo atahakikisha zahanati inajengwa kwenye Kijiji cha Kibaoni ili kuwaondolea adha wananchi wa kijiji hicho. Aliyasema hayo jana kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika Kijijini hapo kata ya Mandela na kusema kuwa ilani ya chama anasema kila kijiji lazima kiwe na zahanati huku kila kata ikitakiwa kuwa na kituo cha afya ili...

 

10 years ago

BBCSwahili

Harakati za kuokoa meli zaendelea Italia

Walinzi wa pwani ya Italia wanaendelea na harakati za kuwaokoa wafanyabiashara kutoka meli moja iliyotelekezwa

 

10 years ago

KwanzaJamii

Sanaa za utamaduni wa Tanzania zaendelea kukubalika

Marehemu George Lilanga Na Gaudensia Mngumi Licha ya kuwapo mawimbi ya utandawazi yanayoyumbisha sanaa za ufundi za tamaduni mbalimbali dunia, Tanzania imeendelea kuwa imara kwani sanaa zenye utamaduni wake zimeendelea kukubalika maeneo mengi duniani. Ndiyo maana michoro na vinyago vya  marehemu George Lilanga na Edward Tinga Tinga vinaonyeshwa katika mataifa mengi duniani. Hata hivyo kazi za wasanii hao zina thamani zaidi ng’ambo hasa Ulaya kuliko nchini. Profesa wa Sanaa kutoka...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Shule zaendelea kufungwa Liberia

Liberia imehairisha kufunguliwa kwa shule nchini kutokana na sababu kuwa hazijajiandaa kikamilifu kuzuia kusambaa kwa ebola.

 

9 years ago

Michuzi

KAMAPENI ZA UBUNGE JIMBO LA CHALINZE ZAENDELEA

Na John Gagarini, Chalinze HALMASHAURI ya wilaya ya Bagamoyo imeshauriwa kuisitisha mikata ya umiliki wa ardhi iliyochukuliwa na wawawkezaji ambao hawajaiendeleza ardhi hiyo kwa kipindi cha zaidi ya miaka 15 wairejeshe kwenye serikali za vijiji kwa ajili ya matumizi ya umma. Hayo yalisemwa na mgombea Ubunge Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ridhiwani Kikwete wakati wa mikutano ya hadhara ya kampeni kwenye Vijiji vya Makombe na Kinzagu kwenye kata ya Lugoba na kusema...

 

9 years ago

CCM Blog

FOMU ZA USPIKA ZAENDELEA KUCHUKULIWA LEO

 Ndugu Julius Pawatila (kulia)akikabidhiwa fomu za kuwania nafasi ya Uspika wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka kwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa anayeshughulikia Oganaizesheni,  Ndugu Mohamed Seif Khatib
 Mbunge mteule wa Jimbo la Kongwa Ndugu Job Ndugai akijaza maelezo kwenye kitabu maalum cha kujisajili kabala ya kuchukua fomu za kuwania nafasi ya Uspika wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
  Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa anayeshughulikia Oganaizesheni,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani