Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shughuli ya uokoaji zimeanza tena Ufaransa

Ndege za uokoaji zimerejelea shughuliHali ya anga imeathiri uokoajiHali ya hewa katika Milima ya Alps nchini UfaransaJamaa na marafiki ya walioathirika wakitoa rambirambi zaoNdege za uokoajiUtafutaji miili ukiendelea
Polisi nchini Ufaransa wameeleza kuwa hali mbaya ya hewa itakwamisha zoezi la utafutaji miili ya watu wapatao mia moja na hamsini katika eneo la ajali ya ndege na hivyo kuchukuwa siku kadhaa.
Siku ya jana ndege ya Ujerumani ilianguka katika eneo la milima ya Alps huko Ufaransa na...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Shughuli ya uokoaji yaendelea Korea

Waokoaji waendelea kutafuta takriban abiria 289 waliokuwa ndani ya ferry iliyozama Korea Kusini

 

10 years ago

BBCSwahili

Shughuli za uokoaji zaendelea China

Wafanyakazi wa vikosi vya uokoaji wanaendelea na kazi ya kuwatafuta watu waliozama katika meli moja nchini humo.

 

5 years ago

Michuzi

SHUGHULI ZA UTALII KUANZA TENA NCHINI.

Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Dkt. Hamisi Kigwangalla, leo ametoa mwongozo kuhusu kuendelea kwa shughuli za utalii nchini katika kipindi hiki cha ugonjwa wa COVID -19

Akizungumza na waandishi wa habari jijini leo, Dkt. Kigwangalla amesema shughuli za Utalii zimeanza tena rasmi leo huku akisisitiza kuwa, Tanzania itafuata utaratibu wa kujikinga na kuwakinga watalii dhidi ya ugonjwa wa COVID - 19 kwa kufuata na kuzingatia maelekezo ya Wizara ya Afya na Shirika la Afya Duniani (...

 

9 years ago

StarTV

Bandari ya Bukoba yaanza tena shughuli zake.

Manispaa ya Bukoba  imeiruhusu bandari ya Bukoba kuendelea na shughuli za kawaida kufuatia hatua ya uongozi wa Bandari hiyo kukamilisha ujenzi wa choo cha kisasa,tofauti na kile chaawali ambacho kilidaiwa na uongozi wa Manispaa hiyo kutiririsha maji taka kuelekea Ziwani na kusababisha Bandari hiyo kufungiwa  kipindi cha takribani mwezi mmoja .

Meli ya Mv Serengeti ambayo kwa muda wote  ilikuwa ikiitumia bandari ya Kemondo iliyopo  kilometa saba kutoka mjini Bukoba, imeshuhudiwa ikitia nanga...

 

11 years ago

BBCSwahili

Sherehe za Ufunguzi zimeanza

Sherehe za Ufunguzi zimeanza Sao Paolo kisha baadaye itakuwa mechi ya ufunguzi kati ya Brazil na Croatia.

 

11 years ago

Michuzi

Bendi za Tanzania zimeanza kutingisha msimu wa Joto Ujerumani

Muziki wa dansi wa Tanzania umezidi kufungua ukurusa mpya katka tufe la dunia, baada ya wasanii na wanamuziki wa Tanzania kutumbuiza katika onyesho la TFF Rudolstadt 2014,yaliofanyika kuanzia tarehe 3 adi 6 Julai 2014 mjini Rudolstadt,Ujerumani,ambako vikundi mbali mbali vya sanaa na bendi za muziki kutoka Tanzania zilishiriki,zikiwemo bendi ya Black Warriors ikiwashirikisha jukwaani na wakongwe wa muziki akina Mafumu Bilal,Hassan Bichuka,Cosmas Chidumule na wengine,pia Mchiriku...

 

9 years ago

Mwananchi

VIONJO VYA WIKI: Kampeni zimeanza, Watanzania tuwe makini

Ni dhahiri kuwa shughuli imeanza rasmi. Sasa ni wakati mwafaka wa kuona na kusikia ahadi lukuki za wagombea baada ya kuanza kwa kampeni za uchaguzi ambao umebakiza siku 61 kufanyika kote nchini.

 

11 years ago

BBCSwahili

Zoezi la uokoaji lasitishwa A.kusini

Operesheni ya kuokoa wachimba madini waliokwama kwenye shimo la mgodi yasitishwa

 

10 years ago

BBCSwahili

Meli ya uokoaji yasababisha vifo

Furaha ya kuokolewa na hatimaye kufika Ulaya yasababisha mamia ya wahamiaji kufa kutokana na kuzama kwa boti yao

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani