Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shughuli ya uokoaji yaendelea Korea

Waokoaji waendelea kutafuta takriban abiria 289 waliokuwa ndani ya ferry iliyozama Korea Kusini

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Shughuli za uokoaji zaendelea China

Wafanyakazi wa vikosi vya uokoaji wanaendelea na kazi ya kuwatafuta watu waliozama katika meli moja nchini humo.

 

10 years ago

Vijimambo

Shughuli ya uokoaji zimeanza tena Ufaransa

Ndege za uokoaji zimerejelea shughuliHali ya anga imeathiri uokoajiHali ya hewa katika Milima ya Alps nchini UfaransaJamaa na marafiki ya walioathirika wakitoa rambirambi zaoNdege za uokoajiUtafutaji miili ukiendelea
Polisi nchini Ufaransa wameeleza kuwa hali mbaya ya hewa itakwamisha zoezi la utafutaji miili ya watu wapatao mia moja na hamsini katika eneo la ajali ya ndege na hivyo kuchukuwa siku kadhaa.
Siku ya jana ndege ya Ujerumani ilianguka katika eneo la milima ya Alps huko Ufaransa na...

 

5 years ago

Michuzi

NIDA Yaendelea na Shughuli za Usajili na Utambuzi wa Watu Nchini Kote



Maafisa usajili wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa nchini (NIDA) wakiendelea kutoa huduma za usajili kwa wananchi katika ofisi za Wilaya za Mamlaka hiyo katika Wilaya za Mkoa wa Dar es salaam huku tahadhari za maambukizi ya virusi vya Corona ikiendelea kuzingatiwa kikamilifu.

 Na Agnes GerladMamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) inaendelea na shughuli za Usajili na Utambuzi wa Watu nchini kote ambapo wananchi wanaendelea kupatiwa huduma katika ofisi za Usajili za NIDA zilizoko katika...

 

11 years ago

Dewji Blog

Jumuiya ya Watanzania wanaosoma Korea ya Kusini kufanya shughuli za kijamii nyumba za kutunza wazee Zanzibar

549

Uongozi wa Jumuiya Watanzania wanaosoma Nchini Korea ya Kusini { KOIKA } ukiongozwa na Rais wake Nd. Steven Katemba ukijitambulisha rasmi kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Nyumbani kwake Mazizini Nje kidogo ya Mji wa Zanzibar mara baada ya kucgauliwa rasmi mwezi Mei Mwaka huu. Nyuma ya Ndugu Steven ni Makamu wa Rais wa Jumuiya hiyo kwa upande wa Zanzibar NduguBukheit Juma.

562

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi kati kati akiwa katika picha ya...

 

10 years ago

Michuzi

OFISI YA WAZIRI MKUU YAENDELEA NA URATIBU WA SHUGHULI ZA SERIKALI NDANI YA MAONESHO YA NANE NANE - LINDI

Mratibu wa Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu, Edgar Senga akieleza uratibu wa shughuli za maafa kwa wananchi waliotembelea Banda hilo katika Maonesho ya Nane Nane yanayoendelea katika viwanja vya Ngongo mkoani Lindi, Tarehe 7 Agosti , 2015. Wanafunzi wa shule ya Sekondari ya Wavulana ya Ndada wakipata maelezo juu ya sera baina ya Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi kutoka kwa Mchumi wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Idara ya Maendeleo ya Sekta Binafsi, Uwekezaji na Uwezeshaji , Vedastus Manumbu...

 

5 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini: Je nini kilichosababisha kulipulia kwa afisi ya mawasiliano na Korea Kusini?

Experts' views on why North Korea has chosen to provoke the South by destroying the liaison office.

 

5 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini na Korea Kusini zafyatuliana risasi baada ya Kim Jong-un kuonekana hadharani

Korea Kusini imesema risasi zimefyatuliwa kwenye mpaka wao, siku moja baada ya Kiongozi wa Korea Kaskazini kuoneakana hadharana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini yaitishia Korea Kusini

Korea kusini inasema kuwa korea kaskazini imepeleka silaha kwenda kwa mpaka baada ya kutoa vitisho vya kuishambulia

 

10 years ago

BBCSwahili

Meli ya uokoaji yasababisha vifo

Furaha ya kuokolewa na hatimaye kufika Ulaya yasababisha mamia ya wahamiaji kufa kutokana na kuzama kwa boti yao

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani