NIDA Yaendelea na Shughuli za Usajili na Utambuzi wa Watu Nchini Kote
Maafisa usajili wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa nchini (NIDA) wakiendelea kutoa huduma za usajili kwa wananchi katika ofisi za Wilaya za Mamlaka hiyo katika Wilaya za Mkoa wa Dar es salaam huku tahadhari za maambukizi ya virusi vya Corona ikiendelea kuzingatiwa kikamilifu.
Na Agnes GerladMamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) inaendelea na shughuli za Usajili na Utambuzi wa Watu nchini kote ambapo wananchi wanaendelea kupatiwa huduma katika ofisi za Usajili za NIDA zilizoko katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wEcDC09QP-I/U_AAGUVDInI/AAAAAAAGAEY/a6ZHuljnJ4g/s72-c/unnamed%2B(47).jpg)
Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) yazindua rasmi zoezi la Usajili na Utambuzi wa Watu mkoani Mtwara
![](http://4.bp.blogspot.com/-wEcDC09QP-I/U_AAGUVDInI/AAAAAAAGAEY/a6ZHuljnJ4g/s1600/unnamed%2B(47).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UEdVRG68zS0/U_dd7xMEsjI/AAAAAAAGBck/eNcsBQzheCY/s72-c/unnamed1.jpg)
WANANCHI WENGI WAJITOKEZA ZOEZI LA USAJILI NA UTAMBUZI WA WATU MKOANI MTWARA
![](http://2.bp.blogspot.com/-UEdVRG68zS0/U_dd7xMEsjI/AAAAAAAGBck/eNcsBQzheCY/s1600/unnamed1.jpg)
Moja ya changamoto kubwa iliyojitokeza ni wakazi wengi hususani maeneo ya vijijini kukosa mashine za photocopy, huku baadhi wakikosa nyaraka muhimu za kuwatambulisha. Changamoto nyingine ni waombaji wengi kutokuwa na taarifa sahihi za umri wao binafsi na wazazi huku...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-o_74375ZMsE/VEH_f8Bj4OI/AAAAAAAGrZ8/K2SiPrG7PDo/s72-c/nidalogo(2).jpg)
ZOEZI LA UJAZAJI WA FOMU ZA UTAMBUZI NA USAJILI AWAMU YA KWANZA KWA MKOA WA TANGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-o_74375ZMsE/VEH_f8Bj4OI/AAAAAAAGrZ8/K2SiPrG7PDo/s1600/nidalogo(2).jpg)
Kwa kuwa zoezi hili lilitakiwa kukamilika tarehe 17/10/2014, Serikali imeongeza siku za usajili kwa lengo la...
11 years ago
MichuziNIDA IMEUNDWA KWA MUJIBU WA SHERIA NA MAJUKUMU YA NIDA YAPO WAZI HIVYO NEC WAACHENI NIDA WAFANYE KAZI KAMA WALIVYOPANGIWA :WAZIRI CHIKAWE
11 years ago
BBCSwahili17 Apr
Shughuli ya uokoaji yaendelea Korea
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Uf5Jdma8M30uxCsq9iebCQv-gRy-4wz4j5Ob4lQ4Exg8JNYeg*-8gTGCBYF13*1tr9nPMHhLfrm1GaaN64VmFRtVJXwS5xYE/11.jpg?width=650)
TUNATAKA KAMPENI ZA AMANI NCHINI KOTE
9 years ago
Raia Mwema20 Nov
Wasomi tusijipendekeze kote kote, tutaanguka
Mhadhara huu utajikita kwenye mjadala juu ya mambo ambayo yanafaa kuzungumziwa na kubishaniwa kat
Issa Shivji
10 years ago
Habarileo23 Jun
Lukuvi aagiza upimaji ardhi kote nchini
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi ameziagiza halmashauri nchini kuharakisha upimaji wa ardhi na mashamba katika maeneo ya wananchi ambao ndio wamiliki wa asili wa maeneo hayo ili kuondoa migogoro ya ardhi inayosababisha wananchi kuichukia Serikali yao.
5 years ago
BBCSwahili28 Apr
Virusi vya Corona: Watu 'bilioni moja' huenda wakaambukizwa kote duniani - yasema IRC