WANANCHI WENGI WAJITOKEZA ZOEZI LA USAJILI NA UTAMBUZI WA WATU MKOANI MTWARA
![](http://2.bp.blogspot.com/-UEdVRG68zS0/U_dd7xMEsjI/AAAAAAAGBck/eNcsBQzheCY/s72-c/unnamed1.jpg)
Zoezi la Usajili Vitambulisho vya Taifa limeendelea mkoani Mtwara, ambapo wananchi wamejitokeza kwa wingi kujisajili, kama wakazi hawa wa Wilaya za Tandahimba na Newala walivyokutwa wakishiriki kikamilifu kujisajili.
Moja ya changamoto kubwa iliyojitokeza ni wakazi wengi hususani maeneo ya vijijini kukosa mashine za photocopy, huku baadhi wakikosa nyaraka muhimu za kuwatambulisha. Changamoto nyingine ni waombaji wengi kutokuwa na taarifa sahihi za umri wao binafsi na wazazi huku...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wEcDC09QP-I/U_AAGUVDInI/AAAAAAAGAEY/a6ZHuljnJ4g/s72-c/unnamed%2B(47).jpg)
Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) yazindua rasmi zoezi la Usajili na Utambuzi wa Watu mkoani Mtwara
![](http://4.bp.blogspot.com/-wEcDC09QP-I/U_AAGUVDInI/AAAAAAAGAEY/a6ZHuljnJ4g/s1600/unnamed%2B(47).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-o_74375ZMsE/VEH_f8Bj4OI/AAAAAAAGrZ8/K2SiPrG7PDo/s72-c/nidalogo(2).jpg)
ZOEZI LA UJAZAJI WA FOMU ZA UTAMBUZI NA USAJILI AWAMU YA KWANZA KWA MKOA WA TANGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-o_74375ZMsE/VEH_f8Bj4OI/AAAAAAAGrZ8/K2SiPrG7PDo/s1600/nidalogo(2).jpg)
Kwa kuwa zoezi hili lilitakiwa kukamilika tarehe 17/10/2014, Serikali imeongeza siku za usajili kwa lengo la...
5 years ago
MichuziNIDA Yaendelea na Shughuli za Usajili na Utambuzi wa Watu Nchini Kote
Maafisa usajili wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa nchini (NIDA) wakiendelea kutoa huduma za usajili kwa wananchi katika ofisi za Wilaya za Mamlaka hiyo katika Wilaya za Mkoa wa Dar es salaam huku tahadhari za maambukizi ya virusi vya Corona ikiendelea kuzingatiwa kikamilifu.
Na Agnes GerladMamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) inaendelea na shughuli za Usajili na Utambuzi wa Watu nchini kote ambapo wananchi wanaendelea kupatiwa huduma katika ofisi za Usajili za NIDA zilizoko katika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-o4aYOuICRO4/XkztQgL6HMI/AAAAAAALeOA/6CP8yT_HltABpuc1ebSy9i1akrh-KHq7wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200218_115355_9.jpg)
WATU 25,319 WAJITOKEZA BAGAMOYO KUJIANDIKISHA KATIKA ZOEZI LA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
WATU zaidi ya 25,319 wamejitokeza kujiandikisha na wengine kuweka kumbukumbu zao sahihi ,katika zoezi la kuboresha daftari la kudumu la wapiga kura,wilayani Bagamoyo ,mkoani Pwani.
Aidha ,katika zoezi hilo kulijitokeza changamoto ndogo ndogo upande wa mashine za BVR ,lakini ushirikiano ulikuwepo katika kutatua changamoto zinapojitokeza kupitia wataalamu mbalimbali wa TEHAMA na kutoka Tume ya Taifa ya uchaguzi .
Akitoa taarifa hiyo, wakati wa baraza la madiwani...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hf-ryTpxXBO9nPGcclp6Aty1L513u20v2GBaTKDGqonDt27Gfa*aB5yekO7bA*WrF5POuAeIyadLiSZ3hDu0AmVlCmI-iR*U/KIEMBE.jpg?width=650)
WANANCHI WENGI WAJITOKEZA KUPIGA KURA KATIKA UCHAGUZI JIMBO LA KIEMBESAMAKI
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-s_a3Y0K4ZE0/VWBDLnEdYZI/AAAAAAABPPA/67tXVwOx1Ag/s72-c/140131072218_tanzania_elections_512x288_afp.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GSAddBZqfj0/VlBjHBXxZ1I/AAAAAAABkq0/6gRr9yhXX5c/s72-c/basi.jpg)
KAMPENI YA NSSF KWANZA YAWAFIKIA WATU WENGI MKOANI MBEYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-GSAddBZqfj0/VlBjHBXxZ1I/AAAAAAABkq0/6gRr9yhXX5c/s640/basi.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ewuEEO5dqbk/VlBjk64ITDI/AAAAAAABkq8/xNCIh0mQ5S8/s640/Komba.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-P3SzOmDvYgg/VlBnRq8zhII/AAAAAAABkrU/2bFk2jQQNGA/s640/Bodaboda.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-OntVWxrCG9s/VmkoGZM3oAI/AAAAAAAAYOM/LFQ0-reorJc/s72-c/IMG_0560%2B%25281024x683%2529.jpg)
WAFANYAKAZI WA BENKI YA NMB MOSHI WAJITOKEZA KATIKA ZOEZI LA USAFI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-OntVWxrCG9s/VmkoGZM3oAI/AAAAAAAAYOM/LFQ0-reorJc/s640/IMG_0560%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-MH-1zf6nUGM/VmkpVE6HgWI/AAAAAAAAYR8/KYEsfInPIc4/s640/IMG_1027%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-0OLVUwj7IGI/VmkpF9FIItI/AAAAAAAAYRE/NYITp018Gd8/s640/IMG_0771%2B%25281024x683%2529.jpg)
10 years ago
MichuziTASAF YAFANYA UTAMBUZI WA KAYA MASKINI WILAYANI MASWA MKOANI SIMIYU
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10