WATU 25,319 WAJITOKEZA BAGAMOYO KUJIANDIKISHA KATIKA ZOEZI LA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
![](https://1.bp.blogspot.com/-o4aYOuICRO4/XkztQgL6HMI/AAAAAAALeOA/6CP8yT_HltABpuc1ebSy9i1akrh-KHq7wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200218_115355_9.jpg)
NA MWAMVUA MWINYI,BAGAMOYO
WATU zaidi ya 25,319 wamejitokeza kujiandikisha na wengine kuweka kumbukumbu zao sahihi ,katika zoezi la kuboresha daftari la kudumu la wapiga kura,wilayani Bagamoyo ,mkoani Pwani.
Aidha ,katika zoezi hilo kulijitokeza changamoto ndogo ndogo upande wa mashine za BVR ,lakini ushirikiano ulikuwepo katika kutatua changamoto zinapojitokeza kupitia wataalamu mbalimbali wa TEHAMA na kutoka Tume ya Taifa ya uchaguzi .
Akitoa taarifa hiyo, wakati wa baraza la madiwani...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zjoiFG0Wjus/VUNcNMRL6aI/AAAAAAABfbs/H1Zkypnp5r4/s72-c/20150501034512.jpg)
WAFANYAKAZI WAHIMIZWA KUJITOKEA KUJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
![](http://3.bp.blogspot.com/-zjoiFG0Wjus/VUNcNMRL6aI/AAAAAAABfbs/H1Zkypnp5r4/s1600/20150501034512.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/8jHvw3blOj0/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-zjoiFG0Wjus/VUNcNMRL6aI/AAAAAAABfbs/H1Zkypnp5r4/s1600/20150501034512.jpg)
WAFANYAKAZI WAHIMIZWA KUJITOKEA KUJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1XzvtmNyzag/VU8954o1o-I/AAAAAAAAAeQ/9pAVSebXWSI/s72-c/_MG_2501.jpg)
MAALIM SEIF AHIMIZA WAZANZIBAR KUJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
Maalim Seif Sharif Hamad ambaye ni Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi (CUF),amesema kuwa uchaguzi mkuu uliopita ulikuwa wa uhuru na wa amani lakini ulikuwa na kasoro katika daftari la...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QToasQsruHc/VYHlIEqw0kI/AAAAAAAARMQ/cHSTN_av1j0/s72-c/E86A0679%2B%2528800x533%2529.jpg)
NASSARI AENDELEA KUHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
![](http://4.bp.blogspot.com/-QToasQsruHc/VYHlIEqw0kI/AAAAAAAARMQ/cHSTN_av1j0/s640/E86A0679%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5z9YxFIi0Gw/VYHlIVP_iuI/AAAAAAAARMM/vyKSW3kb7YE/s640/E86A0705%2B%2528800x533%2529.jpg)
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
5 years ago
MichuziTUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YAHAMASISHA WANANCHI KUJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamiiTUME ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) imesema imeridhishwa na muamko wa wananchi katika mikoa yote ambao wameuonesha kwenye uandikishaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.
Kwa mujibu wa NEC Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani walikuwa wamepewa fursa hiyo ya kujiandikisha kuanzia Februari 14 hadi Februari 20 mwaka huu ambapo wananchi wengi wa mikoa hiyo wamejitokeza huku wale ambao bado hawajiandikisha...
10 years ago
MichuziWANANCHI WA JIJI LA DAR ES SALAAM WAJITOKEZA KUJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KWA MFUMO WA BVR
Wakizungumza na Globu ya Jamii kwa nyakati tofauti walisema zoezi linaenda vizuri lakini linakabiliwa na changamoto chache ambazo zikitatuliwa wananchi wote watajiandikisha katika Daftari la Kudumu la Mpiga Kura.
Akizungumzia suala kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Mpiga Kura ,Salumu Abbakari Mkazi wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-_89w4z7Ze_w/VYJTXMYF9xI/AAAAAAABAOM/T9KzTjfIt24/s72-c/A%2B1.jpg)
MBUNGE NASSAR ATUMIA HELKOPTA KUHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-_89w4z7Ze_w/VYJTXMYF9xI/AAAAAAABAOM/T9KzTjfIt24/s640/A%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-kKb04KzWZjQ/VYJTaMnzlmI/AAAAAAABAO4/Bsc7DJtVZmc/s640/A%2B2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-kWAiMKGaAN4/VYJTdre3qOI/AAAAAAABAPo/sMxr8xPhOg4/s640/A%2B9.jpg)
10 years ago
Michuzi28 Apr
MBUNGE NATSE AWATAKA WANANCHI WA KARATU KUJITOKEZA KWA WINGI KUJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
![SAM_2291](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/zOMv8JkVCbFSkBbIAnHyfn0960gF-QbzBd8w4sg7JjUqZw8tubgWnNuwKX3Vuc-h0ixUIyEP40U7zdzHt-cUkkI451MECd9ayqolqQeVWiMDPF8=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/04/sam_2291.jpg)