ZOEZI LA UJAZAJI WA FOMU ZA UTAMBUZI NA USAJILI AWAMU YA KWANZA KWA MKOA WA TANGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-o_74375ZMsE/VEH_f8Bj4OI/AAAAAAAGrZ8/K2SiPrG7PDo/s72-c/nidalogo(2).jpg)
Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) inapenda kuwajulisha wakazi wote wa Mkoa wa Tanga ambao wanaendela na zoezi la ujazaji wa fomu za Utambuzi na Usajili kwa awamu ya kwanza kuwa, Serikali imesikia kilio cha wananchi wake na hivyo inapenda kuwajulisha watendaji wote wa Serikali za mitaa ambao ndio wasajili kufungua vituo vya usajili saa 1.30 na kufunga saa 12.00 jioni.
Kwa kuwa zoezi hili lilitakiwa kukamilika tarehe 17/10/2014, Serikali imeongeza siku za usajili kwa lengo la...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UEdVRG68zS0/U_dd7xMEsjI/AAAAAAAGBck/eNcsBQzheCY/s72-c/unnamed1.jpg)
WANANCHI WENGI WAJITOKEZA ZOEZI LA USAJILI NA UTAMBUZI WA WATU MKOANI MTWARA
![](http://2.bp.blogspot.com/-UEdVRG68zS0/U_dd7xMEsjI/AAAAAAAGBck/eNcsBQzheCY/s1600/unnamed1.jpg)
Moja ya changamoto kubwa iliyojitokeza ni wakazi wengi hususani maeneo ya vijijini kukosa mashine za photocopy, huku baadhi wakikosa nyaraka muhimu za kuwatambulisha. Changamoto nyingine ni waombaji wengi kutokuwa na taarifa sahihi za umri wao binafsi na wazazi huku...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wEcDC09QP-I/U_AAGUVDInI/AAAAAAAGAEY/a6ZHuljnJ4g/s72-c/unnamed%2B(47).jpg)
Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) yazindua rasmi zoezi la Usajili na Utambuzi wa Watu mkoani Mtwara
![](http://4.bp.blogspot.com/-wEcDC09QP-I/U_AAGUVDInI/AAAAAAAGAEY/a6ZHuljnJ4g/s1600/unnamed%2B(47).jpg)
5 years ago
MichuziNIDA Yaendelea na Shughuli za Usajili na Utambuzi wa Watu Nchini Kote
Maafisa usajili wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa nchini (NIDA) wakiendelea kutoa huduma za usajili kwa wananchi katika ofisi za Wilaya za Mamlaka hiyo katika Wilaya za Mkoa wa Dar es salaam huku tahadhari za maambukizi ya virusi vya Corona ikiendelea kuzingatiwa kikamilifu.
Na Agnes GerladMamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) inaendelea na shughuli za Usajili na Utambuzi wa Watu nchini kote ambapo wananchi wanaendelea kupatiwa huduma katika ofisi za Usajili za NIDA zilizoko katika...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vLEurrYdMTA/VWQppBRPJzI/AAAAAAAHZ5M/xhrHG4wafGc/s72-c/DR%2BMTULIA.jpg)
NSSF YAENDESHA ZOEZI LA UPIMAJI AFYA BURE KWA WAKAZI WA TANGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-vLEurrYdMTA/VWQppBRPJzI/AAAAAAAHZ5M/xhrHG4wafGc/s320/DR%2BMTULIA.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ju0YF97QIaw/VWQppO-Hd-I/AAAAAAAHZ5E/o2Ux775G0u0/s320/MZEE2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-nvV8WH15uDA/VWQprMJxIuI/AAAAAAAHZ5c/U7AgQwvk-3k/s320/mzige.jpg)
BOFYA...
10 years ago
VijimamboBODI YA USAJILI WA WAHANDISI (ERB) YAELEZEA MAFANIKIO YAKE NA SERIKALI YA AWAMU YA NNE KWA KIPINDI CHA MWAKA 2005-2015
10 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA TANGA AUSIFU MFUKO WA GEPF KWA UBUNIFU NA HUDUMA BORA KWA WATEJA
11 years ago
GPLMKUU WA MKOA TANGA MGENI RASMI MISS TANGA 2014
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-AhvP82vxahc/UvSbU9s8VhI/AAAAAAAFLhU/ApaQDp9nc6c/s72-c/image.jpeg)
MAGEREZA MKOA WA TANGA YAANZA MAANDALIZI YA UKARABATI WA OFISI MPYA ZA UTAWALA, JIJINI TANGA
![](http://3.bp.blogspot.com/-AhvP82vxahc/UvSbU9s8VhI/AAAAAAAFLhU/ApaQDp9nc6c/s1600/image.jpeg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-C1ixg3FwCgg/UvSbUD4j__I/AAAAAAAFLhM/5D_uC-atsLw/s1600/image_1.jpeg)