Upepo wakwamisha Uokoaji Air Asia
Waokoaji wamekuwa wakipambana na upepo mkali pamoja na mawimbi ya bahari gizani kuwakoa karibu abiria 300 ambao wamekwama ndani ya ferry moja ya Italia iliyokuwa imeshika moto kwenye bahari ya Adriatic. Maofisa nchini Italia wanasema kuwa oparesheni ya uokoaji itandelea. Hadi sasa watu 190 wamekolewa kutoka kwa ferry hiyo.
Shughuli ya kutafuta ndege ya AirAsia ambayo ilipotea jana Jumapili imerejelewa tena baada ya kusitishwa usiku.
Ndege za kijeshi kutoka indonesia na singapore...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili29 Dec
Upepo wakwamisha Uokoaji Meli iliyozama
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
10 years ago
Vijimambo05 Jan
AIR ASIA MIILI 37 IMEPATIKA MPAKA SASA

Shirika la uokoaji nchini Indonesia limesema hivi sasa miili 37 imepatikana kutoka kwenye bahari ya Java ambapo ndege ya Air Asia iliangukia mwishoni mwa juma lililopita.
Helikopta na Meli za kijeshi zimekuwa zikifanya doria katika eneo la bahari hiyo ambapo vitu vinavyoelezwa kuwa mabaki ya ndege vimeonekana.hali ya hewa ya eneo hilo kwa sasa imetengemaa ingawa bado mikondo ya bahari ina nguvu.
Vikosi vya wapiga...
10 years ago
BBCSwahili05 Jan
Air Asia:Miili 37 imepatikana mpaka sasa
5 years ago
The Verge21 Mar
The FAA briefly halted air traffic in NYC area after an air traffic employee tested positive for COVID-19
11 years ago
Mwananchi15 May
Jukumu la uokoaji kukabidhiwa JWTZ
11 years ago
BBCSwahili17 Feb
Zoezi la uokoaji lasitishwa A.kusini
11 years ago
BBCSwahili17 Apr
Shughuli ya uokoaji yaendelea Korea
10 years ago
BBCSwahili03 Jun
Shughuli za uokoaji zaendelea China