Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Upepo wakwamisha Uokoaji Air Asia

Waokoaji wamekuwa wakipambana na upepo mkali pamoja na mawimbi ya bahari gizani kuwakoa karibu abiria 300 ambao wamekwama ndani ya ferry moja ya Italia iliyokuwa imeshika moto kwenye bahari ya Adriatic. Maofisa nchini Italia wanasema kuwa oparesheni ya uokoaji itandelea. Hadi sasa watu 190 wamekolewa kutoka kwa ferry hiyo.

Shughuli ya kutafuta ndege ya AirAsia ambayo ilipotea jana Jumapili imerejelewa tena baada ya kusitishwa usiku.

Ndege za kijeshi kutoka indonesia na singapore...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Upepo wakwamisha Uokoaji Meli iliyozama

Waokoaji wamekuwa wakipambana na upepo mkali pamoja na mawimbi ya bahari gizani kuwakoa karibu abiria 300.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkia wa ndege Air Asia wapatikana

Mkia wa Ndege ya Air Asia umepatikana katika Bahari ya Java

 

10 years ago

Vijimambo

AIR ASIA MIILI 37 IMEPATIKA MPAKA SASA



Vikosi vya uokoaji majini wakitafuta miili ya waliokuwa kwenye ndege iliyoanguka
Shirika la uokoaji nchini Indonesia limesema hivi sasa miili 37 imepatikana kutoka kwenye bahari ya Java ambapo ndege ya Air Asia iliangukia mwishoni mwa juma lililopita.
Helikopta na Meli za kijeshi zimekuwa zikifanya doria katika eneo la bahari hiyo ambapo vitu vinavyoelezwa kuwa mabaki ya ndege vimeonekana.hali ya hewa ya eneo hilo kwa sasa imetengemaa ingawa bado mikondo ya bahari ina nguvu.
Vikosi vya wapiga...

 

10 years ago

BBCSwahili

Air Asia:Miili 37 imepatikana mpaka sasa

Miili 37 ya Watu waliopoteza maisha katika ajali ya kuanguka kwa ndege ya Air Asia imepatikana katika bahari ya Java

 

5 years ago

The Verge

The FAA briefly halted air traffic in NYC area after an air traffic employee tested positive for COVID-19

The FAA briefly halted air traffic in NYC area after an air traffic employee tested positive for COVID-19  The Verge3 FAA ATC Towers Have Been Closed Due To Coronavirus  Simple FlyingCoronavirus: New York airports briefly halted all arriving flights - Business Insider  Business InsiderJFK air traffic control technician tests positive for coronavirus  FOX 5 NYDelays at JFK after flights at New York grounded as air traffic control worker tests positive for coronavirus  The SunView Full...

 

11 years ago

Mwananchi

Jukumu la uokoaji kukabidhiwa JWTZ

Serikali imeliambia Bunge kuwa, iko katika mchakato wa kuifanyia marekebisho Sheria ya Maafa ili kuliondoa suala la uokoaji kutoka Jeshi la Zimamoto kwenda Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ).

 

11 years ago

BBCSwahili

Zoezi la uokoaji lasitishwa A.kusini

Operesheni ya kuokoa wachimba madini waliokwama kwenye shimo la mgodi yasitishwa

 

11 years ago

BBCSwahili

Shughuli ya uokoaji yaendelea Korea

Waokoaji waendelea kutafuta takriban abiria 289 waliokuwa ndani ya ferry iliyozama Korea Kusini

 

10 years ago

BBCSwahili

Shughuli za uokoaji zaendelea China

Wafanyakazi wa vikosi vya uokoaji wanaendelea na kazi ya kuwatafuta watu waliozama katika meli moja nchini humo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani