BAKWATA yathibitisha vifo vya watanzania watano
Baraza la waislam Tanzania linaendelea kufuatilia kwa karibu na kufanya utambuzi wa watanzania waliofariki kufuatia tukio lililotokea hivi karibuni na kusababisha mamia ya Mahujaji kupoteza maisha na wengine kujeruhiwa katika mji wa Minnah nchini Saudi Arabia.
Mpaka sasa Mufti wa Tanzania sheikh Abu Bakari Zuberi amethibitisha mahujaji watano wa kitanzania akiwemo raia mmoja wa Kenya wamepoteza maisha katika tukio hilo.
Ni miaka 25 iliyopita tangu kuripotiwa kutokea kwa matukio mbalimbali ya...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Utata watanda vifo vya watu watano
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-oYMDY6nEWGE/XniFul7QgOI/AAAAAAACJJ4/7uThD6wtDVQtbUU66Hdw0YN_C1I-GcJGACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200323_115501_517.jpg)
AJALI YA TRENI YA UOKOAJI NA KIBERENGE YASABABISHA VIFO VYA WATUMISHI WATANO WA TRC
![](https://1.bp.blogspot.com/-oYMDY6nEWGE/XniFul7QgOI/AAAAAAACJJ4/7uThD6wtDVQtbUU66Hdw0YN_C1I-GcJGACLcBGAsYHQ/s200/IMG_20200323_115501_517.jpg)
Watumishi watano wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) wamefariki dunia kufuatia ajali ya Treni ya Uokoaji kugongana na Kiberenge No.HDT-3 katika maeneo yaliyopo kati ya stesheni za Mwakinyumbi na Gendagenda, eneo liliilopo katika Reli inayotoka Ruvu Junction mpaka Mruanzi Junction, jana, Machi 22, 2020.
Taarifa ya TRC imewataja waliokufa kuwa ni Ramadhani Gumbo wa DTM Tanga, Injinia Fabiola Moshi wa DME Dar es Salaam, Joseph Komba wa ATM Dar es Salaam, Philip Kajuna...
5 years ago
BBCSwahili07 May
Vifo vya corona: Kwanini Uingereza imerekodi vifo vingi vya corona Ulaya?
11 years ago
Mwananchi10 Mar
Serikali yathibitisha Watanzania 11 kushikiliwa nchini Madagascar
5 years ago
BBCSwahili26 Feb
Virusi vya Corona: Algeria yathibitisha kupata maambukizi
5 years ago
BBCSwahili10 May
Virusi vya corona: Kenya yathibitisha wagonjwa 23 wapya
5 years ago
BBCSwahili15 Apr
Virusi vya Corona: Tanzania yathibitisha wagonjwa 29 wapya
5 years ago
BBCSwahili30 Mar
Coronavirus: Tanzania yathibitisha wagonjwa 19 wa virusi vya corona
9 years ago
Habarileo08 Nov
Polisi wachunguza vifo vya utata vya watu 4 Bukoba
JESHI la Polisi mkoani Kagera linachunguza tukio la vifo vya watu wanne waliouawa katika mazingira ya kutatanisha, kilometa 10 kutoka Bukoba Mjini.