Serikali yathibitisha Watanzania 11 kushikiliwa nchini Madagascar
Serikali imethibitisha Watanzania 11 kushikiliwa nchini Madagascar wakituhumiwa kukutwa katika meli iliyosheheni magogo 2,130 ya miti adimu na ghali ambayo imepigwa marufuku kuvunwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo521 Nov
27 wauawa baada ya watu 170 kushikiliwa mateka kwenye hoteli nchini Mali
![2EA5E94000000578-3326708-image-a-1_1448047482182](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/2EA5E94000000578-3326708-image-a-1_1448047482182-300x194.jpg)
Takriban watu 27 wameuawa Jumamosi hii baada ya watu 170 kushikiliwa mateka kwenye hoteli ya Radisson Blu ya nchini Mali.
Shambulio hilo limefanywa na watu watatu kwenye mji mkuu Bamako, ambapo watu hao wakiwa na silaha waliivamia hoteli hiyo. Wawili kati yao wameuawa kwenye tukio hilo.
Mbunge wa Ubelgiji, Geoffrey Dieudonné, ni miongoni mwa waliouawa.
Dieudonné alikuwa akitoa mafunzo kwa maafisa wa bunge la Mali. Rais Ibrahim Boubacar Keita ametangaza siku tatu za maombolezo.
Kundi la...
9 years ago
StarTV26 Sep
 BAKWATA yathibitisha vifo vya watanzania watano
Baraza la waislam Tanzania linaendelea kufuatilia kwa karibu na kufanya utambuzi wa watanzania waliofariki kufuatia tukio lililotokea hivi karibuni na kusababisha mamia ya Mahujaji kupoteza maisha na wengine kujeruhiwa katika mji wa Minnah nchini Saudi Arabia.
Mpaka sasa Mufti wa Tanzania sheikh Abu Bakari Zuberi amethibitisha mahujaji watano wa kitanzania akiwemo raia mmoja wa Kenya wamepoteza maisha katika tukio hilo.
Ni miaka 25 iliyopita tangu kuripotiwa kutokea kwa matukio mbalimbali ya...
10 years ago
Vijimambo17 Apr
SERIKALI KUWARUDISHA NCHINI WATANZANIA WALIOPO YEMEN
Simu: 255-22-2114615, 211906-12 Barua pepe: nje@nje.go.tzBarua pepe: gcu@nje.go.tzTovuti : www.foreign.go.tzNukushi: 255-22-2116600
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/c/c2/Coat_of_arms_of_Tanzania.svg/2000px-Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Serikali kuwarudisha nchini Watanzania waliopo Yemen
Mhe....
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Watanzania 13 washikiliwa Madagascar kwa magogo
10 years ago
Michuzi17 Apr
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Q2btdjLrdV0/XsbQrEbfZqI/AAAAAAAAHME/zhLL1CoBjf4WodHtdmKjgFhn_n5w7FKvACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-21%2Bat%2B18.35.21.jpeg)
WATANZANIA 119 KUTOKA DUBAI WAREJEA NCHINI, WAISHUKURU SERIKALI
Ndege ya fly Dubai imewarejesha watanzania hao waliokuwa wamekwama Abu Dhabi (Dubai) tangu 25 Machi 2020 Serikali ya Falme za Kiarabu ilipotoa zuio la kuingia na kutoka kwa ndege.
Ndege hiyo imewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA)...
5 years ago
BBCSwahili03 Jun
Serikali ya Msumbiji imesema viongozi wa kundi la kigaidi waliouwa nchini humo ni Watanzania
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-U0pnJcPNnx8/U7-qpR4QSwI/AAAAAAAF05g/Sy7qpoGYYeo/s72-c/2.jpg)
TACAIDS yathibitisha upatikanaji wa dawa za kupunguza makali ya Ukimwi (RAVs) nchini
![](http://2.bp.blogspot.com/-U0pnJcPNnx8/U7-qpR4QSwI/AAAAAAAF05g/Sy7qpoGYYeo/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5Bh0tOSEc8w/U7-qpzLYK5I/AAAAAAAF05k/LnjzK3PDoFw/s1600/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--JZvae5YtVw/U7-qprNzJ7I/AAAAAAAF058/GQlofUqGL8M/s1600/1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-oKdGspez5g0/Xmt5UMlE_FI/AAAAAAALi5Q/xbHCT4-uv0sXoPmKreG7BomvvCJVEOlyQCLcBGAsYHQ/s72-c/a3190650-3984-478c-87e5-2aae7f3a29f4.jpg)
SERIKALI YATHIBITISHA KUVUNJA MKATABA KATI YA JESHI LA ZIMAMOTO NA KAMPUNI YA ROM SOLUTION
Charles James, Michuzi TV
SERIKALI imesema imevunja mkataba baina ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji na Kampuni ya ROM Solution Co. Ltd ambao ulikua wa ununuzi wa vifaa vya jeshi hilo wenye thamani ya zaidi ya Shilingi Trilioni moja.
Hayo yamesemwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe George Simbachawene leo jijini Dodoma ambapo amesema makubaliano hayo yalishavunjwa...