Watanzania 13 washikiliwa Madagascar kwa magogo
Watanzania 13 wametiwa mbaroni nchini Madagascar wakituhumiwa kukutwa na meli iliyosheheni magogo ya miti adimu na ghali ambayo yamepigwa marufuku kuvunwa humo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi10 Mar
Serikali yathibitisha Watanzania 11 kushikiliwa nchini Madagascar
11 years ago
Habarileo29 Jun
Magogo kwa nishati yaudhi wadau
WAKATI Serikali ya Tanzania ikiungana na nchi za Kenya na Uganda na Umoja wa Mataifa kupiga vita biashara ya magogo katika nchi za ukanda wa maziwa makuu, uongozi wa kiwanda cha kutengeneza nguo cha Sunflag cha jijini hapa umeendelea kutumia magogo kuendeshea mitambo ya kiwanda hicho kikongwe nchini.
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
Washikiliwa kwa tuhuma za mauaji
WATU watatu wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Kagera kwa tuhuma mbalimbali zikiwemo za mauaji na uhalifu mwingine uliofanyika Oktoba mwaka huu, mkoani humo kwa nyakati tofauti. Kamanda wa Polisi mkoani hapa,...
9 years ago
Habarileo13 Sep
Washikiliwa kwa vurugu Dodoma
WATU wanne wanashikiliwa na Polisi mkoani hapa kutokana na vurugu zilizotokea katika eneo la hoteli iitwayo NAM mjini humu juzi.
10 years ago
Tanzania Daima06 Sep
Washikiliwa kwa kuihujumu Tanesco Morogoro
WATU watatu wanashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za kuhujumu miundombinu ya nyara za serikali ikiwemo nyaya za shirika la Ugavi la umeme Tanzania, (Tanesco). Kamanda wa Polisi Mkoa...
11 years ago
Dewji Blog13 Jul
Sita washikiliwa kwa ujangili Singida
Mkuu wa wilaya ya Manyoni mkoani Singida, Fatma Toufiq, akikagua vipande vya Meno ya Tembo 28 vilivyokamatwa Julia 8 mwaka huu kwenye nyumba ya wageni (jina tunalo).Vipande hivyo vya Meno ya Tembo ni sehemu ya nyara mbalimbali zilizokamatwa zenye thamani ya zaidi ya shilingi 200 milioni.Pamoja na nyara hizo, pia bunduki mbili za kijeshi aina ya SMG na risasi zake 48,zilikamatwa.(Picha na Gasper Andrew).
Na Gasper Andrew, Singida
Jeshi la polisi Mkoani Singida linawashikiliwa watu sita kwa...
10 years ago
Habarileo02 Aug
20 CCM washikiliwa kwa tuhuma za rushwa
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) wilayani Nkasi mkoani Rukwa, inawashikilia wanachama 20 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) akiwemo diwani wa Viti Maalumu (CCM) aliyemaliza muda wake, wakituhumiwa kutoa na kupokea rushwa.
10 years ago
Habarileo07 Apr
Sita washikiliwa na Polisi kwa kubaka
WATU sita wamekamatwa na Polisi kwa tuhuma za kumbaka mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 40.