Magogo kwa nishati yaudhi wadau
WAKATI Serikali ya Tanzania ikiungana na nchi za Kenya na Uganda na Umoja wa Mataifa kupiga vita biashara ya magogo katika nchi za ukanda wa maziwa makuu, uongozi wa kiwanda cha kutengeneza nguo cha Sunflag cha jijini hapa umeendelea kutumia magogo kuendeshea mitambo ya kiwanda hicho kikongwe nchini.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
WAZIRI ZUNGU AKUTANA NA WADAU WA NISHATI MBADALA


10 years ago
VijimamboMAWAZIRI WA NISHATI WAJADILI KUHUSU NISHATI ENDELEVU KWA WOTE
Na Mwandishi Maalum, New York
Naibu ...
10 years ago
Michuzi
MAWAZIRI WA NISHATI WAJADILI NISHATI ENDELEVU KWA WOTE.
Na Mwandishi Maalum, New York Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Mhe.Charles Kitwanga ( Mb), ni miongoni mwa mawaziri kutoka mataifa mbalimbali duniani wanaohudhuria mkutano wa kila mwaka kuhusu Nishati Endelevu kwa Wote (SE4All) Mkutano huu unafanyika hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa, ambao siku ya jumatano mawaziri wameanza kujadili na kubadilisha uzefu kuhusu eneo hilo la nishati ambalo linaelezwa kuwa ni muhimu kwa maendeleo endelevu kijamii, kiuchumi na ...
10 years ago
MichuziWAZIRI WA NISHATI NA MADINI GEORGE SIMBACHAWENE AFUNGUA MKUTANO WA KUJADILI NISHATI ENDELEVU NCHINI KWA WOTE
10 years ago
MichuziMKUTANO WA WADAU WA NISHATI YA UMEME VIJIJINI WAFANYIKA JIJINI DAR
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Watanzania 13 washikiliwa Madagascar kwa magogo
Watanzania 13 wametiwa mbaroni nchini Madagascar wakituhumiwa kukutwa na meli iliyosheheni magogo ya miti adimu na ghali ambayo yamepigwa marufuku kuvunwa humo.
10 years ago
Michuzi
WIZARA YA NISHATI NA MADINI YAKUTANA NA WADAU WA MADINI YA SHABA
Na Asteria Muhozya, Dare s Salaam
Wizara ya Nishati na Madini imekutana na wadau wa madini ya Shaba katika mkutano wa siku mbili ulioanza tarehe 24- 25 Novemba, 2014 na kuwashirikisha wafanyabiashara wa madini hayo, wachimbaji wadogo, viwanda vya kuyeyusha madini ya Shaba, Makamishana Wasaidizi wa Madini kutoka Kanda mbalimbali nchini pamoja na baadhi ya Maafisa Madini Wakaazi.
Akifungua mkutano huo, unaolenga kujadili masuala mbalimbali yanayohusu sekta ndogo ya madini ya Shaba na namna ya...
Wizara ya Nishati na Madini imekutana na wadau wa madini ya Shaba katika mkutano wa siku mbili ulioanza tarehe 24- 25 Novemba, 2014 na kuwashirikisha wafanyabiashara wa madini hayo, wachimbaji wadogo, viwanda vya kuyeyusha madini ya Shaba, Makamishana Wasaidizi wa Madini kutoka Kanda mbalimbali nchini pamoja na baadhi ya Maafisa Madini Wakaazi.
Akifungua mkutano huo, unaolenga kujadili masuala mbalimbali yanayohusu sekta ndogo ya madini ya Shaba na namna ya...
10 years ago
MichuziGEPF WAANZA WIKI MAALUM (GEPF WEEK) KWA BONANZA LA WADAU WA MFUKO KUELEKEA MKUTANO MKUU WA SITA WA WADAU
11 years ago
Michuzi.jpg)
Nishati na Madini kuanzisha Mpango wa Taifa wa Matumizi Bora ya Nishati
.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania