Washikiliwa kwa vurugu Dodoma
WATU wanne wanashikiliwa na Polisi mkoani hapa kutokana na vurugu zilizotokea katika eneo la hoteli iitwayo NAM mjini humu juzi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Vurugu zawa kero Dodoma
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
Washikiliwa kwa tuhuma za mauaji
WATU watatu wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Kagera kwa tuhuma mbalimbali zikiwemo za mauaji na uhalifu mwingine uliofanyika Oktoba mwaka huu, mkoani humo kwa nyakati tofauti. Kamanda wa Polisi mkoani hapa,...
10 years ago
Tanzania Daima06 Sep
Washikiliwa kwa kuihujumu Tanesco Morogoro
WATU watatu wanashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za kuhujumu miundombinu ya nyara za serikali ikiwemo nyaya za shirika la Ugavi la umeme Tanzania, (Tanesco). Kamanda wa Polisi Mkoa...
10 years ago
Dewji Blog21 Nov
23 washikiliwa na Polisi kwa mauaji ya watu 4
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP, Thobias Sedoyeka.
Na Nathaniel Limu, Singida
JESHI la polisi mkoa wa Singida, linawashikilia watu 23 wakazi wa kijiji cha Nkyala kata ya shelui wilaya Iramba mkoa wa Singida, kwa tuhuma ya kudaiwa kuuawa kwa makusudi wezi wanne wa madume ya Ng’ombe.
Akizungumza na waandishi wa habari jana ofisini kwake, Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP, Thobias Sedoyeka, alisema watu hao kati yao 21 wanatuhumiwa kwa mauaji na wawili...
11 years ago
Dewji Blog13 Jul
Sita washikiliwa kwa ujangili Singida
Mkuu wa wilaya ya Manyoni mkoani Singida, Fatma Toufiq, akikagua vipande vya Meno ya Tembo 28 vilivyokamatwa Julia 8 mwaka huu kwenye nyumba ya wageni (jina tunalo).Vipande hivyo vya Meno ya Tembo ni sehemu ya nyara mbalimbali zilizokamatwa zenye thamani ya zaidi ya shilingi 200 milioni.Pamoja na nyara hizo, pia bunduki mbili za kijeshi aina ya SMG na risasi zake 48,zilikamatwa.(Picha na Gasper Andrew).
Na Gasper Andrew, Singida
Jeshi la polisi Mkoani Singida linawashikiliwa watu sita kwa...
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Watanzania 13 washikiliwa Madagascar kwa magogo
10 years ago
Habarileo02 Aug
20 CCM washikiliwa kwa tuhuma za rushwa
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) wilayani Nkasi mkoani Rukwa, inawashikilia wanachama 20 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) akiwemo diwani wa Viti Maalumu (CCM) aliyemaliza muda wake, wakituhumiwa kutoa na kupokea rushwa.
10 years ago
Habarileo07 Apr
Sita washikiliwa na Polisi kwa kubaka
WATU sita wamekamatwa na Polisi kwa tuhuma za kumbaka mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 40.
11 years ago
Habarileo16 Jul
Wanane washikiliwa kwa tuhuma za mauaji Kagera
POLISI mkoani Kagera inashikilia watu wanane kwa tuhuma za mauaji yaliyofanyika Wilaya za Bukoba na Missenyi.