Washikiliwa kwa kuihujumu Tanesco Morogoro
WATU watatu wanashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za kuhujumu miundombinu ya nyara za serikali ikiwemo nyaya za shirika la Ugavi la umeme Tanzania, (Tanesco). Kamanda wa Polisi Mkoa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV29 Dec
Watu 18 washikiliwa na Polisi Morogoro  kwa Tuhuma Za Makosa Tofauti
Polisi mkoani Morogoro inawashikilia watu 18 kwa makosa tofauti ambapo watu wanane wanashikiliwa kwa tuhuma za kukutwa na silaha mbili aina ya Shot Gun zikiwa na Risasi 12 na wengine wanane wakijihusisha na biashara haramu ya dawa za kulevya pamoja na wahamiaji haramu wawili raia wa Ethiopia wakiwa katika harakati za kuelekea nchini ya Afrika Kusini.
Kukamatwa kwa watuhumiwa hao kunatokana na jeshi la polisi mkoani humo kuendesha oparesheni maalum kwa kushilikiana na raia wema dhidi ya...
11 years ago
Mwananchi02 Feb
Tanzania itapata nini kwa kuihujumu Rwanda?
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-V-y1QgPfuxw/U342XdXg54I/AAAAAAAFkjw/o1lRofDvm78/s72-c/M9cpXqyTE.jpeg)
RAIA WAWILI WA ROMANIA KOTINI KWA KUIHUJUMU TCRA
![](http://3.bp.blogspot.com/-V-y1QgPfuxw/U342XdXg54I/AAAAAAAFkjw/o1lRofDvm78/s1600/M9cpXqyTE.jpeg)
Na Mwene Said wa Blogu ya Jamii, Mahakamani
WATU wawili raia wa Romania wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, wakikabiliwa na kesi ya Uhujumu Uchumi ikiwemo udanganyifu,kutumia kadi zisizosajiliwa, kuingiza nchini na kutumia mitambo ya simu bila kibali, kutoa huduma ya mawasiliano ya kimataifa bila kibali cha Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) na kuisababishia hasara ya Sh. Bilioni 2.1 Mamlaya ya Mawasiano Tanzania (TCRA).
Washtakiwa hao ni, Meneja...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3XWkdiJYV90/XmVHNpHvnxI/AAAAAAALiHs/YtS6QQeaY2QfG-nPearSz8BoNYC2WZ6CACLcBGAsYHQ/s72-c/pix-03AA-768x512.jpg)
TANESCO MOROGORO WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI NA WAREKEBISHWA GEREZA LA KINGORWUILA
![](https://1.bp.blogspot.com/-3XWkdiJYV90/XmVHNpHvnxI/AAAAAAALiHs/YtS6QQeaY2QfG-nPearSz8BoNYC2WZ6CACLcBGAsYHQ/s640/pix-03AA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/pix-05AA-1024x682.jpg)
Wafanyakazi wa TANESCO Mkoa wa Morogoro wakisheherekea siku ya Wanawake Duniani katika viwanja vya Jamuhuri Manispaa ya Morogoro
…………………………………………………………
NA FARIDA SAIDY,MOROGORO
Jamii imeaswa kusaidia watu wenye uhitaji wakiwemo walioko magerezani hususani wanawake kwa kuwa bado wanauhitaji wa vitu mbalimbali kama binaadamu wengine walioko uraiani.
Wito huo umetolewa na meneja wa TANESCO Mkoa wa Morogoro Mhandisi Fedgrace Shuma baada ya kutembelea gereza la wanawake la kingorwuila lililopo...
9 years ago
Habarileo13 Sep
Washikiliwa kwa vurugu Dodoma
WATU wanne wanashikiliwa na Polisi mkoani hapa kutokana na vurugu zilizotokea katika eneo la hoteli iitwayo NAM mjini humu juzi.
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
Washikiliwa kwa tuhuma za mauaji
WATU watatu wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Kagera kwa tuhuma mbalimbali zikiwemo za mauaji na uhalifu mwingine uliofanyika Oktoba mwaka huu, mkoani humo kwa nyakati tofauti. Kamanda wa Polisi mkoani hapa,...
10 years ago
Dewji Blog21 Nov
23 washikiliwa na Polisi kwa mauaji ya watu 4
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP, Thobias Sedoyeka.
Na Nathaniel Limu, Singida
JESHI la polisi mkoa wa Singida, linawashikilia watu 23 wakazi wa kijiji cha Nkyala kata ya shelui wilaya Iramba mkoa wa Singida, kwa tuhuma ya kudaiwa kuuawa kwa makusudi wezi wanne wa madume ya Ng’ombe.
Akizungumza na waandishi wa habari jana ofisini kwake, Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP, Thobias Sedoyeka, alisema watu hao kati yao 21 wanatuhumiwa kwa mauaji na wawili...
10 years ago
Habarileo02 Aug
20 CCM washikiliwa kwa tuhuma za rushwa
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) wilayani Nkasi mkoani Rukwa, inawashikilia wanachama 20 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) akiwemo diwani wa Viti Maalumu (CCM) aliyemaliza muda wake, wakituhumiwa kutoa na kupokea rushwa.
11 years ago
Dewji Blog13 Jul
Sita washikiliwa kwa ujangili Singida
Mkuu wa wilaya ya Manyoni mkoani Singida, Fatma Toufiq, akikagua vipande vya Meno ya Tembo 28 vilivyokamatwa Julia 8 mwaka huu kwenye nyumba ya wageni (jina tunalo).Vipande hivyo vya Meno ya Tembo ni sehemu ya nyara mbalimbali zilizokamatwa zenye thamani ya zaidi ya shilingi 200 milioni.Pamoja na nyara hizo, pia bunduki mbili za kijeshi aina ya SMG na risasi zake 48,zilikamatwa.(Picha na Gasper Andrew).
Na Gasper Andrew, Singida
Jeshi la polisi Mkoani Singida linawashikiliwa watu sita kwa...