RAIA WAWILI WA ROMANIA KOTINI KWA KUIHUJUMU TCRA
![](http://3.bp.blogspot.com/-V-y1QgPfuxw/U342XdXg54I/AAAAAAAFkjw/o1lRofDvm78/s72-c/M9cpXqyTE.jpeg)
Na Mwene Said wa Blogu ya Jamii, Mahakamani
WATU wawili raia wa Romania wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, wakikabiliwa na kesi ya Uhujumu Uchumi ikiwemo udanganyifu,kutumia kadi zisizosajiliwa, kuingiza nchini na kutumia mitambo ya simu bila kibali, kutoa huduma ya mawasiliano ya kimataifa bila kibali cha Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) na kuisababishia hasara ya Sh. Bilioni 2.1 Mamlaya ya Mawasiano Tanzania (TCRA).
Washtakiwa hao ni, Meneja...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OK1L9hq-5uI/UzMta3xljgI/AAAAAAAFWrU/Y1f8Q0lnotA/s72-c/unnamed+(9).jpg)
RAIA WA KENYA KIZIMBANI KWA KUHUJUMU SERIKALI NA TCRA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-b26CKmVYHQM/XlVC1i0p7aI/AAAAAAALfY4/Z8_AEVT5SWcan4tP5SGAVzYPhCU9a6qkwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-25%2Bat%2B16.32.52.jpeg)
RAIA WAWILI WA CHINA WAFIKISHWA KORTINI KWA TUHUMA ZA KUTOA RUSHWA YA MILIONI 11.5 KWA KAMISHNA MKUU WA TRA
![](https://1.bp.blogspot.com/-b26CKmVYHQM/XlVC1i0p7aI/AAAAAAALfY4/Z8_AEVT5SWcan4tP5SGAVzYPhCU9a6qkwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-25%2Bat%2B16.32.52.jpeg)
RAIA wa wawili wa China wanaoishi Mkoa Iringa wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na shitaka la kutoa rushwa ya Sh. Milioni 11.5 kwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)Dk. Edwin Mhede.
Katika hati ya mashtaka iliyosomwa na Wakili wa Serikali kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupamba na Rushwa (TAKUKURU ) Mwakatobe Mshana imewataja washtakiwa hao kuwa ni Heng Rongnan (50) na Ou Ya (47) wote wakazi wa Kinyambo ...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_WECWna--e4/Xk4UsU5cUmI/AAAAAAALeag/jcPQsMRjQIcCaeJeSMUF_yeFWqRaSF7GACLcBGAsYHQ/s72-c/4bv6a1aaf94a081lq01_800C450.jpg)
Raia wawili wa Iran wafariki dunia mjini Qom kwa maradhi ya virusi vya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-_WECWna--e4/Xk4UsU5cUmI/AAAAAAALeag/jcPQsMRjQIcCaeJeSMUF_yeFWqRaSF7GACLcBGAsYHQ/s640/4bv6a1aaf94a081lq01_800C450.jpg)
Kiyanush Jahanpur aliyasema hayo jana Jumatano na kubainisha kwamba kufuatia ongezeko la matatizo ya kupumua lililoshuhudiwa katika siku za hivi karibuuni mjini Qom, uchunguzi wa vipimo ulithibitisha kesi mbili za maambukizi ya virusi vya Corona. Ameongeza kwa kusema: "Kwa bahati mbaya...
10 years ago
Tanzania Daima06 Sep
Washikiliwa kwa kuihujumu Tanesco Morogoro
WATU watatu wanashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za kuhujumu miundombinu ya nyara za serikali ikiwemo nyaya za shirika la Ugavi la umeme Tanzania, (Tanesco). Kamanda wa Polisi Mkoa...
11 years ago
Mwananchi02 Feb
Tanzania itapata nini kwa kuihujumu Rwanda?
10 years ago
BBCSwahili03 Feb
Raia wawili wa Urusi watekwa Darfur
9 years ago
BBCSwahili29 Oct
Raia Uchina waruhusiwa kuzaa watoto wawili
11 years ago
Mwananchi19 Dec
Raia wawili, askari wauawa Moro, kituo chachomwa moto
5 years ago
MichuziRAIA WAWILI WA INDIA WAHUKUMIWA, KULIPA FAINI YA SH. MILIONI 230
Na Karama...